hahaaaaaa me nilikuwa natandika kitanda jpil tuHakuna kitu sipendi kama kuchomeka na kuchomoa net kulaleki. Toka niichomeke sikumbuk lini natumbukuia na kutoka kama nijnja
Namshukuru sir God kwa uzima tuu hayo mengine ni matokea kamandaPoa mkuu
Uhali gani lakini?
Mbinu za kukabiliana na changamoto za kuosha vyombo ziko zamani.nilikua nachanganya vyombo vyangu na vya mwenye Nyumba kwenye Caro.mwanae anaosha anajua vyao nikirudi jioni navikuta vimeanikwa nachukua.sema walikuja nishtukia nikawa na mpooza dogo na viela vya vocha anaoshaKupika sio issue, ila kuosha vyombo sio mchezo.
hahaaa aiseeee ..upo kama mimi tu..sema kimbilio langu kuu ktk ufuaji lilikuwaga kwa mama mmoja Hivi ..huyo alikuwa na machine yakufulia anafnya laundry"""NOMA SANA nami nitafika huko tu.. ila nikitaka kufua silogwi kuiliweka maana hua inatoa hadi vidudu mwishoni inaenda jalalani..
Kiss daniel namkubali sana salam zake zimefika..
Da! Mwenye nyumba mwenyewe mlevi, anaweza akaviuzaMbinu za kukabiliana na changamoto za kuosha vyombo ziko zamani.nilikua nachanganya vyombo vyangu na vya mwenye Nyumba kwenye Caro.mwanae anaosha anajua vyao nikirudi jioni navikuta vimeanikwa nachukua.sema walikuja nishtukia nikawa na mpooza dogo na viela vya vocha anaosha
Hahaha noma sana, Tena Kama nna viazi mviringo natupia humo kwisha kaziPale unapopika nyama kama mboga, ikiiva tu wazo linabadilika unaigeuza supu, na usiombe nje ya nyumba wanauza chapati
Shukrani mkuu,ushakuwa rafiki anguNamshukuru sir God kwa uzima tuu hayo mengine ni matokea kamanda
hiyo trick ni RISK mwenye nyumba anaweza kuandikia NOTESMbinu za kukabiliana na changamoto za kuosha vyombo ziko zamani.nilikua nachanganya vyombo vyangu na vya mwenye Nyumba kwenye Caro.mwanae anaosha anajua vyao nikirudi jioni navikuta vimeanikwa nachukua.sema walikuja nishtukia nikawa na mpooza dogo na viela vya vocha anaosha
Mkuu umbu unawaponaje, maana nisha jaribu kulala bila neti matoke yake nilipimwa na kukutwa na vidudu 12 vya maleriaHivi ni lazima kulala ndani ya chandarua? Mimi hata sikumbuki mara ya mwisho lini nimelala ndani ya net.
hahaaa aiseeee ..upo kama mimi tu..sema kimbilio langu kuu ktk ufuaji lilikuwaga kwa mama mmoja Hivi ..huyo alikuwa na machine yakufulia anafnya laundry"""
bhasi mimi nilikuwaga nimteja wake wakudumu ..siwezi kumsahau kabisa yaani ..alikuwa ananistiri mnoo...
kiss Daniel ..anatisha mnoo..only kwawanao jua music tu
Pulizia dawa wakati umefunga milango, madirisha.Mkuu umbu unawaponaje, maana nisha jaribu kulala bila neti matoke yake nilipimwa na kukutwa na vidudu 12 vya maleria
Hahahah hiyo kitu nimeshaifanyaga sanaHahaha noma sana, Tena Kama nna viazi mviringo natupia humo kwisha kazi
Unajikuta umemaliza nyama yote na ulipanga utoboe hadi kesho yake.Hahahah hiyo kitu nimeshaifanyaga sana
Uliyo ya andika ndio taswira ya wewe na maisha unayo ishi.*Fahamu maisha ya ubachela*
Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.
Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.
Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.
Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.