Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

Watanzania hatuna chuki binafsi na Zito bali tuna chuki kubwa kwa yale aliyotufanyia. Mengi yamesemwa juu yake lakini hajawahi kuyajibu kwa vielelezo. Hajawahi kueleza kwa ukamilifu hela aliyokuwa akiipokea toka CCM (kwa kupitia maofisa wa TISS) ilikuwa ya nini? Hajawaeleza Watanzania ukaribu wake mkubwa na mawasiliano yake na maofisa wa juu wa TISS yamekuwa yanahusu nini hasa. Mawasiliano na maofisa wa TISS yalioneshwa kwa vilelezo, na hasa yalikuwa wakati wa kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi.

Leo anapotaka kushirikiana na UKAWA, Watanzania watakuwa na uhakika gani kuwa nia yake kubwa siyo kutaka kujua mipango na mbinu za UKAWA kwa manufaa ya wale ambao amekuwa akiwatumikia siku zote, CCM?


Kipindi anapokea hizi hela alikuwa ni kiongozi na Mwanachama wa Chadema. Ni katika kikao gani cha Chama mlishawahi kumuita na kumhoji?

Utatofautishaje skendo hiyo na Ile ya Lema na wizi wa Magari? Au ilishawahi tolewa Ufafanuzi? Tatizi mnachagua watu wa kuwawajibisha, Mngekuwa serious kweli na hizi kashfa, Mngehoji Mbowe na Ununuz wa piki piki za chama, mngehoji kuhusu Ruzuku kukopeshwa kwa viongozi wa Juu.

Kuna Madudu kibao, Ila mko busy na Zitto kutwa nzima. Keshatoka kwenu, lakini bado Mko nae tuu, as if Uraisi kura zinapigwa na Chadema tuu.

Mtajidili mtu mpaka lini? Wananchi ndio wenye Maamuzi ya Mwisho.


Zitto ana madhaifu Mengi tuu. Lakini ktk viongozi, yeye ana afadhali compared to the rest. Siku zote, hata maofisini, ukisimama ktk misingi ya sheria, utaitwa majina yote, utachukiwa ili mradi tuu, ukatetamaa, au ubwage manyanga, wanaokula, waendelee kula, wanao lala njaa waendelee kufa njaa.

Dini na siasa ni Bangi inayolewesha sana.
 
Kipindi anapokea hizi hela alikuwa ni kiongozi na Mwanachama wa Chadema. Ni katika kikao gani cha Chama mlishawahi kumuita na kumhoji?

Utatofautishaje skendo hiyo na Ile ya Lema na wizi wa Magari? Au ilishawahi tolewa Ufafanuzi? Tatizi mnachagua watu wa kuwawajibisha, Mngekuwa serious kweli na hizi kashfa, Mngehoji Mbowe na Ununuz wa piki piki za chama, mngehoji kuhusu Ruzuku kukopeshwa kwa viongozi wa Juu.

Kuna Madudu kibao, Ila mko busy na Zitto kutwa nzima. Keshatoka kwenu, lakini bado Mko nae tuu, as if Uraisi kura zinapigwa na Chadema tuu.

Mtajidili mtu mpaka lini? Wananchi ndio wenye Maamuzi ya Mwisho.


Zitto ana madhaifu Mengi tuu. Lakini ktk viongozi, yeye ana afadhali compared to the rest. Siku zote, hata maofisini, ukisimama ktk misingi ya sheria, utaitwa majina yote, utachukiwa ili mradi tuu, ukatetamaa, au ubwage manyanga, wanaokula, waendelee kula, wanao lala njaa waendelee kufa njaa.

Dini na siasa ni Bangi inayolewesha sana.

