Vinnie Paz - You Can't Be Neutral On A Moving TrainMaisha yanakuja, maisha yanaenda!
Ujana unakuja, ujana huondoka!
Ukiwa juu, kushuka chini ni kawaida!
Zama zake zimepita, ni zama za Uno!
Pata 1,000/=
Tumia 400/=
600/= itunze itakufaa mbele ya safari.
Starehe gharama.
Jana leo hata milele kanuni rahis kama hii ndio mkombozi wako kwa sisi wenye maishabya kawaida.
'CEO wa kambi ya jeshi.'Funzadume,
Umeandika 100/100. Ni kweli hili ulisemalo. Mfano mimi mzazi wangu wa kiume. Miaka kenda nyuma CEO wa kambi ya jeshi, mjuvi wa fani aina 3 za engineering na tegemeo jeshini na mbabe yeye. Leo ukimuona anatia huruma ujanja kwisha. Na mbaya zaidi alitumia na akafuja. Leo si yule..hata ujenzi alisahau. Anaishi nyumba ya rafiki.
jeshini hakuna CEO labda alikua COFunzadume,
Umeandika 100/100. Ni kweli hili ulisemalo. Mfano mimi mzazi wangu wa kiume. Miaka kenda nyuma CEO wa kambi ya jeshi, mjuvi wa fani aina 3 za engineering na tegemeo jeshini na mbabe yeye. Leo ukimuona anatia huruma ujanja kwisha. Na mbaya zaidi alitumia na akafuja. Leo si yule..hata ujenzi alisahau. Anaishi nyumba ya rafiki.
dah, hatari sana. navikumbukaEnzi hizo kuna mpaka viatu fulani hivi vya kuchomeka miguu viliitwa Ally Choki..Kweli zama zinapita.
Mkuu wa kambi ya jeshi..sina hakika na neno waweza kunisahihisha.'CEO wa kambi ya jeshi.'
Hivi jeshini hua kuna cheo cha dizaini hii mkuu?
dodge
Yap jeshini hakuna CEO. Nimetumia rejea za mtaani kumaanisha mkuu wa kambi. Rank yake alikua Luteni Kanali by then miaka ya 80.jeshini hakuna CEO labda alikua CO
OK mkuu natumai pension yake uliifaidi vyemaYap jeshini hakuna CEO. Nimetumia rejea za mtaani kumaanisha mkuu wa kambi. Rank yake alikua Luteni Kanali by then miaka ya 80.
Hahahaha bora ningefaidi hata haya nisingeyaandikaOK mkuu natumai pension yake uliifaidi vyema
Sawa mkuu,nimekusoma.Mkuu wa kambi ya jeshi..sina hakika na neno waweza kunisahihisha.
Nimezoea lugha ya wahuni Kigamboni kumaanisha mkuu wa kambi.
Halafu huyu Fikiri Madinda alikuwa dereva tu wa serikali wizarani sasa sijui pesa alikuwa anatoa wapi mpaka akawa pedezeeMsafiri Diof aliLost kitambo kabla ya hata mziki wa dansi baada ya kuanza kutumia ngada.wawezeshaji wa mziki wa dansi kina papa Msofe,Said Ntimizi,Abdul Karim,Fikiri Madinda,Juma Kapuya.nk baada ya kupotea na mziki ukapotea!
we mtoto umekuja kuninanga humuHahahaha bora ningefaidi hata haya nisingeyaandika
Thumni yake! Kwanza alikua katili kinyama
Badi Bakule ni miongoni mwa Wanamuziki halisi, nadhani upepo wa Bongo fleva umemuangusha.
Duuh aisee.......Mwijuma Muumini anapatikana kwenye Mghahawa Bubu pale Mtoni Mtongani,anamsaidia Mmama kuuza chakula,ujira wake ukiwa ni kupewa msosi wa bure.
Sent using Jamii Forums mobile app