dedon
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,507
- 2,065
na baada ya nusu saa mtu anakulaKuanza kupika saa 4 ya usiku
mm hua nalala na feni katka spidi yake kali mbu hakugusi siku nzma usiombe umeme ukate ghafla hapo ndo utawajua vzr swala la neti niliacha nilivomaliza o level boardinMbu unakabiliana nao vp?
*Fahamu maisha ya ubachela*
Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.
Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.
Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.
Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
umenifurahisha mkuuhapo ndo tupo weng alafu una moja hio nyeupe ya siku za matukio tuMaisha ya ubachelor bwana boxer mbili , bukuta ya ndani moja mwaka!
Haa ha ha ha.... na mimi geto langu linajotoo mzeee hatarii yani umeme ukikatika hata mchana ni fukutooomm hua nalala na feni katka spidi yake kali mbu hakugusi siku nzma usiombe umeme ukate ghafla hapo ndo utawajua vzr swala la neti niliacha nilivomaliza o level boardin
ni mwezi wa 6 sasa toka ninunue neti mpya na kuichomeka sijawahi kuichomoa yaani mpaka inanuka vumbi aiseeee....mashuka yakichafuka yanapandiana tu kwa bed maana kufua kwa wiki2 mara moja
mwezi ujayo nanunua nyingine hii naitupa katika maisha yangu sijawahi fua neti na soksi vikichafuka tu mie natupaHahaaaa watu hua hawafui neti kabisaa..
mwezi ujayo nanunua nyingine hii naitupa katika maisha yangu sijawahi fua neti na soksi vikichafuka tu mie natupa
Hamna maisha mazuri na mabaya kama ya ubachela unaweza lalia hata maji mkuu na maisha yakasonga.*Fahamu maisha ya ubachela*
Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.
Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.
Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.
Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
Ubachelar raha sana....unapika wali kilo 2na nusu afu uko peke yako unakula mpaka kesho kutwa
Ukiwa serious maisha ya ubachela yana raha yake na ni kama adventure fulani hivi. si ajabu ukaanza kupika maharage saa saba usiku. sometime kachumbali huwa mboga kuu. Bila kusahau wakati wowote ni wakati wa chai. Kifupi wengi hutokea kuwa wapishi wazuri ingawa ishue ya kuosha vyombo hasa sururia ni ngoma.
bilinganya mixer nyanya changu tyr mboga ishu kuosha vyomboHizo zikoje mummy ake Sabrina kidogo tuepukane na usumbufu wa netKuna zile unaweka kwenye umeme
Kuna vile vidawa vinauzwa 200 wengine huwa wanachoma kwenye moto,,lakin kuna vifaa vyake vinauzwa 10000 vingine 5000,,,unachukua hiyo dawa unaiweka kwenye hiyo kifaa kisha unachomeka kwenye soket ,,dawa inatoka taratibu inaua mbuu,,na hakuna harufuHizo zikoje mummy ake Sabrina kidogo tuepukane na usumbufu wa net
Acha uchafu duh!mwezi ujayo nanunua nyingine hii naitupa katika maisha yangu sijawahi fua neti na soksi vikichafuka tu mie natupa

hujui kupika..wenzenu tulipangiwa zamu za kupiga deki,kuosha vyombo na kupika na Dada zetu ili ikitokea tmeenda kutafuta maisha sehemu tusipate tabu..na wake zetu wakiumwa au kuondoka kwa dharura tukabaki na watoto tusihangaike..hakuna kitu rahisi kupika kama ugaliubachela unapika ugali mara mbichi