Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

mi nakula tu wazuri ila mazoombie daah nisamehe siwezi hehe
teamsurambaya mmepanic

Waliwaaaaaaaa tuuu weye mtoto wa kiume, wanaume wazuri wawajua pia teeeeeeeh! Wachaaaaa! Mtoto lainiiiii watu wanakufaidii tu! Kantangazeeeeeeeee! GAWA ZANZIBARA HIOO GAWA KWA PROMOSHENI UTUKOMOE SIE WABAYA YAKHEEEEE!

HAHAHAAAAAAAAAA! Wewe tene MOST BEAUTIFUL DUME GELO WA HILI JAMAVI.! Alaaaaaaaaaaa! Tutakupatia wapi sie ! WAPE WAPE VITU HIVO WAFAIDI MALI ZAKO MWENYEWEEEE!
 
mbona kama kigodoro hiki mwali yupo wapi????

mwali ni REALITY a.k.a sajo na keki tumemuandaliaa leo tunamfundisha na kukata kiuno anatuaibisha mnoooo kiuno kigumu kama toroli linakata kona
 
Last edited by a moderator:
nadhani wengekuwa na ushuhuda wangeleta hapa PM kibao unakuta ni waume za watu wanatafuta nini kama si kuchepuka na humo ndani ni sumu...... I HATE THIS INSTITUTION CALLED MARIAGE..... kama kuta zingeweza kusema tungesikia vilio vingi sana vya wanandoa ...... hata ukipita mtaani asillimia kubwa utasikia usikimbilie ndoa kama ni tamu mbona wanataka kutoka.......
hao wasimamaizi wa ndoa ndio wanasaidiana kutafunana humo hmo ndani ya ndoa.... ndoa ni ni jamboa ambalo siwezi kuamini kama kuna raha humu fuuuck it let it go to hell

Samaki mmoja akioza haimaanishi wote wameoza.Kuna watu wanafuraia ndoa zao mpaka unatamani ukimaliza kusoma hii thread na we ukaolewe.

Kuna wengine wanateseka na ndoa mpk utatamani sa ivi umwambie boyfriend wako its over.

Kuna pia walio single maisha yao hayaeleweki kama chura.Kuna wale pia wanafuraia maisha mpk utatamani kweli usioe au usiolewe.

Haya maisha yasikudanganye focus on your goals.
 
mwali ni REALITY a.k.a sajo na keki tumemuandaliaa leo tunamfundisha na kukata kiuno anatuaibisha mnoooo kiuno kigumu kama toroli linakata kona

Kakalia kujisifia suraa tu WAKATI ENGINE IMEKAKAMAA KAMA GARI IMEKATA CENTRE BOLT! Mbele hachezi nyuma hatikisikiiiii! Huyu mwali kweli kigegooooooo! Ma kungwi tumekula hasaraaaa!
 
wala always UKWELI UNAUMA na kukubali ukweli wanashindwa ... waende kwenye ustawi wa jamii waona matatizo yaliyopo kule mengi ni kutokana na ndoa .... NDOA wasidanganyike si jambo la kukimbilia hata kidogo ni KUZIMU NDOGO

Kama imefikia iyo point hamna ambae angekubali kuingia kuzimu.Sana sana watu naona wanakimbilia kuingia humo.
 
Kutwa wanashinda humu hata kazi hawana mala lara1 msipokuwa makini mtakufa maxini mfyuuuuuuuuuuuuuxxxxxxxxx

hahahaha hizi id mbili mbili hizi dina nisaidie kumng'amua huyu mwanaume anajua kusonya sijaonaga hahaha
 
hahahahaha tanteeeeeee haya weka yako anti tuone unavyotufunika hivi pampasi ushaanza kuvaa au mikwaju ya haja haijakukolea ant sajo hahahaha

Khaaa we mwana Tabia ya kukesha kwenye vigodoro imeanza lini???
 
Waliwaaaaaaaa tuuu weye mtoto wa kiume, wanaume wazuri wawajua pia teeeeeeeh! Wachaaaaa! Mtoto lainiiiii watu wanakufaidii tu! Kantangazeeeeeeeee! GAWA ZANZIBARA HIOO GAWA KWA PROMOSHENI UTUKOMOE SIE WABAYA YAKHEEEEE!

HAHAHAAAAAAAAAA! Wewe tene MOST BEAUTIFUL DUME GELO WA HILI JAMAVI.! Alaaaaaaaaaaa! Tutakupatia wapi sie ! WAPE WAPE VITU HIVO WAFAIDI MALI ZAKO MWENYEWEEEE!

hahahahah mali zake mwenyewe halipiii kodi wala nini aendelee kuchuma mboga waongeze urefu wa shimo la taka lol
 
Mh...haya,
Mkuu, salaaama? Twende kwenye topic husika,

Naomba kwanza uelewe hili jambo called changamoto...Kuna changamoto kila mahali, hata kwenye majumba ya ibada kuna changamoto, ikulu pale kuna changamoto, iweje kwenye ndoa kusiwe na changamoto? je? changamoto anazopitia mke wa mtu ni sawa na wewe single lady?

Unadhani kubaki single ni heshima au ni uhuni tu? Sababu sisi ni binaadam tunahitaji kukidhi haja zetu, single utaishia uzinifu na kuitwa malaya. Bora uikabili ndoa na uijenge ili ukabiliane na changamoto zake, sio kuishia kuikandia bila sababu

sina nyongeza mkuu umemaliza.ndoa na iheshimiwe na watu wote.
 
Mh...haya,
Mkuu, salaaama? Twende kwenye topic husika,

Naomba kwanza uelewe hili jambo called changamoto...Kuna changamoto kila mahali, hata kwenye majumba ya ibada kuna changamoto, ikulu pale kuna changamoto, iweje kwenye ndoa kusiwe na changamoto? je? changamoto anazopitia mke wa mtu ni sawa na wewe single lady?

Unadhani kubaki single ni heshima au ni uhuni tu? Sababu sisi ni binaadam tunahitaji kukidhi haja zetu, single utaishia uzinifu na kuitwa malaya. Bora uikabili ndoa na uijenge ili ukabiliane na changamoto zake, sio kuishia kuikandia bila sababu

mkuu mimi ni naogopa hii kitengo na yawezekana ni historia iliyopo ila sasa any way niiche hii kitu,,... kiukweli jamii itaniona muhuni lakini noagopa kufanya maamuzi kwa kuangalia jamii
 
Back
Top Bottom