Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

Jamani naomba tu nijibiwe huyu lara moja atakuwa na umri gani..... Naomba siku ya harusi nifike mchango ninao na zawadi ninayo
Nina miaka 40! Ndo maana vimenniuma! ANY FURTHER QN YOUR HIGHNESS?
 
Tuzioombee ndoa ziwe salama.Ndoa zikivunjika sana jua na kizazi chetu hakitakuwa salama.Sisi sote ni matunda ya ndoa( kila mmoja amezaliwa na baba na mama).
Na mkija kuwaponda single ladies MSEME UKWELI TUNAWAPONDA ILA HALI KULE NAISHIKILIA KWA MAOMBI!
 
Asante mkuu kwa wazo zuri ...ubarikiwe ndoa na iheshimiwe
NDOA ZA WANAZOJIHESHIMU NDO NITAZIHESHIMU TUUUU HIZI ZA HYPOCRICY MTANISAMEHE BUREEEEEE! Haiwezekani nikutajie the AFTER PILLS afu kesho niiheshimu ndoa yako! Thubutuuuuuu! Au najua kabisaa kimada wako flani niheshim ndoa yajko! Thubutuuuuuu!
 
Nawahi nafasi! Nimerudi!

YES MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION SIFUTI KAULI!

Married people should be honest and stop window dressing of facts THAT THEY ARE THE HAPPIEST, LUCKIEST, AND BETTER THAN EVERYBOY HAVING A HEAVEN ON EARTH AND SINGLE OLD CARGOS LIKE ME SHOULD GO HUG A TRANSFOMER BECAUSE WE ARE PITYFULL! Hypocrisy at its highest!

IT ABOUT TIME WE PUT ALL THE CARDS ON THE TABLE!
Life is how you make it.. happiness ndani ya ndoa inatengenezwa na wanandoa wenyewe.. sio watu wa nje ya huo muungano. Uliye nje ya hiyo ndoa huwezi kuongelea furaha ya ndoa ambayo hauuishi. hata mi naweza iongelea vizuri ndoa yangu, lakini si ya mtu mwingine. Furaha zao wanazijua wenyewe, mi naijua yangu tu

Every marriage is unique in its own way... ndoa hazifanani.. kila couple inaishi ndoa yake kwa style yao wenyewe, na sio kwa kuiga ndoa na styles za watu wengine.. we create our own happiness. so if married people think they are happy, just let them be.

we also don't discourage/ pity people who have chosen to be single and happy. most of the times ni wao wenyewe ndio huwa wanajihisi hivyo. Na sidhani kama kuna upande ulio better kuliko mwingine. yote ni maisha tu, na hakuna haja yaupande mmoja kudiscourage upande mwingine

Nakubaliana na wewe kwamba, mtu asioe/ kuolewa kwa kuogopa kwamba umri unaenda.
 
Hapa kwenye MIZIGO, naona unatutaka shari mie, Sheick Kipozeo, Asprin, Mbuzi Mzee na wengine wengi.
Bantu lady, wajisikiaje hali yako?



2. Kweli nimetahadharisha si wanandoa tu, bali BINADAMU KWA UJUMLA WETU kuwa maisha ni safari ndefuu sanaaa, ukicheka leo kesho huenda unune nanikaenda mbali sanaa kuwaomba bin adaam MUMUOMBE MUNGU AWAFANYIE WEPESI MIZIGO YENU ......!
 
Last edited by a moderator:
Jamani naomba tu nijibiwe huyu lara moja atakuwa na umri gani..... Naomba siku ya harusi nifike mchango ninao na zawadi ninayo

ana miaka 28 Yeye ni mtoto wa kwanza kuzaliwa na ndoa ya baba na mama lara 1 ina miaka 26 au 27....
 
Last edited by a moderator:
Life is how you make it.. happiness ndani ya ndoa inatengenezwa na wanandoa wenyewe.. sio watu wa nje ya huo muungano. Uliye nje ya hiyo ndoa huwezi kuongelea furaha ya ndoa ambayo hauuishi. hata mi naweza iongelea vizuri ndoa yangu, lakini si ya mtu mwingine. Furaha zao wanazijua wenyewe, mi naijua yangu tu

Every marriage is unique in its own way... ndoa hazifanani.. kila couple inaishi ndoa yake kwa style yao wenyewe, na sio kwa kuiga ndoa na styles za watu wengine.. we create our own happiness. so if married people think they are happy, just let them be.

we also don't discourage/ pity people who have chosen to be single and happy. most of the times ni wao wenyewe ndio huwa wanajihisi hivyo. Na sidhani kama kuna upande ulio better kuliko mwingine. yote ni maisha tu, na hakuna haja yaupande mmoja kudiscourage upande mwingine

Nakubaliana na wewe kwamba, mtu asioe/ kuolewa kwa kuogopa kwamba umri unaenda.
NOT LIFE MY DEAR PEOPLEEEEEE! UGRATEFUL PEOPLE!
Nilie nje si nakuona UNALIA JAMANI KWA UCHUNGU, KUTUPIGIA SIMU SAA 9 UNADHANI MPANGO, AU KUMPIGIA MAMA SAA 9 UNADHANI FURAHA HIO, MWENYEWE ANA MSEMO WAKE KIMENUKAA KWA NDUGUYO SHOSTI AMAKA TU TUJADILIANE!

