Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

really he he wify matola dnt be arrogant
REALLY NINI SI WEWE MREMBO SAJO TUMEKULISHA KEKI.? Beauty wa kijiji, miuno feniii. MREMBO UMEUMBWA UKAUMBIKAAAA LAINIIIIII KAMA UNANAWA!
Sajo weeeeee unavojibu kigoma hiki cha urugwaaay kinanogajeeeeee! Acha kabisaaaa!
 
kama hamtaki ndoa endeleeni kushughuliwa na mijamaa mtakumbuka shuka kukiwa kumekucha.

haya yote yameshashindikana walahi...yaani coment zao walaaa hazinigusi maana wapo wanawake mia ngap hapa wahile mashankupe tu ndio yanayochangia mada.....yapo negative maana hayana ndoa...afu apo yapo bizeee kuhudhuria vitchen party vya mashoga zao jumapili....aibu aibu!!mapaka ya baa hovyooooooo
 
Na kule hajaja kajifanya notification hajazionaaz, tunamlisha kekiii na kumuogesha shampein dume zima hovyoo eti wenzie wabayaa,ainame sasa ye mzuriii

mi nakula tu wazuri ila mazoombie daah nisamehe siwezi hehe
teamsurambaya mmepanic
 
Na kule hajaja kajifanya notification hajazionaaz, tunamlisha kekiii na kumuogesha shampein dume zima hovyoo eti wenzie wabayaa,ainame sasa ye mzuriii

Naunga mkono utaratibu huu sasa hivi dume zima likileta kashfa muwe mnalichamba tu mpaka lichambike haswaa, na seti ya tarumbeta nitawanunulia za kwenda kumsutia mbea.
 
Hilo halina ubishiii ANTI SAJOO NDO QUEEN WA MMU, BEAUTY WA KIJI, CUTE WA MTAA, PRETTY WA NYUMBA KUMI, MREMBO KAUMBIKA KILA IDARAAAA! Haya tumpigie makofiiiiiiii,

Bila kusahau huyu SAJO NI DUMEEEE NA MIDEVU YAKE ILA DUME HILI NI DUME DADAAAAAA! Mpo hapo.?

Halafu kutujifanya kutuquote mfyuuuuuu kila mti ana mtukana eti yeye kakamilika kila idara wakati mtoto laini hats biskuit hawezi vunjaa,SAJO WA MMU ACHA UMBEAA NA UKOME KUSEMA WENZIO WABAYAAA KOMA UKOMAEEEEEE KA NYANYA NSHUMAA,,
 
I dnt think tulioolewa huwa tunajichukulia na kuwachukulia ambao hawajaolewa the way unavyozani wewe, na sijui ni nini kimekupelekea ukazani tuko hivyo

Umeongea vyema mkuu..

Haya maneno yote yanawatoka sababu ya kitu watoto wa mjini sijui wa kisasa wanaita kujishtukia. Ukipita mbele za watu wakicheka unahisi watu wanakuchekla wewe.

Huku ni kutokujiamini ambako koote huko hutokana na kuwa tofauti, unahisi kutokuolewa ni bahati mbaya,au mkosi ??laaah hasha. ni maisha tu, jiamini na muda utafika utapata mwenza utaolewa tu, haina haja ya kukashifu walioolewa. Au kutoka povu kwa jambo ambalo hata vitabu vya dili limebariki.

Changamoto zimo kila mahali, na sio jambo la msingi kutangaza kila linalotokea ndani ya ndoa. Na kumbuka kila ndoa ina utofauti na nyingine. Kama wewe bahati mbaya umepitia maisha ya kulelewa na wazazi wenye matatizo ndoani ni wewe.
[/QUOTE]


Ukweli mtupu mkuu
 
Huko tushahama mada imeisha lara kigodoro kinaanza upyaa sie tena mama SHGHULII kazi yetu kuwashisha adabu, REALITY A.K.A SAJO WA MMU njoo ule kekiii ulijifanya notification hujazionaa eeeeeeee na badoo

Sajo keki imemkolea mpaka kisogoniiiii! Anawaya waya tu! Hahahaaaaa! Baada ya huu mchambo dem ataemkubali SAJO THE CUTES, MOST BEAUTIFULL, THE PRETTIEST atakuwa hana akili timamu!
 
