Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

ushuhuda ulikuwa unajenga ila naona lara 1 ni maarufu sana jf na huenda kuna mkono wake,kweli ninashukuru Mungu kwa waliowahi kuusoma.

Watu wakiambiwa mazuri yaliyopo kwenye ndoa wanasema unafki.Wanataka waskie mabaya tu ili kesho watoe shuhuda kwamba hawataolewa haraka.Naunga mkona ndoa na iishimiwe.
 
Nitakuja na somo hapo baadaye lihusulo :

kujitambua+ kutambulika + kutambulishwa = mahusiano

ngoja mambo yakae vizuri
 
Samaki mmoja akioza haimaanishi wote wameoza.Kuna watu wanafuraia ndoa zao mpaka unatamani ukimaliza kusoma hii thread na we ukaolewe.

Kuna wengine wanateseka na ndoa mpk utatamani sa ivi umwambie boyfriend wako its over.

Kuna pia walio single maisha yao hayaeleweki kama chura.Kuna wale pia wanafuraia maisha mpk utatamani kweli usioe au usiolewe.

Haya maisha yasikudanganye focus on your goals.

Asante mkuu kwa wazo zuri ...ubarikiwe ndoa na iheshimiwe
 
Watu wakiambiwa mazuri yaliyopo kwenye ndoa wanasema unafki.Wanataka waskie mabaya tu ili kesho watoe shuhuda kwamba hawataolewa haraka.Naunga mkona ndoa na iishimiwe.

lazima tuusimamie ukweli mkuu hata tutakanwe ila umesikika.
 
hehehe na still una kadi mia za kitchen party apo na arusi....sasa kwa experience yote iyo si uingie na ww ukaumie...maana kilio cha wengi arusi sasaaa...ingia tu mpenz au hamna wakuingia nae..atoke wapi!!!tobaa!!!

mmmh ni kweli kadi kama unaziona hivi nachangia hata wewe kama unataka kuingia nachangia wala sida tabu ...any way sitaki kuongelea hii kitu tena
 
Watu wakiambiwa mazuri yaliyopo kwenye ndoa wanasema unafki.Wanataka waskie mabaya tu ili kesho watoe shuhuda kwamba hawataolewa haraka.Naunga mkona ndoa na iishimiwe.

Mwenyewe ingawa sijaolewa kiukweli ndoa na iheshimiwe na watu wote siwazi kuiongelea vibaya wakati sijaingia wala sina experience matatizo yako kila.mahali tu ku learn kwa watu walioshindwa lazima ukate tamaa changamoto zipo kila mahali ndoa na iheshimiwe na watu wote
 
Mwenyewe ingawa sijaolewa kiukweli ndoa na iheshimiwe na watu wote siwazi kuiongelea vibaya wakati sijaingia wala sina experience matatizo yako kila.mahali tu ku learn kwa watu walioshindwa lazima ukate tamaa changamoto zipo kila mahali ndoa na iheshimiwe na watu wote

Tuzioombee ndoa ziwe salama.Ndoa zikivunjika sana jua na kizazi chetu hakitakuwa salama.Sisi sote ni matunda ya ndoa( kila mmoja amezaliwa na baba na mama).
 
Tuzioombee ndoa ziwe salama.Ndoa zikivunjika sana jua na kizazi chetu hakitakuwa salama.Sisi sote ni matunda ya ndoa( kila mmoja amezaliwa na baba na mama).

Ni kweli kuziombea muhimu kila mtu akisimama kwenye nafasi yake vizuri na kusimamia mbona ndoa inakuwa nzuri ya wazazi wawili to.me ndoa ni muhimu sana and i learn from my family.matatizo madogo dogo yapo yana sovika
 
Jamani naomba tu nijibiwe huyu lara moja atakuwa na umri gani..... Naomba siku ya harusi nifike mchango ninao na zawadi ninayo
 
Kama mnakubaliana kwenye hilo, mnabishana wapi?

Mmoja anaona glass a half full mwingine anaona the same glass a half empty.. Point yangu's that the situation may be seen in different ways depending on one' point of view..
So kwangu mie naona wote wako right..


 
Angalau kuna mtu anajaribu ku-dilute hizi "mis-education za lara 1".
 

Hapo kwenye bluu

Acha nami nijifunze juu ya consistency hii ya hypocricy kwenye ndoa, na kwa nini tabia hii iwe ndio kigezo nambari moja cha kuipa ndoa nafasi unayoipa Lara1.

Asante
Hujanielewaa! Ndoa naipa nafasi nyingi SEMA ULE UZI ULIKUWA MAALUMU KWA SIFA HII YA HYPOCRICY!
 
Watu wakiambiwa mazuri yaliyopo kwenye ndoa wanasema unafki.Wanataka waskie mabaya tu ili kesho watoe shuhuda kwamba hawataolewa haraka.Naunga mkona ndoa na iishimiwe.
Na nyie mbona mnakomali MAZURI TUUU? Wachache mnoo miongoni mwenu wamekubali mabaya yana exists!
 
Back
Top Bottom