Maisha ya ubachela ni vituko

Maisha ya ubachela ni vituko



Sasa wewe wa unga kuishia kati, kwani wakati wa kupika hupimi unga na maji kuona kama vitatoshana, haki nyie watu...lol!
Sasa huo muda ntaotoa wapi wa kupima.tena unakuta ni sa sita usiku huo unga unakata katikati na maduka yamefugwa hahah
 
Kazi ngumu kwa bachela ni kutandika kitanda na kuchomeka net
 
Huo Uchafu Bna Labda Kutotoa Net Kwa Mda Mlefu Ila Vyombo Kuoshwa Ni Kila Cku
 
Maisha ya ubachela yalifanya nipate mbinu ya kupika maharage napoenda kulala napoamka asubuhi yameiva naunga napika wali wa siku 3, nahifadhi nakuwa najilia tu.
 
dadeq hapo kwenye kuosha vyombo ndio huwa naona tabu. kwel ubachela ni noma
 
Henry keeps telling me he just turned 30
Having dreams of being single forever he’s getting worried And I’m scared too because I’m in the same boat
Good women are rare too, none of them have come close
 
Maisha ya ubachela yalifanya nipate mbinu ya kupika maharage napoenda kulala napoamka asubuhi yameiva naunga napika wali wa siku 3, nahifadhi nakuwa najilia tu.
KwA sisi tunaopikia gesi tunafanyaje mkuu?
 
Hahaha hilo la kuloweka masufulia mpk yanatoa harufu umenikumbusha pindi nipo chuo saut hostel za darfuu watu wanaloweka sufulia mpk zinatoa funza kifupi utaratibu unaosha vyombo kila unapotaka kupika sasa ndo hivo tabu sana.

Sasa kukitokea mtu anazaliwa berth day yke basi atamwagiwa yale maji ya ukoko utajuta yan haha
Darfur..... Umenikumbusha mbali mkuu
 
Kuwa bachelor haina maana uwe mchafu,mbona kuna watu mabachelor ila ukifika wanapoishi unaweza kudhani ameoa
 
Hahahah karoti za kuunga mafuta ilikuwa mboga kuu . wiki nzima ugali na karoti. Samaki ni marufuku Kununua wale wa kubwa.

Kuna tule tudogodogo unakuta fungu LA samak 10 kwa jero...hahahahaha. Mtaa wa kiboloroni raha sana. Mchele ni robo na hauna mboga. Unapika na nyanya kabisaaa huo wali. Unatoka unanukia nyaya...ni balaa.

Kufua unafua usiku....ile asubuh mashuka yamekauka....hapa wiz ulkuwa haujaanza.

Siku moja nililetewa maziwa ya mgando ila yalikuwa na maji.
Nikatoa yale maji nkapikia ugali ili nisave mboga.....hahahahah ilishindikana nikamwaga.

Nikapita mahali wanauza nyama...nusu buk2 mh nikachukua ilkuwa nyingi ya kukadiria tuuuu.
Kufika hom kitu kinavutika.....nakata wapi. Ilibidi nitupe nipike karoti zangu.....

Mmmmmh ila huo ubachela wako ndo nausikia leo....
 
Back
Top Bottom