Majaribu makubwa mengine Arusha - Lema

Majaribu makubwa mengine Arusha - Lema

sina imani na mbunge wangu, kwanini mabomu yanalipuka sana tokea wewa na chama chako mchukue jimbo???
 
Mipango ya LEMA na wasaidizi wake,wamepoteza mvuto sasa wanataka huruma kwa wananchi
 
Ikumbukwe jimbo la Arusha ccm huwa wanalipigania sn,
Ni jimbo ambalo linaiingizia taifa pato kubwa sana,
Ccm huwa wanalipigania hilo jimbo, kwenye uchaguz mdogo wa kata ya Sombetini vyombo vya habar na watanzani wote kwa ujumla walitega maskio yao kujua wanasombetini wataamua nn,
Ccm wanafanya kila njia yeyote ili kudhoofisha upinzan ili wao waendelea kuongoza Jiji la Arusha,
Ila wanaarusha wameisha jua mbinu za ccm,
Ccm walirusha mbomu cku ya kufunga kampen soweto na uchaguz ukaahirishwa,
Viingoz wa ccm pamoja na kurusha bomu wakawaambia wanaarusha msichague Chadema ni chama cha kigaid ambacho kimejilipuwa!!
Ccm wakawa na matumain ya kushinda kata zote 4, ila cha kushangaza cku ya uchaguz wanaarusha wakachagua kata zote nne na kuimarisha chadema,
Ccm wakaendelea kuwatuhumu chadema wamehusika ila watanzania wakawa wanashangaa sn kama chadema ndo imejilipuwa yenyewe kwann? Wanaarusha wawachague kwa mara ya pili? Jibu utakuwa nalo ni nani aliyehusika na bomu,
Kikwete tulimuomba aunde tume huru ya majaji kuja kuchunguza hili tukio alikaa kimya?
Namna moja au nyingine kikwete anahusika kwa bomu,
Na hili naweza cm ccm wanahusika kwasababu ccm wanafuga majambaz,
Mfano J4 mjus ni jambaz ambalo linatumiwa na ccm Arusha, ikumbukwe j4 mjus aliwahi kujisalimisha na kurudisha silaha,
Ccm wakawa wanamtumia kwa kupiga wapinzan ila mungu mkubwa Askar wa Arusha walisha sanda na sasa Ameshikwa,
Ccm ni janga la taifa na wao ndo chanzo cha vurugu tanzania nzima,
Ila hakuna marefu yasiyokuwa na ncha ipo cku tu!!!!!
 
Mnapigana mabomu wenyewe
halafu mnaanza kulalamika huku.

Poleni wahanga wote;
wakati mwingine chagueni mbunge wa ccm;


Tatizo baadhi yetu tumekosa uungwana,kama ni CDM wamepiga mabomu kwa nini serikali ikafanya kazi yake na muhusika akawajibishwa?Kwa nini serikali yetu inafanya utani na haya?Tumeona Kenya kumetokea nini na serikali yao ilivyokuwa makini kufanya kinachowezekana.

Dada yangu tuache fikira za kichama na itikadi tuilazimishe serikali ifanye wajibu wake kwa kuzingatia haki za msingi za binadamu kuishi hata akiwa maskini na mbunge wake ni wa upinzani bado anastahili kuishi.Tuwajibike kwa kauli zetu.

Wengi wetu tunalifanya JF kuwa jukwaa la kupoteza muda na si tena mahali pakusaidiana kutatua matatizo yetu kama Taifa.Tubadilike sisi wenye tabia hizi.
 
sina imani na mbunge wangu, kwanini mabomu yanalipuka sana tokea wewa na chama chako mchukue jimbo???

Ww kama huna imani nae ni ww xo sisi wanaarusha tunaiman nae, jiulize kwann kikwete hataki kutengeneza tume huru ya majaji?
Atengeneze ushaid kuweke kila mtu aone,
Fikiria kwa akili yako kama bomu lirushwa kwanye mkutana wa chadema na wanaarusha wakawachagua hao mnaowaita mgaidi! Ila watanzania wa sasa si kama wa zaman hii nchi bila ya kuchapana kidogo hatuta heshiana ila ipo cku tu!!!
 
Mipango ya LEMA na wasaidizi wake,wamepoteza mvuto sasa wanataka huruma kwa wananchi

Ww kanunguyeye mlisema hvy hvy tunatafuta huruma ila tumepiga bao ngap? Utasema mwenyewe tulikuingizia bao ngap
 
Wale mliowafundisha kutengeneza mabomu kwaajiri ya kujiripua walikuwa wanatest tekinolojia mpya kwaajiri ya mkutano utakaoufanya baada ya bunge la katiba kuahilishwa ili ionekane polisi ndiyo wameripua.
 
the big show I like your picture, now that aside, Arusha has RPC, RC and these are the " wenyeviti wa kamati ya ulinzi na usalama' if you ask me, they should be kicked out of Arusha and soon !

Thank you...
 
the big show I like your picture, now that aside, Arusha has RPC, RC and these are the " wenyeviti wa kamati ya ulinzi na usalama' if you ask me, they should be kicked out of Arusha and soon !

Thank you...
 
Nimepata taarifa jana ya mlipuko wa Bomu uliotokea Arusha katika Bar ya Arusha Night Park , taarifa niliyoipokea inasema baadhi ya Watu wameumizwa vibaya sana lakini hata hivyo bahati nzuri mpaka sasa sijapokea taarifa ya Binadamu aliyepoteza maisha .

