Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

Na fedha za Lowasa atalipaje?
Na hao CCM wanaomundalia mikutano na fedha watalipwaje? ZZK ni msaliti mbaya bilblia inatamka wazi kuwa saizi yake ni "kufungwa jiwe kubwa ili atumbukizwe baharini asiibuke tena!! time will tell wait----------
Khaa!!! Umenichekesha sana. Unasubiri dodo lidondoke chini ya mNazi. OK time will tell YOU
 
Ngoja waje Bavicha na virob vyao,ndo mida yao hii subiri tu uone,Tena usiombee wanywe Gongo we subiri tu

Aisee Zitto ana akili nyingi zingekuwa zinagawiwa ninge muomba ampimie kilo moja Mnyika na Mbowe wagawane!

Kijana yuko makini na ni mzalendo wa kweli...

Afande Sele ana cheo kikubwa kuliko msafiri Mtemelwa kwenye ACT ? mbona ndio anapanda majukwaani wakati mwenezi wa Taifa akiwa hapewi nafasi ? au kiongozi mkuu anaamua nani apande jukwaani na nani abakie chini?

Eti Zitto na Afande Sele ni wajamaa na wazalendo!!...
Mjamaa anacheza muziki uchi?
Mzalendo anamiliki Hammer?
 
Mwanzo ulisema wabunge zaidi ya hamsini wakiwemo wa upinzani wangehamia act, sasa unasema ulitaka kuunganisha nguvu na hao hao wapinzani. Nadhani umri wako ni mdogo sana kuwa mrema wetu wa sasa. I know you are fooled by the mainstream media support and so you won't back down with your hypocrisy. Go ahead hiring them jobless cheap graduates to mutter bad words against the opposition side on your behalf.
 
unaweza kuniambia tofauti ya kosa la LOWASSA(Richmond) na kosa la PINDA(ESCROW) kama umenielewa utajua kwa nini mkulima alisalimika, na kuanzia hapo utakuwa umepevuka hutamuita tena EL fisadi.

Tuache porojo tutafute watu wenye uwezo bnafsi.

Upo makini, wanaelewa wenye akili tu. Tuache ushabiki wa kijinga, hoja nzuri zikitolewa kwakuwa zimetoka upande wasioukubali basi ni kupinga tu. Inakera.
 
Chadema focus imepotea kabisa, kama ni mpira CDM inacheza boom bam boom. Wimbo sasa ni usaliti, wakija kujitambua wanacheza ngoma ya ZZK watajikuta mtoto si wao.
 
Ishu za watu yafaa ziwekwe kando kwa sasa.
Kuna suala la katiba ambalo limeanza kulitkiisa taifa.
Kuna suala la daftari la wapiga kura
kuna kura ya maoni
kuna uchaguzi mkuu
kuna masuala ya kiuchumi mfano tayari hali ya chakula haiko vizuri.
Kwa hiyo tunayakabili vipi masuala haya ili tuyamalize na kuweka vema mipango mizuri tuendelee kwa kasi jet maana sasa kasi ni ya konokono.
kupenda kusikia na kusema ya watu kutatuongezea presha bure!
 
Watanzania hatuna chuki binafsi na Zito bali tuna chuki kubwa kwa yale aliyotufanyia. Mengi yamesemwa juu yake lakini hajawahi kuyajibu kwa vielelezo. Hajawahi kueleza kwa ukamilifu hela aliyokuwa akiipokea toka CCM (kwa kupitia maofisa wa TISS) ilikuwa ya nini? Hajawaeleza Watanzania ukaribu wake mkubwa na mawasiliano yake na maofisa wa juu wa TISS yamekuwa yanahusu nini hasa. Mawasiliano na maofisa wa TISS yalioneshwa kwa vilelezo, na hasa yalikuwa wakati wa kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi.

