Maisha ya Papa Francis

Maisha ya Papa Francis

hizo picha wewe ndio ulikuwa cameraman!?

We mtoto si ulisema hutaki kujadili kitu na mimi sasa mbona unajileta bila mualiko?
Ngonja mfungo upite nikufunze nidhamu.
Staki kuharibu swaumu yangu kwa kiumbe km wewe!
Utaskia raha mwenyewe.
 
papa ndio kakufundisha kumuita binadamu mbuzi ... kama ni yeye basi hafai, kama sio yeye badi unamatatizo.

kiongozi wa anglikani kumsabahi papa wala si ajabu kwa sababu kwanza anglikan ni zao la ukatoliki.
Wao tu walijifanya ku-protest ukatoliki na kuanzisha kanisa lao lakini asili yao hi humuhumu kwenye ukatoliki, na bado wanaamini katika mafundisho mengi tu ya ukatoliki tena ambayo hata kwenye biblia hayapo... yameletwa tu na wanadamu na kupitishwa na viongozi wa kanisa hao mapapa na mpaka leo watu wanayeshimu.

wewe usiyeelewa haya ndio umefungwa na nguvu za giza..amka omba roho wa Mungu akuongoze kuyaelewa haya, usikae tu bila kujua historia ya kanisa lako... upagani umezidi ndani ya kanisa, mmekalia kumtukuza papa badala ya Mungu, leo hii mtu anapiga magoti mbele ya papa anatubu dhambi zake eti na papa anatoa msamaha____aibu gani hii, toka lini mwanadamu amsamehe dhambi mwanadamu mwenzake.

Soma vitabu upate maarifa mkuu sio kuishia tu kuaminishwa uongo.

Hivi Yesu alipo mwambia Petro kuwa lolote utakalolifunga Duniani litakuwa limefungwa Mbinguni na lolote utakalolifungua Duniani litakuwa limefunguliwa Mbinguni,rejea Mathayo 16:19,Je Petro hakuwa Mwanadamu?Je Petro alikuwa Malaika?,Au basi jiulize mwenyewe badala ya kujivika blanketi la Ujinga ktk Yohane 20:22-23,Kwanini Yesu aliwapa mitume Uwezo wa kuondolea watu dhambi ili hali wao ni Wanadamu na wana mapungufu yao?,Tatizo lenu ninyi ni Uzuzu ndo unawasumbua sasa mimi nikienda kwa Papa au Askofu au Padre wangu nikaungama dhambi zangu wewe inakuuma nini?,Fuata yako bhana!,kila siku Midomo wazi kupiga umbea mambo yasiyowahusu.Mbona sisi habari za Wachungaji wenu kujifanya miungu hatuzisemi?Wapo wachungaji wanajiita Ma-transformer mbona hatuwasemi?,Wapo wanaojiita wazee wa kufufua watu cha ajabu watoto wanafia makanisani mwao,mbona hatuwasemi?,Wengine wamezaa na waumini wao mbona hatusemi?,Hivi bora yupi hapo,Anayefanya mambo kwa kufata Biblia au yule anayejitungia ya kwake?,Mkuu makinika sasa Kanisa Katoliki linaongozwa na Roho Mtakatifu,ndiyo maana halitakuja lianguke hata siku moja.
 
kwani unataka kusema papa hawezi kuwa anavuta bangi? ni wapi kwenye biblia wamesema ni dhambi kuvuta bangi?

Naendelea kuweka msimamo wangu,Papa hawezi kufanya hivyo kwasababu ni dhambi kufanya hivyo.
 
Hakuna aliye paniki hapa!,inaonyesha ni kwa namna gani haujui maana na mantiki ya kusema mtu amepaniki,Ni kweli Baba Mtakatifu ni binadamu km sisi na ana madhaifu km sisi hakuna aliyesema kwamba yeye ni malaika,lkn tunachoshindani hapa ni juu ya namna anavyoishi na si juu ya Utakatifu tafadhari naomba unielewe hapo!,Halafu km kinachofanywa na Papa ni kitu cha kawaida sasa mbona unatokwa povu hivyo si ungeliona normal tu? Hao unaosema kuwa wanafanya zaidi yake najua wapo ndiyo maana wametulia lkn Watu km wewe hamuwezi kufanyahivyo ndiyo maana mnabwabwaja maneno mengi,km kwako ni kawaida si utulie kwani ukitulia utapungukiwa nini?.

