Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,525
- 4,090
Kwan formula ni moja?Mmmmmh ila huo ubachela wako ndo nausikia leo....
Kwan formula ni moja?Mmmmmh ila huo ubachela wako ndo nausikia leo....
kama hutojali mkuu naomba uniambie huu ujumbe umeutolea wapiHenry keeps telling me he just turned 30
Having dreams of being single forever he’s getting worried And I’m scared too because I’m in the same boat
Good women are rare too, none of them have come close
Ni lyrics za wimbo wa Alicia Keys unaitwakama hutojali mkuu naomba uniambie huu ujumbe umeutolea wapi
shukran kaka ngoja niutafuteNi lyrics za wimbo wa Alicia Keys unaitwa
unthinkable.
ViPshukran kaka ngoja niutafute
hii quotation nimeipenda,ngoja nitafute hiyo ngoma niisikilize yoteViP
umeupenda ?
Poa buddahii quotation nimeipenda,ngoja nitafute hiyo ngoma niisikilize yote
*Fahamu maisha ya ubachela*
Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.
Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.
Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.
Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
Hapo kwenye hilo la mwisho kama sio nguo nyeupe wala hata haina haja ya kuinusa ili kuhakiki kama inafaa kuvaliwa round ya pili. Unaipiga hivyo hivyo kisha unaipulizia marashi safi kabisa maisha yanaenda kama umeitoa kambani vile.*Fahamu maisha ya ubachela*
Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.
Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.
Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.
Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
duuuhHapo kwenye hilo la mwisho kama sio nguo nyeupe wala hata haina haja ya kuinusa ili kuhakiki kama inafaa kuvaliwa round ya pili. Unaipiga hivyo hivyo kisha unaipulizia marashi safi kabisa maisha yanaenda kama umeitoa kambani vile.
Mrejesho mkuu..!nataman sasa haya maisha niyaage ila huyu bint simwelewi kuna viashiria naviona isije ikawa tabu nikiingia kwenye izo pingu
*Fahamu maisha ya ubachela*
Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.
Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.
Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.
Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
Hii inawahusu ma bachelor wanaume, mwanamke ukiwa na tabia hizi hufai kua mkeuchafu tu