Wee jamaaMwijuma Muumini anapatikana kwenye Mghahawa Bubu pale Mtoni Mtongani,anamsaidia Mmama kuuza chakula,ujira wake ukiwa ni kupewa msosi wa bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaundugu na yule binti alikuwa anacheza shoo mwenye ubini kama huo kwa sasa ni marehemu???Halafu huyu Fikiri Madinda alikuwa dereva tu wa serikali wizarani sasa sijui pesa alikuwa anatoa wapi mpaka akawa pedezee
Sent using Jamii Forums mobile app
hao ndo nafikiri zaidiNimeona taarifa za baadhi ya waimbaji wa twanga kuhusianishwa na kufulia, vipi kuhusu waimbaji wa mchinga sound au hakuna anaewafahamu?
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
aisha madinda alikuwa mkewe, ila waliachana nae,mke akaenda na jinaAnaundugu na yule binti alikuwa anacheza shoo mwenye ubini kama huo kwa sasa ni marehemu???
Hapo nimekupata uzuri mkuu,sasa hela za kutunza si bora angempa mkewe atulie nyumbani kuliko binti kujituma vile stejini!!!aisha madinda alikuwa mkewe, ila waliachana nae,mke akaenda na jina
aisha alikutana na fikiri madinda stegini ,ivyo ikawa ngumu kumwachisha, pia fikiri alikuwa peneshee kumzibiti mcheza show ni rahisiHapo nimekupata uzuri mkuu,sasa hela za kutunza si bora angempa mkewe atulie nyumbani kuliko binti kujituma vile stejini!!!
Msafiri Diof aliLost kitambo kabla ya hata mziki wa dansi baada ya kuanza kutumia ngada.wawezeshaji wa mziki wa dansi kina papa Msofe,Said Ntimizi,Abdul Karim,Fikiri Madinda,Juma Kapuya.nk baada ya kupotea na mziki ukapotea!
Post ya juu hapo kuna mkuu ametype kwamba jamaa ni marehemu!!!
Post ya juu hapo kuna mkuu ametype kwamba jamaa ni marehemu!!!
aisha alikutana na fikiri madinda stegini ,ivyo ikawa ngumu kumwachisha, pia fikiri alikuwa peneshee kumzibiti mcheza show ni rahisi
note:FIKIRI naye ni marehemu ,pia aisha hakuwa na mtoto
Haswa. Mapedeshee kwisha habari yao. Hakuna cha papa Msofe, Juma Ngida (Kareem), Makubureta no.Mapedeshee wengi waliokuwa wanaziwezisha hizi bendi wamepigwa pini na huu utawala wa jpm.unaweza kuhusisha na kufulia kwa wanamziki hawa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wengi wao waliishi maisha ya kushinda kwa masangoma. Chanzo chao kikubwa cha hela ilikuwa ni Mapedeshee ambao pesa zao zilikuwa ama za nganda rushwa/wizi wa fedha za umma.... Ata kama maisha yamempiga kiasi gani, hawezi kufkia uongo uliouandika.
.. Sikatai mkuu, point yangu hpo ni kwamba ata achoke vp sio rahisi afikia kiwango cha kwenda kuosha vyombo kwa ujira wa chakula kama jamaa alivyotukamata hpo juu.Wengi wao waliishi maisha ya kushinda kwa masangoma. Chanzo chao kikubwa cha hela ilikuwa ni Mapedeshee ambao pesa zao zilikuwa ama za nganda rushwa/wizi wa fedha za umma.
Huwezi kujua labda anajipoza Kea demu huyo.. Sikatai mkuu, point yangu hpo ni kwamba ata achoke vp sio rahisi afikia kiwango cha kwenda kuosha vyombo kwa ujira wa chakula kama jamaa alivyotukamata hpo juu.
SAHIHI NI KUOMBA MUNGU AKUSAIDIE KUJIPANGA !!!!!!!!!!!!!Maisha yanakuja, maisha yanaenda!
Ujana unakuja, ujana huondoka!
Ukiwa juu, kushuka chini ni kawaida!
Zama zake zimepita, ni zama za Uno!
BINAFSI MIE NADHANI WANGEENDA VIZURI NA ASHA BARAKA WANGEKUWA WAMESIMAMIA PAZURI KIDOGO TATIZO UJUAJE SANA NA KUPENDWA KULELEWA !!!!!!!Bora Choki Ukimuona Muumin utamuonea Huruma kweli maisha yanaenda kasi sana...Kuna siku nilimuona kwenye Bajaji za kuchangia jero jero anaenda kunegotiate na manager wa BAR apige show siku ya valentine na siku nyingine tukapanda naye Mwendokasi aiseee yaani mpole anatia huruma.
Huwezi kujua labda anajipoza kwa demu huyo.. Sikatai mkuu, point yangu hpo ni kwamba ata achoke vp sio rahisi afikia kiwango cha kwenda kuosha vyombo kwa ujira wa chakula kama jamaa alivyotukamata hpo juu.