Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

Hahaaaaa! Graduate utaemuoa wewe mchimba chumvi toka mkoani! Hahahaaaa! SIWI MPOLE NA SITISHIKI NA LOLOTE!

kumbe mchimba chunvi hana haki ya kusikilizwa ndiyo maana wengi wana doda kusubiri waume wa kuwaoa wakidhani ni wachimba chunvyi kumbe ni graduate.
 
Okay mrembo SAJO, SHOSTIII LA UKWELI, KICHUNA CHA HAJAAAAAAA! Umefurahiii! Na lipstic nakupakaaa ungae vizuri weweee mtoto wa kiumeee!

Heluaheluaaaaaaaaaa MREMBO SAJO, BEAUTY WA KIJIJI YUPO UWANJANI WALE WA ZANZIBAR NA DUBAI TUNAPOKEATENDER ZENU! MNAONA WENYEWEEEE KAKA ANAJISIFIA MZURIIIIIIIIJEEEEE! Lainiiiiiiiii! Kama UNANAWA! KAZI KWENU!

Nimeumisi kweli wimbo wa shilole DUME HILI DUME GANIIIII? DUME DADAAAAAAAAA LTAKA LIOLEWE EEEH LIINGIE NDOANI ATIIIII! Halooooooo!

hahahahahahaha promo mix inamuhusu biashara imemdodea hahaha anajitangaza kijanja afu humu wala tigo wala hamna aende hukohuko alikotokea sajo jina limempendezeje
 
hahahahaha sijui bando aliishiwa au wapii geniveros ukuje huku shosti yetu kajileta
Hahahaaa! ANTI SAJO ANATAFUTA BWANA AOLEWE NAE AINGIE NDOANI ATIIIII CHEZE DUME ZURI AFRIKA MASHARIKI NA KATI YOTEEE MZURI PEKE YAKEEEEE!

Sajo weeeeeeeeeee!
 
Mimi yangu nilimaliza jana,hapa kuna mambo mawili ambayo ndo yanafanya kuwe na mkanganyiko,moja ni swala la umri ambalo ndo lara 1 analipigania,lingine ni taasisi ya ndoa kuitwa ya unafiki ng`wana ong`wa kulwa analipigania,kila jambo lina mazuri na mabaya yake,kuna mazuri ya kuchelewa kuoa/kuolewa na kuna mabaya yake hali kadhalika kuna mazuri na mabaya ya ndoa.

Mabaya ya kuchelewa kuolewa hayatufanyi tuwahukumu kwamba ndo mmekosa kabisa na kwamba hamfai,hali kadhalika mabaya ya ndoa au changamoto zake yasiwafanye kuihukumu taasisi hii kuwa ni ya unafiki.Ukweli ubaki kuwa ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa! ANTI SAJO ANATAFUTA BWANA AOLEWE NAE AINGIE NDOANI ATIIIII CHEZE DUME ZURI AFRIKA MASHARIKI NA KATI YOTEEE MZURI PEKE YAKEEEEE!

Sajo weeeeeeeeeee!

kwi kwi kwi ant sajo ana mambo aweke na picha kabisaaa tumthaminishe
 
hahahahahahaha promo mix inamuhusu biashara imemdodea hahaha anajitangaza kijanja afu humu wala tigo wala hamna aende hukohuko alikotokea sajo jina limempendezeje
Dume limeharibikaa mpaka basiiii! Khaaaaaaaaa! MIE SAJO MZURIIIIIIIIII LARA 1 HANIPATI HATA NUKTA?!!! Tobaaaaaaaaaaaaa! Khaaaaaaaaaa!
Haya DADA MZURI TULIA TUKUOZE WEWE TENA BEAUTY WA KIJIJI! Hahahahahaaaaaaaa! Sajo umetishaaaaaaaa!
 
kwi kwi kwi ant sajo ana mambo aweke na picha kabisaaa tumthaminishe
UZURI WAKE SI ZANZIBAR YAKEEEEE! Halooooooo! Kwani ulikuwa hujaelewaaa eeeeh? Habari ndo hio! DUME DADA LETU LA UKWEE SAJO MIUNO FENI,CHEZA DUME ZURI, BEAUTY, CUTE, NA PRETTY PEKEYAKE KAKA SAJO! Kantangazeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Dume limeharibikaa mpaka basiiii! Khaaaaaaaaa! MIE SAJO MZURIIIIIIIIII LARA 1 HANIPATI HATA NUKTA?!!! Tobaaaaaaaaaaaaa! Khaaaaaaaaaa!
Haya DADA MZURI TULIA TUKUOZE WEWE TENA BEAUTY WA KIJIJI! Hahahahahaaaaaaaa! Sajo umetishaaaaaaaa!

upo sawa?
 
lara 1 tujenge hoja tu dada yangu matusi hayana tija.Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
JIBU LINATOKANA NA SWALI! Ukitoa hoja unajibiwa hojaa, ukiomba tusi nakipa tusi. MKILETA HOJA MIE NARUDISHA HOJA! Niko kwenye KIGODORO CHA KUMNEMA MWALI SAJO MARA MOJA, TUNAMNEMA MCHANA MCHANA MAANA MWALI KIKOKO HUYU! Nitarudi kujibu hoja!
 
Back
Top Bottom