Ati nini?! Sasa hiyo title ya "Utakatifu" imeingiaje kwa mtu ambaye ni dhaifu kama mimi na wewe tu? Hivi ninyi watu huwa hamkumbuki pale Yesu Alipokataa kuitwa Mtakatifu na kusema "Hakuna Aliye Mtakatifu ila Baba Yetu wa Mbinguni"?
 
Wewe ndiyo mjinga!,ktk Kanisa Katoliki hili jambo mbona ni la Kawaida!!,Wapo watu ambao huwa wanaamua kuishi maisha ya Upweke kwaajili ya Kujitafakarisha juu ya mambo yanayomhusu Mungu,na hii huwa ni maisha yao yote.Tena wapo walio wahi kukaa mapangoni kwaajili ya kujitenga na Malimwengu ili wasiingie ktk vishawishi vya kutenda dhambi watu hao waliitwa WAEREMITE,huko walisoma neno la Mungu,Tafakari na Sala tu!,Nenda Songea kule kuna Watawa wanaitwa WAKILALA,hao ndio hukaa ndani tu pasipo kutoka nje huko hufanya SALA na Kutafakari neno la Mungu,wao si watu wa kuchangamana na malimwengu,Hata ndugu ukienda kumtembelea mnaonana naye dirishani tu!,Hawa hutoka nje mara mojamoja tu!,Wanafanya hivi kwaajili ya kujinyima Starehe na Anasa za dunia.

.
wazazi wao wangefanya hivyo hata wao kuzaliwa duniani waingezaliwa.
kumwabudu Mungu nje ya neno lake ni wendawazimu!
.
 
Sasa na Ile account twitter ni ya nani? Kama anawasaidizi wanao-control account hiyo iweje wapost habari kumhusu yeye bila yeye mwenyewe kuzipitia? Je ikitokea siku account Ile ikaenda tofauti na yeye ataikana? Kwa nini asizuie mitandao yote ya kijamii ambayo iko verified kupitia jina lake?

Ni hayo tu yanayonitia ukaakaa juu ya kauli yake ya kutotumia huduma ya mtandao.
 

Attachments

  • 1435759913108.jpg
    1435759913108.jpg
    21.5 KB · Views: 100
Unataka kuwadhalilisha tu! Nawajua sana that will never happen to CLALANS, Hawa wengine inawezakana???? lakini nalo hilo sidhani, wakiwa wamevaa shela? Gauni za kawaida??????

una uwezo wa kusoma mioyo yao...?? moyo wa mtu kichaka ndugu. Kwa nje unaweza kumwona mtu very holy...lakini japo Mungu angekuonyesha moyo wake japo kwa one second.......uuuuwiiiiiii! ndo maana hata Yesu alisema kuna wana wa ufalme hawataurithi ufalme wa Mungu...., hapo alikuwa anaongelea watenda kazi wa BWANA wanafiki. BT wema pia watakuwepo bt hawawezi kuwa wote, maana siku zote penye msafara wa mamba kenge pia wapo
 
Papa FRANCIS ASEMA KUWA HAJAWAHI KUTAZAMA TV KWA MIAKA 25 sasa.

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amesema kuwa hajawahi kutazama runinga kwa miaka 25 sasa. Papa Prancis ambaye amewatamausha wachanganuzi wa kanisa hilo kwa kususia maisha ya kifahari katika makao makuu ya kanisa Vatican alisema alitizama runinga mara ya mwisho tarehe 15 mwezi julai mwaka wa 1990.

Alikoma kutizama runinga baada ya kumuahidi maria mtakatifu kuwa angekoma kushiriki uraibu huo.

