Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

Atajibeba leo...!!!
amekunywa soda zetu...!!!
Atajibeba leo ...!!!
Amekula keki yetu...!!!
Atajibeba leo....!!!!
Amevaa dera letu...!!!

Hhhhhhh aaaaaaaaaaa kalalaaaa doloooooooooooooooo huyoooo
 
Kakalia kujisifia suraa tu WAKATI ENGINE IMEKAKAMAA KAMA GARI IMEKATA CENTRE BOLT! Mbele hachezi nyuma hatikisikiiiii! Huyu mwali kweli kigegooooooo! Ma kungwi tumekula hasaraaaa!

umeonah eeee....!!!!anapinda pinda mama nyoka..!!!
kati hana ...!!!
juu hana....!!!!
chini hana.....!!!
yupo kama tandu vile.....!!!!
 
mimi sijui ninachotaka ujumbe ufike hilo mnajua nyinyi watu wa mipasho jana mbona hamkumuuliza shost wenu leo unauliza.Ndoa na iheshimiwe na watu wote.

mi nimemquote huyo uone kwamba jibu alilopewa linamstahili afu mi thread za ndoa sipendagi kujichosha maana yangu bado sana afu mtazamo wangu na lara ni haufanani ni engo mbili tofauti
 
Mkuu umeongea sana mkuu kiufupi watu wana stress humu zakupigwa chini mara kwa mara nakukataliwa wakati vikao vya harusi vimeshaanza,watu wana msongo mkubwa wa mawazo mkuu,mtu ashakuwa na wanaume lukuki ila kila akiulizia ndoa jamaa anakata mguu ghafla,sa kwa nini asiwe na mawazo yakuponda ndoa wakati ndoa ni mpango SAHIHI aliouweka MUNGU kwa kila mwanadamu jinsi yakuishi ukishakuwa mtu mzima...binafsi sijaoa ila ninawaheshimu sana nakuwapa pongezi waliopo ndani ya ndoa,matatizo yapo kila mahali na katika mahusiano yoyote hata huku kwa ambao hawajaoa pia yapo ila kitu kinaitwa UVUMILIVU na KUJITAMBUA kwa nini upo hapo ndio silaha tosha yakuishi vyema.

CCM yenyewe mkuu tumeivumilia pamoja na ufisadi eti ndoa watu wasivumilie....umemaliza kila kitu mkuu.
 
ng`wana ong`wa kulwa sawa mkuu pole mods labda wameona umepemba sana...... au yalikuwa too personal ... isiwe hoja ila ni kutupa tu mwelekeo kwamba kwenye ndoa kuna mazuri na kuyasema any way its okey na pole all good and bad are made for us... okey

ushuhuda ulikuwa unajenga ila naona lara 1 ni maarufu sana jf na huenda kuna mkono wake,kweli ninashukuru Mungu kwa waliowahi kuusoma.
 
sasa hapa namtaka mentor wa chuo anisaidie jamani

NIMEPASTE TUUU HII TOKA KULE JUU:

Anashangaa wana ndoa wa jf hawatoi ushuhuda wa ndoa zao au kuomba ushauri wakati mambo yanapoharibika.kwa vile binti huyu hajawahi kuwa kwenye ndoa sishangai kuona akiuliza kitu kama hiki ndoa ina maadili yake mojawapo ni kutotoa siri nje ya ndoa.
 
Kwa geshima yako nimetoka kwenye kigodorokuja kujibu hapaaa! Okay! What do we have here!

NA KUWA. NA TABIA NYINGI HAKUPOTEZI KWA NAMNA YOYOTE, AU KUFIFISHA TABIA HIO MOJA SUGU NA MAARUFU YA HYPOCRICY! Na hii tabia nimeiona kwenye ndoa za mazingira TOFAUTI TOFAUTI wanachozidiana ni level tu ya HYPOCRICY! Ila HYPOCRICY WAS CONSTANT REGRDLESS DIEFFERENT ENVIRONMENT OBSERVED!



MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION HENCE PROVED BEYOND REASONABLE DOUBT!

Hapo kwenye bluu

Acha nami nijifunze juu ya consistency hii ya hypocricy kwenye ndoa, na kwa nini tabia hii iwe ndio kigezo nambari moja cha kuipa ndoa nafasi unayoipa Lara1.

Asante
 
Back
Top Bottom