Maji yakipwa huenda wapi?

Maji yakipwa huenda wapi?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,431
Kwetu hakuna bahari, ila kuna ziwa kubwa sana. Mara ya kwanza kufika mikoa ya Pwani nilishanga sana kuona bahari ikiwa kavu na maji yake yameondoka.

Ndipo nilipoikumbuka stori ya moja wa mshujaa wetu aitwaye Ng'wana Malunde. Huyu mwamba baada ya kuwasumbua sana wakoloni, walimua kumkamata na kwenda kumfunga Unguja, aliyeyuka huko gerezani na kuonekana maeneo mbalimbali akirandaranda na ndipo aliposimulia habari za bahari kwenda kuchunga.

Sasa nyie watu wenye bahari yenu, naomba mnijuze kwa kina, bahari ikipwa huenda wapi?
 
Ukilala kitandani na ukajifunika shuka fupi, ili ufunike kichwa chako lazima miguu ibaki nje....na ili uifunike miguu lazima kichwa kibaki nje au wazi.

When there is low tide at one point of the ocean, there is high tide at another point of the ocean.
 
Ukilala kitandani na ukajifunika shuka fupi, ili ufunike kichwa chako lazima miguu ibaki nje....na ili uifunike miguu lazima kichwa kibaki nje au wazi.

When there is low tide at one point of the ocean, there is high tide at another point of the ocean.
Nini kinachohamisha maji ya bahari kutoka point moja kwenda nyingine?
 
Kani ya uvutano kati ya mwezi na dunia Mkuu
Part of the answer. Dunia inakabiliwa na kani mbalimbali kulingana na magimba (bodies) yaliyopo angani. Pili, dunia hai-move (rotation & revolution) katika hali ya complete stillness and tranquility, bali inayumba fulani hivi as if inataka kuanguka vile lakini always iko katika balance.

It's like cycling. Kuna msawazo, lakini sometimes kuna kulalia kushoto na kulia. So, hizo forces (centrifugal, gravitation, atmospheric pressures, internal forces, strong winds, na elements zingine majini, hali ya hewa) na physical features huleta matokeo ya maji kuhamia upande mwingine provisionally.

Think like this. Weka maji kiasi (like three quarters) kwenye beseni. Then, linyanyue juu na kulizungusha beseni taratibu huku ukiliegamaza (tilt) huku na huko.
 
Kwetu hakuna bahari, ila kuna ziwa kubwa sana. Mara ya kwanza kufika mikoa ya pwani nilishanga sana kuona bahari ikiwa kavu na maji yake yameondoka.

Ndipo nilipoikumbuka stori ya moja wa mshujaa wetu aitwaye Ng'wana Malunde. Huyu mwamba baada ya kuwasumbua sana wakoloni, walimua kumkamata na kwenda kumfunga Unguja, aliyeyuka huko gerezani na kuonekana maeneo mbalimbali akirandaranda na ndipo aliposimulia habari za bahari kwenda kuchunga.

Sasa nyie watu wenye bahari yenu, naomba mnijuze kwa kina, bahari ikipwa huenda wapi?
Kwani jua likizama huenda wapi?
 
Part of the answer. Dunia inakabiliwa na kani mbalimbali kulingana na magimba (bodies) yaliyopo angani. Pili, dunia hai-move (rotation & revolution) katika hali ya complete stillness and tranquility, bali inayumba fulani hivi as if inataka kuanguka vile lakini always iko katika balance.

It's like cycling. Kuna balance, lakini sometimes kuna kulalia kushoto na kulia. So, hizo forces (centrifugal, gravitation, strong winds, na elements zingine majini) huleta matokeo ya maji kuhamia upande mwingine provisionally.

Think like this. Weka maji kiasi (like three quarters) kwenye beseni. Then, linyanyue juu na kulizungusha beseni taratibu huku ukiliegamaza (tilt) huku na huko.
Majibu ya kujenga na kupanua fikra kwa tusiojua
 
Part of the answer. Dunia inakabiliwa na kani mbalimbali kulingana na magimba (bodies) yaliyopo angani. Pili, dunia hai-move (rotation & revolution) katika hali ya complete stillness and tranquility, bali inayumba fulani hivi as if inataka kuanguka vile lakini always iko katika balance.
1. Kwanini maji ya ziwa hayakupwi Wala kujaa licha ya Dunia kuyumbayumba?

2. Kwanini maji ya bahari Dunia nzima yasijae upande ambao Dunia imelalia? Kuna mtu amesema kwamba maji yanapokupwa upande mmoja, jua kwingine yamejaa
 
1. Kwanini maji ya ziwa hayakupwi Wala kujaa licha ya Dunia kuyumbayumba?

2. Kwanini maji ya bahari Dunia nzima yasijae upande ambao Dunia imelalia? Kuna mtu amesema kwamba maji yanapokupwa upande mmoja, jua kwingine yamejaa
Kila mahali penye water body duniani (hata maji ya kunywa kwenye bilauri 🙂 ) pana-experience tukio la kupwa na kujaa. It's just that some cases are more or less pronounced than others, kutokana na factors nilizotaja awali (the chief of which is the gravitational force--inayotegemeana na mass of an object).

Primary cause ya kupwa na kujaa ni GF inayotegemea mwelekeo wa eneo husika la chanzo cha maji with respect to the moon's gravitational pull (na jua).

^Kwa nini maji ya bahari Dunia nzima yasijae upande ambao Dunia imelalia?^ Actually, hiki ndicho kinatokea. Mahali ambapo panaegamiana (au panaelekeana) na dunia au jua (and the other/opposite side) ndipo hasa penye kujaa maji (high tide).

Which means (maelezo yako ya mwisho), lazima kuna pande ambazo maji haya yamepungua (kupwa) ili kufidia kule yalipojaa.
 
1660335806704.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom