Majaribu makubwa mengine Arusha - Lema

Majaribu makubwa mengine Arusha - Lema

Pole sana Kaka Lema tunajuwa kila neno baya juu yako litasema lakini wale wote wenye kuishi kwa matumaini basi tuko pamoja na wewe haya ni majaribu kwako na wanamabadiliko wote;
Imeadhiri uhuru kwetu,Pole sana jembe lema'
 
Nina mashaka na we maana tangu ushindwa vibaya kalenga umekuwa ukitafuta namna ya kuja Mjini umeshindwa

Ukajitaidi kutumia mbinu ya kuja kupitia kusema unaacha bunge LA katiba BADO ukabuma

Sasa umepata mbinu mpya yakuja Mjini karibu ila IPO siku utadaiwa haya yote

ubongo wakuku uko kazini cjui ujira wa uwongo km huo nani atakulipa?bure kabisa
 
Watu wengeni wehuyu wanaingiza maswala ya siasa kwa maisha ya watanzania sijui wanafikiri kwa kutumia ma------ au njaa akili ndogo nashindwa kujua mnaingizaje siasa kwenye maisha ya watanzani msiwe maskini wa fikra mh mbunge lema ametoa pole kwa watu walioumia na akasema hawezi elezea mambo mengi mpaka afike arusha leo wehu wengine wanasema sijui elimu sijuisiasa wachaneni na siasa za maji taka hongera mbunge wangu kwa kuacha bunge nakuja kuwapa pole wananchi wako mungu akutangulie mkuuu
 
CCM imegeuka kuwa magaidi na wauwaji.

CCM wameamua kumwaga damu ili watu wasijadili wala kufuatilia Muungano, wapitishe mambo yao kinyemela kinyemela
 
Pole sana Kaka Lema tunajuwa kila neno baya juu yako litasema lakini wale wote wenye kuishi kwa matumaini basi tuko pamoja na wewe haya ni majaribu kwako na wanamabadiliko wote;
Imeadhiri uhuru kwetu,Pole sana jembe lema'

Ndiyo mbinu ya kuingilia Mjini baada ya kipigo cha kalenga hizi damu zitawalilia
 
Kati ya siku ambazo mh. LEMA ameongea kwa busara na ujumbe sahihi kwa wote ni hapa!!
Big up.....ukuaji wa kisiasa huchukua mda, nadhani muda muafaka ni sasa.....onyesha busara zaidi ili uwakilishe wananchi wote vyema na si kundi fulani la wananchi....
 
una gundu tangu uwe mbunge arusha imekuwa ya majanga tu! Wewe ni mbunge wa majanga, fikiria tangu kipindi kile cha maandamano watu wengi wamepoteza maisha na wengine ni vilema wa kudumu.

wakati wengine wanahangaika kutafuta mlo wa leo kutokana na umaskini uliokidhiri kwao wengine wanakula, wakishiba wanakuja kutaapika matapishi hapa jf. Jifunze kuwa na hekima na busara.ikiwezekana nenda kwa shekhe wako akupe somo.
 
Mbunge zezeta kabisa huyu jamaa sijapata kuona

Ni hasara kabisa kwa arusha na nchi kwa ujumla.yeye bila kutaja taja udin na kanisa hajiskii raha

Huko bar kulipotokea mlipuko anakotaka kueleka muulize zile picha zake za utupu ataenda kuendelea kuzigawa ili atafute sympathy??

..duh..we jamaa waweza kuwa unamchukia Lema personally..lakini ujue situation aliyonayo Lema Arusha ni tofauti na wabunge labda wote...Kumbuka Lema kashinda ubunge Arusha kwa kura nyingi tu(kuzidi baadhi ya wabunge wengine)lakini alifanyiwa mizengwe kibao na watawala baada ya kuwa mbunge kwa kuwa hawakufurahishwa na Lema kushinda....na hata Arusha imeanza kuwa na haya matatizo baada ya Lema kuwa mbunge.....na tumeona pia kigugumizi kwa watawala kushindwa kushughulikia baadhi ya matatizo ya Arusha(kwa makusudi tu kama kumkomoa jamaa).....kwa hiyo Lema ana haki ya kulalamika kwa yanayokea jimboni mwake kama mbunge halali......sioni kwanini umchukie kiasi hicho....unless you have personal issues with him........Kwa wanaoijua Arusha wanajua mengi yamefanywa Arusha kwa mizengwe...ili Lema aonekane ni failure...na inawezekana nawe ni sehemu ya walionunua mizengwe hiyo.....

Lema ana haki ya kutoa dukuduku lake kama mbunge,....kama watu wa Mtwara wanavolalamikia gesi yao....i don't see a problem with that...
 
