Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,467
- 11,641
tanzania tutashuhudia majanga makubwa zaid kama tutaendelea kuchagua wabunge jamii ya lema
Sasa wewe msukule, kama waliohusika unawafahamu, kwa nini rais wako kiwete wa akili, policcm, usalama na manyang'au wenzio wote msiwakamate na kuwashitaki ktk mahakama zenu zenye majaji vihiyo? Nini kinawashinda? Au mnataka CDM ndio iwakamate as if wao ndo wenye dola? Akili zingine bwana, yaani nyie ndio mnaoshusha IQ za Watz wengi na ndio maana on average kama Taifa tunaonekana ni watu wenye IQ ndogo chini ya wastani kwa viwango vya Kimataifa! Idiot!Kileo,lwakatare na ben sa8 ndio wanaohusika, wewe ni msukule tu hujui lolote,unatumika kama ndom unatupwa chooni huna thamani tena. Chopa 3 kata 3 ndio mpango mzima,chadema imebaki arusha mjini tu kwingine tumeshaizika
tanzania tutashuhudia majanga makubwa zaid kama tutaendelea kuchagua wabunge jamii ya lema
Una gundu tangu uwe mbunge arusha imekuwa ya majanga tu! Wewe ni mbunge wa majanga, fikiria tangu kipindi kile cha maandamano watu wengi wamepoteza maisha na wengine ni vilema wa kudumu.
Inajulikana kuwa haya yote ccm mnafanya ili mpate cha kuongea kwenye kampeni 2015,,na haya mnayo ongea sasa,, lakini ccm mnatakiwa kujua mungu si mjinga kama akili za wana ccm mnavyo dhani mtaumbuliwa mapema sana.Una gundu tangu uwe mbunge arusha imekuwa ya majanga tu! Wewe ni mbunge wa majanga, fikiria tangu kipindi kile cha maandamano watu wengi wamepoteza maisha na wengine ni vilema wa kudumu.
Michezo ya chadema inaendelea wanaona chama kinakufa wameanza vioja ili waandikwe kwenye magazeti chadema chama cha ajabu kweli.
sina huwakika na ubunge wako, tunaomba uwasamee walikuchagua, MBONA SADAKA UMEISHATOA SANA HAWATOSHI? kamwambie mganga wako sifa zimezidi. ukiwamaliza nani atakupigia kura au unasahau unachaguliwa na wananchi na ndio unawatoa sadaka. ukome inatoshaNimepata taarifa jana ya mlipuko wa Bomu uliotokea Arusha katika Bar ya Arusha Night Park , taarifa niliyoipokea inasema baadhi ya Watu wameumizwa vibaya sana lakini hata hivyo bahati nzuri mpaka sasa sijapokea taarifa ya Binadamu aliyepoteza maisha .
Maisha yanaendelea kuwa magumu katika fikra za Watu kwani milipuko kama hii ilianzia Kanisani halafu ikafuata katika Mkutano wa hadhara wa Chadema na sasa ni kwenye Bar za Pombe , sijui ni nini kinaendelea Arusha , lakini ni vyema muda wa kutafakari ukaongezewa nafasi . Kama Mbunge sina neno zaidi mpaka nitakapokuwa nimefika Arusha leo nakuona na kutafakari .
Poleni sana Familia zote zilizofikwa na majanga haya nawaombea kwa Mungu huku nikitambua mashaka makubwa ya Watu wote wa Arusha . Majaribu haya ni makubwa lakini kwa Dua na Sala mtashinda .
Godbless J Lema
Mbunge bwana kuwa hata na kadigirii kamoja ingesaidia sana
Una gundu tangu uwe mbunge arusha imekuwa ya majanga tu! Wewe ni mbunge wa majanga, fikiria tangu kipindi kile cha maandamano watu wengi wamepoteza maisha na wengine ni vilema wa kudumu.
Dhambi kubwa inayo watafuna wana Arusha ni kitendo chenu cha kuikataa CCM na kazi zake zote. Mikoa, Wilaya, Kata na vitongoji katika nchi yetu ambavyo vimeapa kutoiacha CCM hadi Kifo wananchi wake wanaishi wa amani mustarehe regardless umaskini wao. Kipi ni bora Umaskini au Maisha?
Wana Arusha - Kosa lenu ni kuikataa CCM na dhambi hii ndiyo inayowatesa na itawatesa.
Wewe utakuwa na akili NUSU mwenye Gundu ni Kikwete kwani tangu aingie madarakani ndio tumeshuhudia mambo mengi mabaya ambayo yalikuwa hayatokei ndani ya nchi yetu kama vile
1. Watu kutekwa, kuteswa kwa kung'olewa kucha na meno
2. Milipuko ya mabomu
3. Mafuriko yaliyopitiliza
4.Kushamili wauzaji na watumiaji wa dawa za kulevya
5. Balaza la mawaziri kuwa na 80% mizigo
du wewe ndio wale wenye fikra kuwa aliyefika chuo kikuu ndio anajua kila kitu na kuchambua mambo, pole sana badilika, siku hizi uwezo wa kufikiri hata mtoto wa form 2 anakushukia nondo. baki na akili zako kuwa pua ya mzungu ndio inayotoa makamasi meupe, huku ya mwafrika ikitoa meusi. tafakari mfano huo.....