Maisha ya ubachela

Hapana kwani kulikoni kwa walimu?? Au unaongelea walimu hawa waliokaa hom mpaka wamechoka kila siku wanapigwa kalenda za ajira??? Hahaha sio mwalimu
Huyo anahitaji mke mwalimu sasa kama wewe sio mwalimu analala mbele.
 
Na bado sooon MB znakuishia njò kwangu
 

Not that much bana!
 
Tatizo sina pesa unanifikiriaje MTU kama Mimi naweza oa..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…