MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,330
Arusha chini ya uongozi wako imeshuhudia umwagaji wa damu na vifo vya kipuuz na visivyo tarajiwa kutokana na aina ya siasa unayoifanya wewe kihiyo
Ni wazi sasa wana arusha wamejifunza kutokana na makosa na kutorudia kufanya selection ya mbunge hopless kama wewe
Ni wazi pia arusha ni kambi ya chadema,basi sio lazima wawape CCM no,wampate mbunge mzuri sampuli hata ya tundu lisu
Lakini si sampuli ya hovyo kama wewe,
Arusha ni mji mkuu wa utalii baada ya zanzibar katika nchi hii,lakin sasa ndan ya uongoz wako sekta yote ya utalii imekufa natural death
Fanya fanya uondoke zako,uongozi chini yako ni laana...
Wewe ni MSIBA wala si majanga kwani mtu hawezi kuongea unayotamka akawa anatembea lazima awe ameoza