So my dear WENYEWE WANANDOA KUITA VIKAO VYA UKOO KAZAA NJE, ANANIPIGA, KAHAMA NYUMBANI UNAFIKIRI HUO UKOO HAUPIGI MAJUNGU? Hahaaaaaaaa!

Wanandoa mna tabia hio mnoooo! Sasa mi ndugu zangu wananijua sikopeshiiii!

Akianza lara na miaka yako 40 fyoko fyoko namuwahiii BIBI KUOLEWA NA HUYO KINGKONG NDO UNAONA UMEFIKAAAAA.? Watoto ushawaharibu sura hao! Au basi na wewe kumpata huyo EMOLO akuoe sinywi maji yakashuka! Au huyo bwana unae mfuga wewe na wa kuni9igia kelele bwana achana na mimi, au siku hizi analala ndani unajitia kuongea nakupa siku tatu usiniamshe saa 9 tukamtafute ma bar! Hahahaaaaaa! I PUT THEM IN THEIR PLACES! THEY CRUCIFY ME I CRUCIFY THEM NGOMA DROOO TUNAHESHIMIANA! The good part haya mambo yanakua yanamla ndani so nikiyaweka mezani aaaaaaah! Kimyaaaaaaa!

KOKOTE UTAKAKO KAA VITA IPO TUNABADILISHA UPANDE TU EITHER DEFENCE AU STRIKER!
 
ana miaka 28 Yeye ni mtoto wa kwanza kuzaliwa na ndoa ya baba na mama lara 1 ina miaka 26 au 27....

NDOA INA MIAKA 28, MIMI WA MWISHO NA WATOTO WOTE WAMEZALIWA NDOANI! My motherwas a woman of virtues,
 
Baaaaado ndoa inabaki kuwa kitu chema!
nikikosea mimi kwangu hena mana utakosea kweny hilo!
mapungufu yangu hayamaanishi hakuna niliuo bora kwayo!
 
Baaaaado ndoa inabaki kuwa kitu chema!
nikikosea mimi kwangu hena mana utakosea kweny hilo!
mapungufu yangu hayamaanishi hakuna niliuo bora kwayo!

NANI ASIE NA MAPUNGUFU! Sawa ni jambo jema ila taasis mnaiendesha kinafiki!
 
Ndoa ni nzuri na ni tamu sana asemae ndoa mbaya huyo haijui ndoa achiliambali ndoa zakukurupuka watu wamekutana bar,wamimbishana,wamefumaniwa au mtu kamuona dada/kaka anapesa na kigari cha mkopo hiyo sio ndoa ila ndoana , Ndoa hasa inapangwa na Mungu na ndio maana ukaambiwa upo wakati wakuoa/kuolewa lakini hakuna umri wakuoa /kuolewa hata mtu afikishe 40 sio issue bado anaweza kuwa na ndoa bora na tamu. Kikubwa ni wanandoa wenyewe kuiheshimu hiyo ndoa.
 
NDOA INA MIAKA 28, MIMI WA MWISHO NA WATOTO WOTE WAMEZALIWA NDOANI! My motherwas a woman of virtues,

lara 1
mamako amekuwa hero wako kwenye mengi sana!!
umewahi kufikiria kumfanya awe hero.wako kwenye ndoa na mahusiano
anzia uchumba wake mpk kuwalea mwenyewe akimake kwa mshahara na kufuga,bado.mlisoma,mlivaaa,mlikula na aliendelea kutuma nauli kwa mumewe ulaya arudi !
na aliporudi alimpokea!
wana ndoa ya miaka 29 sasa!
aint that lovely ?

p
 
Kinacho ni chekesha kwenye huu uzi watu wana kubali ndoa ni moja ya taasisi zilizo jaa unafiki ndio maana wanataka matatizo yabaki ndani ya ndoa(siri ) na ya siende nje wakimaanisha waendelee kucheka Mbele za watu huku ndani wanaumia na wanapo zidiwa ndio wanasema au mpaka wanapo achana!

Bahati mbaya zaidi kwa sababu wengi wanaolewa ili waonekane wameolewa hivyo hawawezi kusema yanayo wakumba ndani ya ndoa wako radhi kupigwa mpaka wafe Lakini wako kwenye ndoa lakini wataendelea kusema ndoa ni taasisi yenye mazuri tuu na wana kataa kusema yale mabaya hili watu wajifunze.


Ni lazima matatizo yanazo zikabili ndoa yasemwe ili watu wajifunze na wajue kuwa mtu anapo ingia kwenye hasidhani ana kwenda peponi!

Mtoa mada mwenyewe kuanzia paragh alipoanza na neno lakini aMekubaliana na wanao sema ndoa ni taasisi iliyo jaa unafiki!
 
Back
Top Bottom