atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,545
- 9,774
Okay hicho kifaa ungejua kinaitwaje ndio ingekuwa poa zaidi ili uweze kukitafuta kwa urahisi huko madukani bila kujieleza saanaKuna vile vidawa vinauzwa 200 wengine huwa wanachoma kwenye moto,,lakin kuna vifaa vyake vinauzwa 10000 vingine 5000,,,unachukua hiyo dawa unaiweka kwenye hiyo kifaa kisha unachomeka kwenye soket ,,dawa inatoka taratibu inaua mbuu,,na hakuna harufu