Isitoshe raia huyo wa Argentina amesema kuwa hatumii mtandao wa intaneti. Na akitaka kupata habari za kimataifa , Papa anasema kuwa huwa anatenga dakika 10 tu ya muda wake kusoma gazeti la kiitaliano. Papa Francis vilevile anafuatilia habari za klabu yake maarufu huko Argentina kupitia kwa wahudumu wake ambao humsimulia yanayojiri.

Je unaweza kukaa mbali na Runinga yako Simu yako ama mtandao wa Intanet japo kwa siku moja ?

Kwa siku moja naweza, kwa sababu za msingi, Ila mara chache! kuh kufanya kama Pope kwamba nisideal na hivyo vitu milele! Ningeweza tu iwapo kama ndo ingekuwa ticket ya kwenda mbinguni!
 
una uwezo wa kusoma mioyo yao...?? moyo wa mtu kichaka ndugu. Kwa nje unaweza kumwona mtu very holy...lakini japo Mungu angekuonyesha moyo wake japo kwa one second.......uuuuwiiiiiii! ndo maana hata Yesu alisema kuna wana wa ufalme hawataurithi ufalme wa Mungu...., hapo alikuwa anaongelea watenda kazi wa BWANA wanafiki. BT wema pia watakuwepo bt hawawezi kuwa wote, maana siku zote penye msafara wa mamba kenge pia wapo

We are together, kwa nje huwezi waona! This is my argument kuwa hawawezi kuvaa shela wakakaa counter kunya bia! Thus is my argument! Kwa ndani hatujui
 
We acha uongo!,Hizo secret facts ziliandikwa na nani?,hivi kwanini binadamu hatupendani?hivi ninyi Maprotestant mnapata raha gani mnapolishambulia Kanisa Katoliki na kulinenea kila neno baya??,Yaani huwezi ukamsikia mtu asiye mkatoliki akisema mazuri juu ya RC au Papa kila anayekuja ni kuponda tu!!,Kuna siku jamaa mmoja aliandika Uzi kwamba Hongera Kanisa Katoliki kwa Kusaidia Yatima,lkn ajabu watu walikuja na matusi lukuki sasa huwa ninajiuliza hivi hawa nao ni Wakristo wenzetu kweli?Mbona Ukristo haupo hivyo!,Ndiyo maana Mahatma Gandhi mtawala wa India aliwahi kusema kuwa-"I love Christ,but i don't like Christianity because Christians are not like their Christ".Sasa napata ufahamu kwanini huyu jamaa alisema hivi,Wengi wamejaa unafiki tu!,Sasa unapomsemea mabaya mtumishi wa Mungu halafu unajidai eti wewe ni Mcha Mungu unapata faida gani hapo?,nakwambia ni heri Mpagani asiyejua chochote Mungu aweza kumhurumia kuliko watu km ninyi Biblia kubwa mkononi kumbe Moyoni umejaza Husuda,Chuki kwa RC na viongozi wake,n.k.

oooh! kweli unayemjibu kakukera! ila vipi kuh wakatoliki wanavyoongea juu ya viongozi wa Kikristo wa madhehebu mengine?? kuna watu wanaongoza kwa kuponda na kudharau madhehebu mengine kama wa-RC? tena hasa huwa mnaonyesha chuki za wazi kwa wapentecoste! kila mchungaji wa kipentecoste nyie humwita tapeli, mwizi, akiwa na mafanikio mnamwita freemason! Kumbe mkigusiwa viongozi wenu mnaumia sana eeh! so nw umeona na wenzenu wanavyoumiaga? Mimi binafsi hakuna kitu kinanichefua kama kudharauliana viongozi wa dini...bt Catholics ndo mnaongoza...mkijiona nyie ndo Christians tu...wengn vibaka! jirekebisheni! Yesu aliacha ukristo na sio ukatoliki.

Issue sio ukatoliki, uprotestant, upentecoste....issue ni Yesu! so kila mtu amweshimu mwenzie.
 
