Maisha ya ubachela



Mmmmmmmm
 
Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee ni kutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!!
mahondaw ,maisha ya ndoa hayana formula..

Unaweza kutamani uolewe ili upate nafuu ya maisha kumbe ndio umejiongezea majanga..

Olewa Kwa kuwa unahisi kuna haja ya kupata mwenza..
Sio kupata unafuu wa maisha.
 

KWELI EE SOGEA KWANGU
 
Be it kiurahisi au kiugumu, that fact is NAO YA KUISHIWA YANAWAKUTA.....

Na ukijiozesha kwa maana ya kukimbia kuishiwa, basi utabadilisha sana wanaume...

Maana at least once in six months or a year, kila mmoja ajapitia kuishiwa in a way..!!

Hahahahahahahah haya bana tufanye umeshinda wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…