Huyo anahitaji mke mwalimu sasa kama wewe sio mwalimu analala mbele.Hapana kwani kulikoni kwa walimu?? Au unaongelea walimu hawa waliokaa hom mpaka wamechoka kila siku wanapigwa kalenda za ajira??? Hahaha sio mwalimu
Ni mahondaw sio makonda mkuuDah!......bachela unataka kuolewa??!!.....hivi mh.makonda anapitaga Jf?
Na bado sooon MB znakuishia njò kwanguHivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Unadhani kuolewa mchezo...watu wanazeeka hawaoni ht wa kumwambia bby basi njoo tuishi wote....ndoa si km kwenda cinema...ukitaka unaingia ukitaka huingii...mpango wa Mungu huo...halafu ukiingia kwa ndoa kwa dhumun la kwenda kujipunguzia shida zako...itakushinda mana utakua mzgo na unachojali wewe n haja zako tu na c upendo...akiishiwa ndoa utaikimbia
Okeeey.....ila usikate tamaaa...maisha kupambanaNot that much bana!
Most the time ur alone,no one to interact with especially when ur at home, for me my best friend is JFHow??? More elaboration for me please
Umipataeeeeeee!Hewalaaaaaaaaaaaaaaa! Japo mi mashauzi mengi ndomana!
Hewalaaaaaaaaaaaaaaa! Japo mi mashauzi mengi ndomana!
Umenipataeeeeeee!