Shauri yako!,nenda kawadanganye hao hao wasioelewa!,hivi unaweza ukalijua kanisa katoliki kiundani?,wewe una elimu gani hivi?,Halafu anayekudanganya kwamba Ndani ya Kanisa Katoliki Watu hawapo huru ni nani?,Wewe huwezi kushindana na RC,hata siku moja, Walikuwepo akina Martin Luther waanzilishi wa Uprotestant wenye elimu kubwa tena Profesa wa Theology walilipinga Kanisa lkn leo wako wapi?,Kanisa bado linadumu linasonga mbele na linazidi kuenea Duniani kote,Asante Mungu kwa kunifanya Mkatoliki naona Furaha na Amani tele ndani ya Kanisa Katoliki,Naona uwepo waMungu ktk kanisa hili,Wewe si kitu ndugu unapoteza Nguvu na Muda wako bure kulisema vibaya Kanisa,Kristo mwenyewe alishamwahidi Petro,kuwa Watu km ninyi mnaotumika na Ibilisi kwa mgongo wa Uprotestanti hamtashinda kabisa,rejea Mathayo 16:13-19.

Unauliza akina Martin Luther wako wapi! .... si hii Lutheran! kanisa lake linaendelea hadi leo na lina nguvu!...
 
Hivi Yesu alipo mwambia Petro kuwa lolote utakalolifunga Duniani litakuwa limefungwa Mbinguni na lolote utakalolifungua Duniani litakuwa limefunguliwa Mbinguni,rejea Mathayo 16:19,Je Petro hakuwa Mwanadamu?Je Petro alikuwa Malaika?,Au basi jiulize mwenyewe badala ya kujivika blanketi la Ujinga ktk Yohane 20:22-23,Kwanini Yesu aliwapa mitume Uwezo wa kuondolea watu dhambi ili hali wao ni Wanadamu na wana mapungufu yao?,Tatizo lenu ninyi ni Uzuzu ndo unawasumbua sasa mimi nikienda kwa Papa au Askofu au Padre wangu nikaungama dhambi zangu wewe inakuuma nini?,Fuata yako bhana!,kila siku Midomo wazi kupiga umbea mambo yasiyowahusu.Mbona sisi habari za Wachungaji wenu kujifanya miungu hatuzisemi?Wapo wachungaji wanajiita Ma-transformer mbona hatuwasemi?,Wapo wanaojiita wazee wa kufufua watu cha ajabu watoto wanafia makanisani mwao,mbona hatuwasemi?,Wengine wamezaa na waumini wao mbona hatusemi?,Hivi bora yupi hapo,Anayefanya mambo kwa kufata Biblia au yule anayejitungia ya kwake?,Mkuu makinika sasa Kanisa Katoliki linaongozwa na Roho Mtakatifu,ndiyo maana halitakuja lianguke hata siku moja.

litakuja kuangushwa na Yesu.
 
papa gan anabariki mashoga ashndwe!

Teh teh teh.

Mwenzako anapiga promo. Unataka awalaani afukuzwe kazi?
Kumbe hujajua bado huu usanii wa hawa jamaa wewe.
Mzee anajilia pesa za bure, nyumba bure, bodyguards na chachandu zingine nyingi tu ikiwepo ndege ya binafsi. Bila kuasahau Umaarufu dunia nzima

Kwani yeye haogopi kuvikosa vyote hivyo?
Km issue ni USHOGA TU ahhh! Hilo wala halimpi Shida.
Anasema Hata Yesu aliwapenda watu wote.
Sasa sijui wakati Yesu yupo hawa MASHOGA na wao walikuwepo!?

I wonder kwanini anamsingizia Yesu kuwa alipenda kila mtu wakiwemo hawa MASHOGA.
 
Huwez kuishi maisha matakatifu pasipo kumshirikisha MUNGU na MUNGU amewaagiza wanafunzi wake (wale wanaomjua kama huyo papa) "Enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu....." Mambo mengi sasa hivi yako kwa mtandao. Huyo papa ana yake

Unaweza kunisaidia yake ni yapi tafadhali
 
Mambo yanayotendeka mjengoni kwao ni ya siri sana na ukiyafuatilia unaweza usiamini
 
Back
Top Bottom