ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,754
- Thread starter
- #201
Hahahaaaaaaa! ILA MKE WA MTU MWENZENU KWENYE HIO TAASISI ATIIII!
Nitunge story kwa lipi hasaa manake humu maofisini wanandoa sifa zenu ziko waziiii hamna mpinzani, ni kuchukua tumfano mmoja mmoja! PROTECT YOUR OWN UWE HYPOCRITE MZURI, KILICHOCHAFUA TAASISI YA NDOA NI NYIE WANANDOA WENYEWEEEEEEE MSIJIKAUSHE!
Hatujikaushi ni maisha tunayoishi nashangaa kwa nini ushuhuda wa mke wangu umefutwa kwenye uzi wangu.