Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Lema wewe ni great person....una mkono wa Mungu, na uwepo wako umetibua sana mipango na kunyofoa mizizi yote iliyojengwa kinyonyaji, kidini, kishetani..na iliyoandalia kummaliza yeyote anyeamka kuondoa huo ushetani.CCM ni shetani..its a matter of time wata collapse kabisa, wanajaribu kutuwekea fear ili tukiwa waoga washinde..ila tukiwa majasiri ..shetan atatoweka ghafla sana. Lema ukabila uliohubiriwa na hawa watawala, wakawafundishwa watu kuwachukia wachaga,na kuharamisha kila sehemu alipo mchaga, na kugeuza hayo kuwa sifa mbaya kwa CDM, udini unaohubiriwa na kufadhiliwa na watawala, na kusingizia CDM..yaani hawana hana ujasiri wa kusimama hadharani kwa mambo waliyoyajenga kwa gharama na mipango ya muda mrefu.NI wazi tupo ktk kipindi kigumu....Ila Mungu atasimama..Mungu anapigana ktk kila front..hata hapo Bungeni Mungu anaonenakana Kupigania upande sahihi.Nimepata taarifa jana ya mlipuko wa Bomu uliotokea Arusha katika Bar ya Arusha Night Park , taarifa niliyoipokea inasema baadhi ya Watu wameumizwa vibaya sana lakini hata hivyo bahati nzuri mpaka sasa sijapokea taarifa ya Binadamu aliyepoteza maisha . Maisha yanaendelea kuwa magumu katika fikra za Watu kwani milipuko kama hii ilianzia Kanisani halafu ikafuata katika Mkutano wa hadhara wa Chadema na sasa ni kwenye Bar za Pombe , sijui ni nini kinaendelea Arusha , lakini ni vyema muda wa kutafakari ukaongezewa nafasi . Kama Mbunge sina neno zaidi mpaka nitakapokuwa nimefika Arusha leo nakuona na kutafakari . Poleni sana Familia zote zilizofikwa na majanga haya nawaombea kwa Mungu huku nikitambua mashaka makubwa ya Watu wote wa Arusha . Majaribu haya ni makubwa lakini kwa Dua na Sala mtashinda . Godbless J Lema