Kwa wale waliosomea mambo ya project management kuna kitu kinaitwa RAID. Pamoja na mambo mengine, project yoyote inakubidi kuidentify risk zinazoweza kuadhiri project yenyewe kuisha on time and within the budget. Kati ya risk kubwa nayoiona ndani ya ACT "WAZALENDO" ni kumtegemea ZZK kama kiongozi pekee mwenye mvuto na anayeweza kusikilizwa na kueleweka machoni mwa watanzania! Binafsi simuoni kiongozi yoyote ndani ya chama hichi anayeweza kusimama mwenyewe bila msaada au support. Hii ni risk kubwa kwa chama cha kisiasa kuwekeza kwa binadamu badala kutegemea sera na itikadi ya chama! Siombi jambo baya limtokee kwa ZZK, ZZK ni binadamu leo yupo kesho ametangulia mbele ya HAKI.
 
Eti zzk sifadi vipi baba mzazi wa bavicha,, amewaeleza kuhusu anavyo fanya bihashara na saccos yenu...?
 
“Mwanzo walipotufukuza walituambia tukatafute vyama vingine hilo likafanyika, tulipopata vyama vya kufanyia siasa wakasema vipo kwa ajili ya kugawa upinzani, tukasema tupo tayari kuunganisha Nguvu ya pamoja kwa ajili kuiondoa CCM wenzetu pia hili hawalitaki sasa ni wajibu wenu kutambua watu gani hawataki kuiondoa CCM.

Wananchi watambue tuna nia ya dhati lakini wenzetu wanaweka ugomvi binafsi mbele ya maslahi ya Taifa. Sisi ACT wazalendo bado tupo taayari kushirikiana kwa mujibu wa misingi. Shabaha yetu ni moja tu kubomoa mfumo wa uchumi wa kinyonyaji na kifisadi ili kujenga uchumi shirikishi wa wananchi”

By Zitto kabwe kupitia Twiter
Zitto huna jipya we endelea kupokea pesa kutoka ccm ila anaekupa hela nae atachemka tu na utakuwa umeshakufa kisiasa acha kulaghai watu kuwa wewe ni chama cha siasa ACT kumbe wewe na ccm baba yenu ni mmoja
 
Kwani supreme leader alisema nini Mwanza na Shinyanga dhidi ya Arusha na Kilimanjaro?

Labda tuambie wewe huo ukanda aliouzungumzia, sijawahi kusikia suala la ukanda toka ACT, na nadhan kama ilivyo kwa Watanzania wengi wapenda mabadiliko, nami nimeifuatilia sana ziara yao, unless wewe ulisikia ambacho wengine hatukusikia kuhusu siasa ya ukanda ya ACT.

Kadri nijuavyo hakuna kitu kama hicho.Ebu tupe reference hapa ya ukanda huo uliozungumzwa. Naamini ata ukigoogle hapa yaliyoongelewa huko utayapata.
 
Kwa wale waliosomea mambo ya project management kuna kitu kinaitwa RAID. Pamoja na mambo mengine, project yoyote inakubidi kuidentify risk zinazoweza kuadhiri project yenyewe kuisha on time and within the budget. Kati ya risk kubwa nayoiona ndani ya ACT "WAZALENDO" ni kumtegemea ZZK kama kiongozi pekee mwenye mvuto na anayeweza kusikilizwa na kueleweka machoni mwa watanzania! Binafsi simuoni kiongozi yoyote ndani ya chama hichi anayeweza kusimama mwenyewe bila msaada au support. Hii ni risk kubwa kwa chama cha kisiasa kuwekeza kwa binadamu badala kutegemea sera na itikadi ya chama! Siombi jambo baya limtokee kwa ZZK, ZZK ni binadamu leo yupo kesho ametangulia mbele ya HAKI.

Mkuu wangu, afadhari ACT imeanza na walau huyo kiongozi mmoja mwenye mvuto, hii Chadema unayoiona leo ilianza ikiwa haina kiongozi ata mmoja mwenye huo unaoitwa mvuto wa kisiasa, lakini leo unawajua wanasiasa wengi ndani ya Chadema. Ipe nafasi ACT nayo ipitie stage hiyo, ikue.

