SlimFit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2016
- 2,283
- 3,544
MukidemukideVipi kwani??
MukidemukideVipi kwani??
Sijakuelewa mkuuNi mahondaw sio makonda mkuu
Kumbe Tsh100,000 tuKama laki 1 tu Khakhakhaaaaaa laki tu!!
Mambo missyaani nawaheshimu sana masponsor hapa mjini
hata naogopa kuolewa
Heheheh ukiolewa utabanwajee kutoka mpaka ruhusa uombe,upoo
Kweli kabisa hujakosea.Hahahahahahahahaha unajipigia promo eeee! Aisee nimekukubali
Teh teh..Bro mbona adimu sana siku hizi?usimuogopeshe mwenzio... waume wema bado tupo wengi
salama kaboom naongea na sponsor hapa kesho nduguMambo miss
We kupiga vizinga hujui?Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Poa poa..Cheza kwa step tusalama kaboom naongea na sponsor hapa kesho ndugu