hahaaaa nimepitia huko...Nilijua ni mm pekee angu, Yaani namwaga maji hafu naweka mengine ikinizingua naitupa kabisa.
SIPENDI KUFUAAA wala KUPIKA
*Fahamu maisha ya ubachela*
Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.
Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.
Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.
Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
Njoo nisaidie kufua basi bibieMkuu huo uchafu muogope inzi.
Mkuu jiheshimu bhna mimi sio bibie.Njoo nisaidie kufua basi bibie
Mbu unakabiliana nao vp?Hivi ni lazima kulala ndani ya chandarua? Mimi hata sikumbuki mara ya mwisho lini nimelala ndani ya net.
Dawa ya mbu.Mbu unakabiliana nao vp?
Haha dawa unapika alafu unamkaribisha dogo wa jirani.akimalizia lazima ataosha vyomboKupika sio issue, ila kuosha vyombo sio mchezo.
sorry mkuu sijakumbuka kuangalia Id yako au huo avatar but tupo pamoja au sioMkuu jiheshimu bhna mimi sio bibie.
Zina harufu mbaya ndomaana sizimaindDawa ya mbu.
hahaaaa nimepitia huko...
by the way msalimie Huyo kiss daniel
Hahahahah umenikumbusha mkuu enzi hizo hostel, watu wameshalala saa sita ndo naanza kuwasha jiko. Kama ni maharage nayatenga saa mbili/tatu night. Muda wangu wa kula ni menu litakapokuwa tayari. Sasa nimeshazoea kulala mida mibovu, hata kama sina company, sichat, na sina kazi yoyote nalala mida ya wanga tu.Kuanza kupika saa 4 ya usiku
Nakuunga mkono kamandaKuna tofauti kati ya kuwa MCHAFU na kuwa bachelor. Mambo yote uliyoyasema hapo juu ni dalili ya mtu mchafu sana na asiyejielewa na kama hayo ndio maisha yako my brother sio sifa nzuri hata kidogo.
Harufu si inapotea baada ya muda?Zina harufu mbaya ndomaana sizimaind
Poa mkuusorry mkuu sijakumbuka kuangalia Id yako au huo avatar but tupo pamoja au sio
Hahahha Mara unapika wali unatoa kitu bokoooo.au ugali unapika Mara unga unaisha .inakua haielewek ni uji au ugali