Lakini cha pili ndugu yangu, ebu tuwe wa kweli, Chadema imewekeza kwenye sera gani?hivi ukiwauliza wanachadema wapo Chadema kwa ajili ya sera gani watakujibu??tena afadhari ACT imeanza kwa kujijenga kwa misingi ya ujamaa wake, ata kama hajui details lakini mwanachama wa ACT atakwambia chama changu cha kijamaa, sasa muulize mwanachama wa Chadema, am sure zaidi ya 90% hawawezi kukwambia sera yoyote maana hawazijui, watakaojitahidi wataishia kutaja majina na matukio.
 
“Mwanzo walipotufukuza walituambia tukatafute vyama vingine hilo likafanyika, tulipopata vyama vya kufanyia siasa wakasema vipo kwa ajili ya kugawa upinzani, tukasema tupo tayari kuunganisha Nguvu ya pamoja kwa ajili kuiondoa CCM wenzetu pia hili hawalitaki sasa ni wajibu wenu kutambua watu gani hawataki kuiondoa CCM.

Wananchi watambue tuna nia ya dhati lakini wenzetu wanaweka ugomvi binafsi mbele ya maslahi ya Taifa. Sisi ACT wazalendo bado tupo taayari kushirikiana kwa mujibu wa misingi. Shabaha yetu ni moja tu kubomoa mfumo wa uchumi wa kinyonyaji na kifisadi ili kujenga uchumi shirikishi wa wananchi”

By Zitto kabwe kupitia Twiter

pole bhana mkubwa. nnachokiamini ni kimoja tu kwamba Nchi yenye mafanikio inatokana na michakato myema ktika maisha.
 
POSTED BY BETROD NDAGA POSTED ON 4/20/2015

MMGL0834.jpg


Aliozungumzwa kwenye radio moja maarufu Nyanda za Juu kusini, ni kwamba CUFwamesema wapo tayari hata kuungana na shetani kuunganisha nguvu ya kuitoa serikalitawala madarakani, atua hii imekuja baada ya wenzao CHADEMA kutoa tamko lao kuwahawezi kushirikiana na ACT pamoja na kutangaza kuwa adui mkubwa wa chama chao kwasasa ni Bw. Zitto Kabwe. maneno ayo yamemuwezesha Zitto kutoa tamkoo na maneno yakuwa siliba wanachama na chama cha CHADEMA soma hapa maneno ya Zitto.



LIKE PAGE YETU CLICK HAPA SASA kupata habari zaidi
13784_1056218247738903_5194799985831487915_n.jpg
 
mkuu hapa jukwaani sio pahara pa kupiga porojo, mambo haya ni vema ukawasiliana na mhalili wa TANZANIA DAIMA kesho itakuwa front page.

We unaishi wapi? mbona yalishawahi kuwa front page Mwa.n.a..ha..lis.i mkuu? tatizo Msaliti Mkuu (MM) hajawahi kujibu ili majibu yake pia yawekwe front page
 
Mkuu wangu, afadhari ACT imeanza na walau huyo kiongozi mmoja mwenye mvuto, hii Chadema unayoiona leo ilianza ikiwa haina kiongozi ata mmoja mwenye huo unaoitwa mvuto wa kisiasa, lakini leo unawajua wanasiasa wengi ndani ya Chadema. Ipe nafasi ACT nayo ipitie stage hiyo, ikue.

Lakini cha pili ndugu yangu, ebu tuwe wa kweli, Chadema imewekeza kwenye sera gani?hivi ukiwauliza wanachadema wapo Chadema kwa ajili ya sera gani watakujibu??tena afadhari ACT imeanza kwa kujijenga kwa misingi ya ujamaa wake, ata kama hajui details lakini mwanachama wa ACT atakwambia chama changu cha kijamaa, sasa muulize mwanachama wa Chadema, am sure zaidi ya 90% hawawezi kukwambia sera yoyote maana hawazijui, watakaojitahidi wataishia kutaja majina na matukio.

