Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 10,484
- 19,989
Vp kama gesi inakukatikia hapo tayari ndio uji unatokota upike ugali
Unauweka sukari na tanga fresh unakimbia kwa mangi kununua maandazi ya baresa siku inapita
Vp kama gesi inakukatikia hapo tayari ndio uji unatokota upike ugali
HahahahaUnajikuta umemaliza nyama yote na ulipanga utoboe hadi kesho yake.
Mnaniua mbavu jamaniNilijua ni mm pekee angu, Yaani namwaga maji hafu naweka mengine ikinizingua naitupa kabisa.
SIPENDI KUFUAAA wala KUPIKA

Mnaniua mbavu jamani![]()
![]()
Hahahah karoti za kuunga mafuta ilikuwa mboga kuu . wiki nzima ugali na karoti. Samaki ni marufuku Kununua wale wa kubwa.
Kuna tule tudogodogo unakuta fungu LA samak 10 kwa jero...hahahahaha. Mtaa wa kiboloroni raha sana. Mchele ni robo na hauna mboga. Unapika na nyanya kabisaaa huo wali. Unatoka unanukia nyaya...ni balaa.
Kufua unafua usiku....ile asubuh mashuka yamekauka....hapa wiz ulkuwa haujaanza.
Siku moja nililetewa maziwa ya mgando ila yalikuwa na maji.
Nikatoa yale maji nkapikia ugali ili nisave mboga.....hahahahah ilishindikana nikamwaga.
Nikapita mahali wanauza nyama...nusu buk2 mh nikachukua ilkuwa nyingi ya kukadiria tuuuu.
Kufika hom kitu kinavutika.....nakata wapi. Ilibidi nitupe nipike karoti zangu.....






aah wapi hamna kitu unarudi kule kule.Usisahau ukiwa unasonga ugali mara gesi inakata, kinachofuata ni kula mboga na kuendelea na ratiba nyingineHahaha noma sana, Tena Kama nna viazi mviringo natupia humo kwisha kazi
Acha uzembe wewe, tafuna mboga na ratiba nyingine zifuateMm huwa nachukukia pale gesi inapokata halafu uji umetokotota kwa ajili ya kupika ugali nashusha zangu sufuria nasukumizia uvunguni
Usinikumbushe ile ya kusonga ugali kwanza halafu ndo unaenda kutafuta mboga, sasa ukute siku wale wamama hawajakaanga samaki.....Bachila kula suti kawaida sana anapika wali hana mboga anawahi maziwa ya Tanga Fresh kwa mangi au ugali maziwa mtindi hahahaaa ubachila kiboko mboga ya majani inakatiwa kwa Mama muuza![]()
Hahaha.......kweli ubachelor raha jmn*Fahamu maisha ya ubachela*
Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.
Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.
Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.
Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
Mimi situmii chandarua wala dawa ya mbu lakini sijawahi hata kuumwa na malaria. Huyo mbu ndani anaingia kutafuta nini wakati kutwa mlango umefungwa na akikaa lazima afe mwenyewe kwa njaa.Dawa ya mbu.