Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

nadhani wengekuwa na ushuhuda wangeleta hapa PM kibao unakuta ni waume za watu wanatafuta nini kama si kuchepuka na humo ndani ni sumu...... I HATE THIS INSTITUTION CALLED MARIAGE..... kama kuta zingeweza kusema tungesikia vilio vingi sana vya wanandoa ...... hata ukipita mtaani asillimia kubwa utasikia usikimbilie ndoa kama ni tamu mbona wanataka kutoka.......
hao wasimamaizi wa ndoa ndio wanasaidiana kutafunana humo hmo ndani ya ndoa.... ndoa ni ni jamboa ambalo siwezi kuamini kama kuna raha humu fuuuck it let it go to hell
Mh...haya,
Mkuu, salaaama? Twende kwenye topic husika,

Naomba kwanza uelewe hili jambo called changamoto...Kuna changamoto kila mahali, hata kwenye majumba ya ibada kuna changamoto, ikulu pale kuna changamoto, iweje kwenye ndoa kusiwe na changamoto? je? changamoto anazopitia mke wa mtu ni sawa na wewe single lady?

Unadhani kubaki single ni heshima au ni uhuni tu? Sababu sisi ni binaadam tunahitaji kukidhi haja zetu, single utaishia uzinifu na kuitwa malaya. Bora uikabili ndoa na uijenge ili ukabiliane na changamoto zake, sio kuishia kuikandia bila sababu
 
UZURI WAKE SI ZANZIBAR YAKEEEEE! Halooooooo! Kwani ulikuwa hujaelewaaa eeeeh? Habari ndo hio! DUME DADA LETU LA UKWEE SAJO MIUNO FENI,CHEZA DUME ZURI, BEAUTY, CUTE, NA PRETTY PEKEYAKE KAKA SAJO! Kantangazeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

go to the point dada hana dick ky!
 
Teh teh amechenga kule kujaa mi nimekuja na shampein teh na bikinii juuuuu KATA KEKI TUMLISHE AACHE UMBEAAAAA
ALELELELEEEEEEEEEEEEEEEEE! AIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII! SAJO BEAUTY WA KIJIJI, PRETTY N CUTE BOY CHEZEAAAAAA! Mwanaume kaumbikajeeee sasa! Halooooooo!
 
Dume limeharibikaa mpaka basiiii! Khaaaaaaaaa! MIE SAJO MZURIIIIIIIIII LARA 1 HANIPATI HATA NUKTA?!!! Tobaaaaaaaaaaaaa! Khaaaaaaaaaa!
Haya DADA MZURI TULIA TUKUOZE WEWE TENA BEAUTY WA KIJIJI! Hahahahahaaaaaaaa! Sajo umetishaaaaaaaa!

hahahahaha mwanaume akishaanza kujiona mzuri ujue kishaanza kuvaa pampasi hebu pata picha wezele lake linavyotuna hahahah
 
go to the point dada hana dick ky!
Hahahaaaa! BORA ULIVOTOKA KWENYE CLOSSET! Kwa hiondo wanatumiaga hio KY sijui YK kwako! TOBAAAAAAAAAAA! Mtoto wa kiume weeeeee!

Ila shosti nikupongezee UNAJITAHIDI KUCHAMBANA HII FANI KWELI KWAKO KIPAJI!
 
hahahahaha mwanaume akishaanza kujiona mzuri ujue kishaanza kuvaa pampasi hebu pata picha wezele lake linavyotuna hahahah

Hahahaaaaaa! NA WEZELE KAJAALIWA SI MASIKHARAAAAA KAMA MUINDI TENA MUHINDI YULE TOLEO LA MWISHO KABISAAAAAAAA! Hahahaaaa! Ndo maana kuchwa kusema wadada àYEYE TENA BEAUTY WA KIJIJI, CUTE WA MTAAA ALAAAAAAAAAA!
 
Hahahaaaa! Umeona umsaidie nimempa za uso mpaka katulia!

KASEMA HAPENDI MWANAMKE ANAE ONGEA KAMA MIMI, JE NILIWAHI HATA MARA MOJA MIMI HUYO JAPO KUMTANIA NAPENDA FREE P KAMA YEYE?

Ndo jibu langu hilo!

ASIJISHONGONDOE SIPENDI MTU WA AINA FLANI YEYE KAAMBIWA HUYO MTU ANAMPENDA?

Rudi kwenye mada yako please, michambo yetu na mkono wa paka na mkewe HAIKUHUSUUUUUUU,! Kazania mada yako baba kabla hujachachua thread!

YA NGOSWE TUACHIE NGOSWE TULIVOANZANA NDO TUTAMALIZANA!

hahahahahahahaha lara 1 tunasonga mbele Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
 
Dume limeharibikaa mpaka basiiii! Khaaaaaaaaa! MIE SAJO MZURIIIIIIIIII LARA 1 HANIPATI HATA NUKTA?!!! Tobaaaaaaaaaaaaa! Khaaaaaaaaaa!
Haya DADA MZURI TULIA TUKUOZE WEWE TENA BEAUTY WA KIJIJI! Hahahahahaaaaaaaa! Sajo umetishaaaaaaaa!

Sajo anatafuta kiki ashaipata ye mremboo namba moko wengine wote tupo nyuma yakeee AACHE UMBEAA hajaumba hata mmojaaa mdomo kama kasuku pote pote anataka awepoooo looooo
 
Back
Top Bottom