Maisha ya ubachela ni vituko

Henry keeps telling me he just turned 30
Having dreams of being single forever he’s getting worried And I’m scared too because I’m in the same boat
Good women are rare too, none of them have come close
kama hutojali mkuu naomba uniambie huu ujumbe umeutolea wapi
 
nataman sasa haya maisha niyaage ila huyu bint simwelewi kuna viashiria naviona isije ikawa tabu nikiingia kwenye izo pingu
 
Haya maisha ya ubachela ni raha sana
Yan ukitoka hakuna mtu anaekuulza unaenda wp
Ukirudi hakuna anaekuulza umetoka wapi
 
*Fahamu maisha ya ubachela*

Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.

Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.

Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.

Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.


Umenikumbusha chuo
 
Haya maisha ya ubachela ni raha sana
Yan ukitoka hakuna mtu anaekuulza unaenda wp
Ukirudi hakuna anaekuulza umetoka wapi
Kwel kabisa aisee, mambo ya kufuatiliana hakuna kabisa
 
*Fahamu maisha ya ubachela*

Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.

Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.

Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.

Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
Hapo kwenye hilo la mwisho kama sio nguo nyeupe wala hata haina haja ya kuinusa ili kuhakiki kama inafaa kuvaliwa round ya pili. Unaipiga hivyo hivyo kisha unaipulizia marashi safi kabisa maisha yanaenda kama umeitoa kambani vile.
 
Hapo kwenye hilo la mwisho kama sio nguo nyeupe wala hata haina haja ya kuinusa ili kuhakiki kama inafaa kuvaliwa round ya pili. Unaipiga hivyo hivyo kisha unaipulizia marashi safi kabisa maisha yanaenda kama umeitoa kambani vile.
duuuh
 
Hahahahahaha,,,, nimecheka mpka watu kwenye gali wananishangaa, nakumbuka kipindi tupo chuo wadau wanapika wanalundika vyombo mpaka vinatoa funza kabisa aya mambo yapo sana
*Fahamu maisha ya ubachela*

Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.

Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.

Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.

Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
 
Back
Top Bottom