Hata ukimuuliza Chenge atajibu sera ya CCM ni ujamaa. Wenye akili ndogo wanadhani nchi hii ina tatizo la sera tu.
Chenge ni mjamaa kama MM wenu, Lowasa ni mjamaa kama MM wenu, Rugemalila ni mjamaa kama MM wenu
View attachment 245912 Nyerer wetu (2).jpg

Kusema tu sera yangu ni ujamaa haijawahi kuwa tatizo kwa akina Chenge kama ambavyo sio tatizo kwa MM.
 
Zitto ingefaa sana akae kimya atulie bado anajina na Imani kwa wtz lakini anachokifanya sasa kinanifanya kuwa na maswali mengi mfano
Kweli anajitangaza nchini na kusema wagombea ubunge wahamie act swali hapa anadhani anaweza kuingia act Leo na kukijenga ghafla namna hiyo?
Pili gharama zoote hiZi anazozitumia katoa wapi? Haoni kwamba anaonekana ni fisadi kiaina?
Kwakuwa yeye anahamasa kwa wtz bado anapoendelea kutafuta wapiga Kura kwa ajili ya October na Hapana Shaka kwamba atapata Kura japo sio za ushindi na hii ni kuzigawa Kura za upinzani na kukifanya Chama cha ccm kushinda kwa kishindo? Ikiwa hivyo anawezakubisha kwamba yeye siye agent wa ccm?
 
Na fedha za Lowasa atalipaje?
Na hao CCM wanaomundalia mikutano na fedha watalipwaje? ZZK ni msaliti mbaya bilblia inatamka wazi kuwa saizi yake ni "kufungwa jiwe kubwa ili atumbukizwe baharini asiibuke tena!! time will tell wait----------

Unaweza kuthibitisha bila shaka ni vipi CCM wanamuandalia mikutano yake??!au unameza na kukalilishwa tu.. umri wako unafananaje?! ZITTO kasema mna chuki Binafsi je hili si la kweli?! Alipokua chadema mlimuona mzigo hata kwenye Machungu yake haumkushtuka nani kati yenu Bavicha alieshiriki hata msiba.!? Halafu mnajifanya watanzania?!wa wapi ..... watz tuna utu.. upendo... na ushirikiano.. katika matatizo na furaha..!!mnataka tushabikie chama kisichojua Utu wala Fadhira..? Kwenu nyinyi mwanachama akifa mko radhi aliwe na mbwa barabarani na sio kuzikwa.. is it how the politics is..?? No sioni ajabu kwanini Shonza na wenziwe waliondoka chadema.. Mna Roho Mbaya na Wabinafsi.. akija mtu kujibu ajibu na hili la Msiba pia.
 
Zito atakutana na upinzani amabao hajawahi kuuona ndani ya nchi hiii. Hawez kutusaliti vijana wenzake hivihivi kirais alafu sie ma interlectual tunyamaze. Alitufundisha kutokunyamaza pale pa ukwel so hatutamfumbia macho kwa usaliti alioufanya ndani ya chama kubwa makini kinachowakomboa watz wa leo. Kuna watu wanamfuata ila hawajamjua sie tunao ona mbali tayari tulishamjua toka zaman. Atajuta kuwa act. Nahisi hata mama yake hakuwahi kumshauri kuachana na chadema. Atajuata

Acha kututukana watz hatuko hivyo... hatuna mawazo mgando kama yako.
 
Zitto ingefaa sana akae kimya atulie bado anajina na Imani kwa wtz lakini anachokifanya sasa kinanifanya kuwa na maswali mengi mfano
Kweli anajitangaza nchini na kusema wagombea ubunge wahamie act swali hapa anadhani anaweza kuingia act Leo na kukijenga ghafla namna hiyo?
Pili gharama zoote hiZi anazozitumia katoa wapi? Haoni kwamba anaonekana ni fisadi kiaina?
Kwakuwa yeye anahamasa kwa wtz bado anapoendelea kutafuta wapiga Kura kwa ajili ya October na Hapana Shaka kwamba atapata Kura japo sio za ushindi na hii ni kuzigawa Kura za upinzani na kukifanya Chama cha ccm kushinda kwa kishindo? Ikiwa hivyo anawezakubisha kwamba yeye siye agent wa ccm?

