Maisha ya ubachela ni vituko

NOMA SANA nami nitafika huko tu.. ila nikitaka kufua silogwi kuiliweka maana hua inatoa hadi vidudu mwishoni inaenda jalalani..

Kiss daniel namkubali sana salam zake zimefika..
hahaaa aiseeee ..upo kama mimi tu..sema kimbilio langu kuu ktk ufuaji lilikuwaga kwa mama mmoja Hivi ..huyo alikuwa na machine yakufulia anafnya laundry"""
bhasi mimi nilikuwaga nimteja wake wakudumu ..siwezi kumsahau kabisa yaani ..alikuwa ananistiri mnoo...


kiss Daniel ..anatisha mnoo..only kwawanao jua music tu
 
Mbinu za kukabiliana na changamoto za kuosha vyombo ziko zamani.nilikua nachanganya vyombo vyangu na vya mwenye Nyumba kwenye Caro.mwanae anaosha anajua vyao nikirudi jioni navikuta vimeanikwa nachukua.sema walikuja nishtukia nikawa na mpooza dogo na viela vya vocha anaosha
Da! Mwenye nyumba mwenyewe mlevi, anaweza akaviuza
 
Mbinu za kukabiliana na changamoto za kuosha vyombo ziko zamani.nilikua nachanganya vyombo vyangu na vya mwenye Nyumba kwenye Caro.mwanae anaosha anajua vyao nikirudi jioni navikuta vimeanikwa nachukua.sema walikuja nishtukia nikawa na mpooza dogo na viela vya vocha anaosha
hiyo trick ni RISK mwenye nyumba anaweza kuandikia NOTES
 
Daah ebhana zisikieni kazi za ndani. Kupika, kuosha vyombo, kufua, kudeki n.k siyo poa. Napenda kupika ila nikifikiria swala la kuosha vyombo nachoka.

Sasa kuna siku nilipiga boko kwenye nyanya chungu na bamia asee nilihara balaa, siku mbili sitoki natoka kula gengeni. Mpk nilipokaa sawa ndio nikaanza kupika.
 
Hivi ni lazima kulala ndani ya chandarua? Mimi hata sikumbuki mara ya mwisho lini nimelala ndani ya net.
Mkuu umbu unawaponaje, maana nisha jaribu kulala bila neti matoke yake nilipimwa na kukutwa na vidudu 12 vya maleria
 
Kweli dogo mtata huyu namfuatilia toka 2013..

Hafu sinaga nguo za vitambaa ni jinzi tu yaani hua na2aza sana nikitaka kufua
hahaaa aiseeee ..upo kama mimi tu..sema kimbilio langu kuu ktk ufuaji lilikuwaga kwa mama mmoja Hivi ..huyo alikuwa na machine yakufulia anafnya laundry"""
bhasi mimi nilikuwaga nimteja wake wakudumu ..siwezi kumsahau kabisa yaani ..alikuwa ananistiri mnoo...


kiss Daniel ..anatisha mnoo..only kwawanao jua music tu
 
*Fahamu maisha ya ubachela*

Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.

Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.

Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.

Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
Uliyo ya andika ndio taswira ya wewe na maisha unayo ishi.
Mimi nimekua bachelor, tena nilikua senior bachelor kwa muda mrefu sana, lakini sikuwahi kuishi maisha ya hovyo kama hayo aiseeeee......
 
Back
Top Bottom