mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,038
- 2,740
ushuhuda ulikuwa unajenga ila naona lara 1 ni maarufu sana jf na huenda kuna mkono wake,kweli ninashukuru Mungu kwa waliowahi kuusoma.
Watu wakiambiwa mazuri yaliyopo kwenye ndoa wanasema unafki.Wanataka waskie mabaya tu ili kesho watoe shuhuda kwamba hawataolewa haraka.Naunga mkona ndoa na iishimiwe.