Kaa fikiri kisha useme.. kugawa kura za upinzani?chadema si mmgoma kuungana naye?wabunge hamsini ndio kwani uchaguzi tayari?! Kaa usubiri baada ya uchaguzi ndio uje umsute kua alikua Muongo.
 
Aisee Zitto ana akili nyingi zingekuwa zinagawiwa ninge muomba ampimie kilo moja Mnyika na Mbowe wagawane!

Kijana yuko makini na ni mzalendo wa kweli...

kama ni mzalendo mshauri akawanie ubunge ubongo mtu wakikubali town kama mh.Mnyika pale juwa ww shujaa sio vimajimbo vya zichochoron kam kas.ika.zin mixiiiiiiiii!
 
We unaishi wapi? mbona yalishawahi kuwa front page Mwa.n.a..ha..lis.i mkuu? tatizo Msaliti Mkuu (MM) hajawahi kujibu ili majibu yake pia yawekwe front page

Nadhani hilo swali ulipaswa ujiulize wewe, unaishi wapi ata hujui lile suala la waraka ule liliishia wapi?mbona magazeti yaliandika sana wakati ule?ulikuwa wapi?

Summary: ZITTO ATAKA CHADEMA IELEZE KAMA WARAKA ULE NI KWELI ILI ACHUKUE HATUA ZAIDI
MNYIKA: ATOA TAARIFA RASMI KUWA WARAKA ULE NI FEKI NA NI UZUSHI WA MITANDAONI
................................................................................................................................................................................

  • Mgogoro ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umeingia katika sura mpya baada ya viongozi wake wawili waandamizi, Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitila Mkumbo kuuandikia uongozi wa chama hicho wakitaka uikane taarifa inayowachafua mitandaoni.

    Zitto na Dk Mkumbo wanatuhumiwa kupokea fedha na kushirikiana na viongozi wa Idara ya Usalama wa Taifa na wale wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa nia ya kuivuruga Chadema.

    Taarifa hiyo yenye kichwa cha habari 'Ripoti ya siri juu ya Zitto Kabwe', ambayo imesambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii katika siku za karibuni inadaiwa kuwa iliandaliwa na Kitengo cha Upelelezi cha Chadema baada ya uchunguzi wa mwenendo wa Zitto ndani na nje ya nchi kuanzia mwaka 2008.

    Sehemu ya taarifa hiyo ya mtandaoni inadai kuwa Zitto alipelekewa kiasi cha Dola za Marekani 266,000 (Sh416 milioni) huko Ujerumani na maofisa wa Usalama wa Tanzania, Desemba 16, 2009.

    Ripoti hiyo inadai kuwa fedha hizo zilipitishwa katika Benki ya Berliner ya Ujerumani kwenye akaunti ya raia wa nchi hiyo, Andrea Cordes, ambaye anadaiwa kumpelelekea Zitto.

    Taarifa zaidi zinadai kuwa fedha hizo ziligawiwa kwa wafuasi mbalimbali wa chama hicho na miongoni mwao ni Dk Mkumbo.

    Zitto amlima barua Dk Slaa

    Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Zitto alisema amemwandikia barua Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa kumwomba athibitishe ‘Taarifa ya Siri ya Chadema' kama ni ya kweli au chama hicho kikanushe kile alichokiita ‘hekaya.'

    "Taarifa ya Chadema inasema kwamba chama hicho (chama changu), kilikuwa kimechunguza mwenendo wangu tangu mwaka 2008 hadi 2010 na kubaini kuwa mimi ninapokea fedha kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuivuruga Chadema," alisema Zitto kwenye taarifa yake.