mi nakula tu wazuri ila mazoombie daah nisamehe siwezi hehe
teamsurambaya mmepanic

and viceversa is true unaliwa lol aibuje kukiri hadharani nnchi yetu hata haitaruhusu ndoa za jinsia moja utasubiri sanaaaaa sajo
 
mi nakula tu wazuri ila mazoombie daah nisamehe siwezi hehe
teamsurambaya mmepanic

usilolijuaaa litakusumbuaa,wee mzurii inama tukukagueee mama yako kapata hasara, tafuta pesa we mbona sura mbaya hata wassira handsome husemwii, inama tukukagueeeee na keki hiyoo hapoooo kwaajili yako shostitoooooo
LEO UNALOOO WE NI MWENZETU TU REALITY ALIEJAALIWAAA UPOO YANATINGISHIKA YANAKUWASHA EEE
 
Nawahi nafasi! Nimerudi!

YES MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION SIFUTI KAULI!


Hitimisho!
TUWE TU WA WAZI UOLEWE, USIOLEWE, MAISHA YOTE NI CHANGAMOTO! Married people should be honest and stop window dressing of facts THAT THEY ARE THE HAPPIEST, LUCKIEST, AND BETTER THAN EVERYBOY HAVING A HEAVEN ON EARTH AND SINGLE OLD CARGOS LIKE ME SHOULD GO HUG A TRANSFOMER BECAUSE WE ARE PITYFULL! Hypocrisy at its highest!

IT ABOUT TIME WE PUT ALL THE CARDS ON THE TABLE!

Lara1

Bado naona hitimisho lako limepwaya, maana 'hypocritical' ni tabia moja ya taasisi ya ndoa. Ndoa kama taasisi ina tabia nyingi sana, hivyo kuona tabia moja tu na kuhitimisha kuwa baaasi, hivi ndivyo ndoa ilivyo ni kutoa hitimisho lilipwaya sana. Pengine nilazimike kuelewa kuwa tabia hii ya 'unafiki' kwenye ndoa utakuwa umeiona kwenye ndoa nyingi unazozifahamu ambazo nachelea kusema kuwa ndoa zote hizi ulizoziona na tabia hii zinapatikana kwenye mazingira yanayofanana.

Nikushauri uendelee kujifunza tabia zingine za ndoa, pengine utaielewa taasisi hii uzuri tu. Nikuthibitishie kuwa, ndoa ingekuwa na tabia hii pekee, leo hii ingekuwa ni taasisi iliyopitwa na wakati kabisa. Lakini kwa vile ndoa inazo tabia nyingi, na hii ni tabia ndogo sana ya ndoa, sio ajabu ndoa ni taasisi maarufu sana duniani hata leo. Taasisi nyingine yenye sifa hii ya hypocrisy ni taasisi za kisiasa. Lakini umeona zimeacha kuishi? Sababu kubwa ni vile unafiki ni sehemu ndogo tu ya uhalisia. Hivyo, kuhitimisha based on a minute characteristic leaves behind unanswered questions.
 
Kutwa wanashinda humu hata kazi hawana mala lara1 msipokuwa makini mtakufa maxini mfyuuuuuuuuuuuuuxxxxxxxxx
 
Mimi yangu nilimaliza jana,hapa kuna mambo mawili ambayo ndo yanafanya kuwe na mkanganyiko,moja ni swala la umri ambalo ndo lara 1 analipigania,lingine ni taasisi ya ndoa kuitwa ya unafiki ng`wana ong`wa kulwa analipigania,kila jambo lina mazuri na mabaya yake,kuna mazuri ya kuchelewa kuoa/kuolewa na kuna mabaya yake hali kadhalika kuna mazuri na mabaya ya ndoa.

Mabaya ya kuchelewa kuolewa hayatufanyi tuwahukumu kwamba ndo mmekosa kabisa na kwamba hamfai,hali kadhalika mabaya ya ndoa au changamoto zake yasiwafanye kuihukumu taasisi hii kuwa ni ya unafiki.Ukweli ubaki kuwa ukweli.

Umeongea kweli mkuu mimi shida yangu ni kuita ndoa taasisi ya kinafiki wakati watu tunaenjoy na wake zetu wanataka kutulazimisha tuamini ndoa ni matatizo la hasha hatukubali.Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
 
Back
Top Bottom