Duuh godbless lema tangu ulipoichukua arusha mjini kwa kweli ccm wameumia sanaa wakiwemo viongozi wa ngazi mbalimbali wanajaribu kwa kila namna kuona arusha huiwezi,huwezi kuiletea maendeleo na hilo ni genge la watu watataa sana.mhe sisi wananchi tuppo pamoja kwa kila hali leo jema tunamshukuru mungu,kesho baya tunaomba mungu aepushe mengine mabaya zaidi.tunakuombea kwa kipindi chako chote ukiwa kama kiongozi na mwakilishi wa arusha.mungu ibariki arusha,mungu ibariki tanzania
 
Lema mbona unaingia na ac fake nyingi hivyo kujitetea haya bhana yetu macho
 
Nimepata taarifa jana ya mlipuko wa Bomu uliotokea Arusha katika Bar ya Arusha Night Park , taarifa niliyoipokea inasema baadhi ya Watu wameumizwa vibaya sana lakini hata hivyo bahati nzuri mpaka sasa sijapokea taarifa ya Binadamu aliyepoteza maisha .

Maisha yanaendelea kuwa magumu katika fikra za Watu kwani milipuko kama hii ilianzia Kanisani halafu ikafuata katika Mkutano wa hadhara wa Chadema na sasa ni kwenye Bar za Pombe , sijui ni nini kinaendelea Arusha , lakini ni vyema muda wa kutafakari ukaongezewa nafasi . Kama Mbunge sina neno zaidi mpaka nitakapokuwa nimefika Arusha leo nakuona na kutafakari .

Poleni sana Familia zote zilizofikwa na majanga haya nawaombea kwa Mungu huku nikitambua mashaka makubwa ya Watu wote wa Arusha . Majaribu haya ni makubwa lakini kwa Dua na Sala mtashinda .

Godbless J Lema
thanks watapigana lakini hawatashinada

watashindana lakini hawatashinda

watalipua mabomu kwenye nyumba za ibada, mkituna ya hadhara na kwenye mikusanyiko lakini hawatashinda

wataleta fitina, kejeli and foolish analysis lakini hawatashinda

hii ni kwa sababu upande wetu umetawaliwa na haki, ukweli na uwazi uwajibijkaji na uwajibikishaji pia kwa wale wote wenye njia mchepuko

poleni Arusha but stay cool
 
Ndiyo mbinu ya kuingilia Mjini baada ya kipigo cha kalenga hizi damu zitawalilia

Damu zitamlilia JK tu yeye alifikiri uongozi ni kumfunga Seya,waliouwa watu na mabomu Arusha mpaka leo anawajua na amekaa kimya sababu ulikuwa mpango wa chama chake. MUNGU anawasubiri kwenye kizimba cha Mahakama ya Mbinguni Isiyosingizia wala kuonea mtu Bali matendo yako yatasimama kutoa ushahidi sasa sijui utapingana na kile ulichotenda.we jitoe Ufahamu tu.Kwa HAKI MUNGU ATAHUKUMU MATAIFA.
 
thanks watapigana lakini hawatashinada

watashindana lakini hawatashinda

watalipua mabomu kwenye nyumba za ibada, mkituna ya hadhara na kwenye mikusanyiko lakini hawatashinda

wataleta fitina, kejeli and foolish analysis lakini hawatashinda

hii ni kwa sababu upande wetu umetawaliwa na haki, ukweli na uwazi uwajibijkaji na uwajibikishaji pia kwa wale wote wenye njia mchepuko

poleni Arusha but stay cool

Au niile mbinu ya kupeleka utalii mwoshi mnaendeleza nn??
 
Kuna watu humu wanapenda kufanya mambo bila kujuwa,unaposema Lema na viparaka wake wanahusika? au unaposema kwa sababu Lema Mbunge fikirisha kwanza akili yako ndio uweze kuandika humu'
 
Mnapigana mabomu wenyewe
halafu mnaanza kulalamika huku.

Poleni wahanga wote;
wakati mwingine chagueni mbunge wa ccm;
ukoo wa mipanya ni marufuku A Town; tawanya hii taarifa hapo Lumumba.
 
Ww fanya siasa lakini,Omba sana yasikukute yasikie maumivu,vilema na mabomu,na vifo'
 
Au niile mbinu ya kupeleka utalii mwoshi mnaendeleza nn??

kwanza: sio mwoshi ni moshi

pili :Lema sio mbunge wa moshi

tatu:Tukio limetokea arusha na sio moshi

nne :Haupo serous thus why unakurupuka na kujibu pumba na pumba yenyewe unakosea spelling
 
Back
Top Bottom