Maisha yanaendelea kuwa magumu katika fikra za Watu kwani milipuko kama hii ilianzia Kanisani halafu ikafuata katika Mkutano wa hadhara wa Chadema na sasa ni kwenye Bar za Pombe , sijui ni nini kinaendelea Arusha , lakini ni vyema muda wa kutafakari ukaongezewa nafasi . Kama Mbunge sina neno zaidi mpaka nitakapokuwa nimefika Arusha leo nakuona na kutafakari .

Poleni sana Familia zote zilizofikwa na majanga haya nawaombea kwa Mungu huku nikitambua mashaka makubwa ya Watu wote wa Arusha . Majaribu haya ni makubwa lakini kwa Dua na Sala mtashinda .

Godbless J Lema

Lema pamoja na mapungufu yako mengi lakini kwenye jambo la PR umemshinda "Young Turk" Jerry Slaa wa Ilala ambaye kakataa kurudi Dar kuangalia maafa ya mafuriko kwa ku prioritize shughuli za chama huko Mwanza.

Sijaona hata tamko kama hiki la.kutoa pole kutoka kwa Jerry Slaa, ingawa maafa ya constituents wake yametapakaa zaidi kuliko hilo bomu.
 
Una gundu tangu uwe mbunge arusha imekuwa ya majanga tu! Wewe ni mbunge wa majanga, fikiria tangu kipindi kile cha maandamano watu wengi wamepoteza maisha na wengine ni vilema wa kudumu.

Sasa Mh Lema anahusika vp we kilaza? Matukio yaliotokea Arusha yamepangwa kwa makusudi fulani kwa maagizo ya watu fulani. Hayajasababishwa na mvua/mafuriko wala kiamgazi. Tatizo lenu mmekataliwa Arusha mnahaha. Lema anawanyima usingizi.
 
Kama kweli ni mchezo wa chadema basi chadema ni chama dume kimeweza kuwapelekesha wa zao ccm mbio mpaka wamechanganyikiwa
 
Arusha chini ya uongozi wako imeshuhudia umwagaji wa damu na vifo vya kipuuz na visivyo tarajiwa kutokana na aina ya siasa unayoifanya wewe kihiyo

Ni wazi sasa wana arusha wamejifunza kutokana na makosa na kutorudia kufanya selection ya mbunge hopless kama wewe

Ni wazi pia arusha ni kambi ya chadema,basi sio lazima wawape CCM no,wampate mbunge mzuri sampuli hata ya tundu lisu

Lakini si sampuli ya hovyo kama wewe,

Arusha ni mji mkuu wa utalii baada ya zanzibar katika nchi hii,lakin sasa ndan ya uongoz wako sekta yote ya utalii imekufa natural death

Fanya fanya uondoke zako,uongozi chini yako ni laana...
Mtwara nako anaongoza Lema, mbona mpaka masheikh wetu wanapigwa wakiwa misikitini? Acha chuki binafsi , mbona damu ya Ponda imemwangwa Moro huko ni kwa Lema?
 
mkuu lema tahadhari iwepo kwani panapofuka Moshi kuna jambo ulinzi binafsi uwepo kwani tunaona majaribu makubwa tumeona ajali ya helkopta iliyombeba makamu Wa rais ikianguka .kwa Majaliwa ya mungu hakuna aliyepoteza maisha pale .majaribu hay a si mungu ni mipango ya binadamu wenye male ngo maalum na faida wanazojua wao.ulinzi Wa mungu ni muhimu kupinga mipango dhalimu ya with hawa
 
Hiyo yote ni kazi ya Hajart Baltilida Burian na CCM, kwani wanalitaka jimbo la Arusha kwa damu!
 
Nimepata taarifa jana ya mlipuko wa Bomu uliotokea Arusha katika Bar ya Arusha Night Park , taarifa niliyoipokea inasema baadhi ya Watu wameumizwa vibaya sana lakini hata hivyo bahati nzuri mpaka sasa sijapokea taarifa ya Binadamu aliyepoteza maisha .

Maisha yanaendelea kuwa magumu katika fikra za Watu kwani milipuko kama hii ilianzia Kanisani halafu ikafuata katika Mkutano wa hadhara wa Chadema na sasa ni kwenye Bar za Pombe , sijui ni nini kinaendelea Arusha , lakini ni vyema muda wa kutafakari ukaongezewa nafasi . Kama Mbunge sina neno zaidi mpaka nitakapokuwa nimefika Arusha leo nakuona na kutafakari .

Poleni sana Familia zote zilizofikwa na majanga haya nawaombea kwa Mungu huku nikitambua mashaka makubwa ya Watu wote wa Arusha . Majaribu haya ni makubwa lakini kwa Dua na Sala mtashinda .

Godbless J Lema

pole kwa wahanga wote ,ingawa mimi huwa sikukubali mkuu Godbless.
 
Poleni sana.

Hiyo Arusha Night Park ndio ile MATAK O Bar ambayo ipo karibu na kituo kile cha mafuta cha Njake pale mianzini? Kama ndio hapo mara moja nikiwa Arusha nilipelekwa pale kula Ugali na Nsenene.

Poleni sana.
 
Nina mashaka na we maana tangu ushindwa vibaya kalenga umekuwa ukitafuta namna ya kuja Mjini umeshindwa

Ukajitaidi kutumia mbinu ya kuja kupitia kusema unaacha bunge LA katiba BADO ukabuma

Sasa umepata mbinu mpya yakuja Mjini karibu ila IPO siku utadaiwa haya yote
 
Poleni wana Arusha! Hawa Spin Doctors wa CCM akili hawana hata kidogo! Wanafikiri wanaweza ku-divert attention yetu kwenye issue ya katiba!...
 
Back
Top Bottom