    Zitto alisema taarifa hiyo ni ya kutunga na iliyojaa uongo wa kiwango cha kutisha, imemfedhehesha, imemsikitisha na kumkasirisha.

    Alisema taarifa hiyo iliibuliwa katika kipindi ambacho alikuwa ziarani barani Ulaya katika nchi za Uswisi na Uingereza ambako alikuwa anafuatilia fedha zilizofichwa na Watanzania katika nchi hizo.

    "Pengine lengo la ripoti hiyo lilikuwa ni kutaka kunipoteza kutoka katika nia na dhamira yangu ya dhati ya kutaka Watanzania wafaidike na utajiri wao. Muda ambao watunzi wa ripoti hiyo waliamua kutoa taarifa yao unazua maswali mengi kuliko majibu," alieleza Zitto katika taarifa yake.

    Dk Mkumbo alia na uenezi

    Dk Mkumbo alieleza kusikitishwa na Idara ya Uenezi ya Chadema kwa kukaa kimya bila kutoa maelezo juu ya suala hilo.

    "Hasa pale ambapo tumeambiwa waraka huu umetoka makao makuu. Hii si kawaida kwa idara yetu hii nyeti iliyosheheni watu mahiri. Mara zote huwa wepesi kabisa kwa vijana wetu katika idara hii kutoa ufafanuzi, tena kwa mambo mepesi kabisa yanayokigusa chama, vipi makamanda kwenye jambo hili imekuwaje?" aliandika Dk Mkumbo kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Facebook jana na kuthibitisha kwa simu.

    Dk Kitila alisema pamoja na umaskini wake, hajawahi kuhongwa popote na wala hatarajii.

    "Taarifa zinazosambazwa kuhusu mimi ni za uongo wa kijinga na uzushi wa kitoto kwa malengo ya siasa nyepesi. Ni wazi kwamba wanaosambaza habari chafu kunihusu hawanijui na ndiyo maana wanaweza kudiriki kuzusha kwamba mimi Kitila Mkumbo naweza kuhongwa Sh200,000."

    Alihoji pia Chadema ilikuwa na siri gani za hatari kiasi cha kumfanya Zitto, ambaye ni rafiki yake wa siku nyingi kuhongwa kiasi hicho kikubwa cha fedha.

    Mnyika awajibu

    Hata hivyo, Katibu Mwenezi wa Chadema, John Mnyika ameikana ripoti hiyo na kueleza kuwa haijaandikwa na makao makuu ya Chadema.

    Mnyika alisema Zitto ameibua kitu ambacho anafahamu kuwa kimeshughulikiwa na uongozi wa chama hicho.

    "Zitto anajua kuwa Andrea Cordes aliniandikia baruapepe na nakala kwake nikawajibu kuwa ripoti hiyo haijaandikwa na Makao Makuu ya chama na tukipokea malalamiko rasmi tutachunguza kwa sasa chama kinaichukulia ripoti hiyo kama ripoti nyingine zinazosambazwa mitandaoni," alifafanua Mnyika.

    Akizungumzia malalamiko ya Dk Mkumbo, Mnyika alisema alikuwa anapaswa kufuata taratibu za chama kama alikuwa na malalamiko.

    Alisema baada ya taarifa hiyo ya siri kusambaa mtandaoni, Zitto alitoa kauli na kama Dk Mkumbo hakuridhika, alipaswa kuonana na watu wa Idara ya Uenezi ya Chadema.

    "Idara ingetoa ufafanuzi zaidi. Mjadala huu usikuzwe bila sababu za msingi na kufunika masuala mengine muhimu ya kitaifa," alisema Mnyika.

    Gazeti la Mwananchi
    Tarehe 11/11/2013




Ndugu yangu,ulikuwa wapi ata habari hii huijui?
 
Back
Top Bottom