Leo anapotaka kushirikiana na UKAWA, Watanzania watakuwa na uhakika gani kuwa nia yake kubwa siyo kutaka kujua mipango na mbinu za UKAWA kwa manufaa ya wale ambao amekuwa akiwatumikia siku zote, CCM?

mkuu,watu wanaoendesha siasa za majitaka ni kuachana nao tu.siasa za majitaka ni siasa za watu ambao ama uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana,au hawafikiri kwa kutumia kiungo sahihi au hawafikiri kabisa.
Yule anayesema fulani kafanya hivi,ndiye anayepaswa kuja na ushahidi wa hilo analomtuhumu nalo huyo mtu,na si kwa huyo mtuhumiwa kujitetea,kwani kwa mtindo huo,kila siku utakuwa ni mtu wa kujibu tuhuma tu.
Ushahidi wa hayo yote uko wapi?
 
yani tunakaa naye kwenye vikao vya ndani tunapanga mbinu za kumkabili adui yetu, yeye anatoka hapo anapeleka taarifa na mbinu zetu kwa adui.
huyu Traitor ni wa kuaminika jamani??

Wewe tokea umepata Akili unazani ni mbinu gani ilivujishwa mpaka CDM ikakosa ushindi
 
..huyu alifukuzwa.

..kwa hiyo siyo ajabu CDM kusema hawataki kushirikiana naye.

..yaani mtu afukuzwe CDM, halafu wamrudishe kwa kupitia UKAWA?

..Zitto akashirikiane na vyama vingine lakini siyo CDM.

..kwani hakuna vyama vingine vya kushirikiano navyo zaidi ya CDM na UKAWA?

..We are tired of dramas.

cc Mkandara, Kapwela, Chademakwanza, Kimbunga, Nguruvi3
Vipi kuhusu Chadema kushirikiana na CUF kwenye umoja wao wakati huo huo CUF anashirikiana CCM au hii haina tatizo kosa ni kushirikiana na Zitto, ndiyo maana Mnyika kasema wazi adui yao wa kwanza ni Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Endelea kumchukia kwa vielelezo vya Kubenea na wenzake. Mwenye akili hajibu mipasho ila anaamini anaamninika na kundi la watu na si kikundi cha watu.

Watanzania hatuna chuki binafsi na Zito bali tuna chuki kubwa kwa yale aliyotufanyia. Mengi yamesemwa juu yake lakini hajawahi kuyajibu kwa vielelezo. Hajawahi kueleza kwa ukamilifu hela aliyokuwa akiipokea toka CCM (kwa kupitia maofisa wa TISS) ilikuwa ya nini? Hajawaeleza Watanzania ukaribu wake mkubwa na mawasiliano yake na maofisa wa juu wa TISS yamekuwa yanahusu nini hasa. Mawasiliano na maofisa wa TISS yalioneshwa kwa vilelezo, na hasa yalikuwa wakati wa kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi.

Leo anapotaka kushirikiana na UKAWA, Watanzania watakuwa na uhakika gani kuwa nia yake kubwa siyo kutaka kujua mipango na mbinu za UKAWA kwa manufaa ya wale ambao amekuwa akiwatumikia siku zote, CCM?
 
Watanzania hatuna chuki binafsi na Zito bali tuna chuki kubwa kwa yale aliyotufanyia. Mengi yamesemwa juu yake lakini hajawahi kuyajibu kwa vielelezo. Hajawahi kueleza kwa ukamilifu hela aliyokuwa akiipokea toka CCM (kwa kupitia maofisa wa TISS) ilikuwa ya nini? Hajawaeleza Watanzania ukaribu wake mkubwa na mawasiliano yake na maofisa wa juu wa TISS yamekuwa yanahusu nini hasa. Mawasiliano na maofisa wa TISS yalioneshwa kwa vilelezo, na hasa yalikuwa wakati wa kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi.

Leo anapotaka kushirikiana na UKAWA, Watanzania watakuwa na uhakika gani kuwa nia yake kubwa siyo kutaka kujua mipango na mbinu za UKAWA kwa manufaa ya wale ambao amekuwa akiwatumikia siku zote, CCM?
Ukishaonja nyama ya binadamu huwezi acha aslan!nukuu toka kwa Baba wa Taifa
 
Back
Top Bottom