saidymtunguja
New Member
- May 22, 2015
- 1
- 1
Kisa cha kukaa mbali na simu yang n nn
Matendo 11:26
26 hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.
1Petro 4:16
16 Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali amtukuze Mungu katika jina hilo.
kula tano great thinker. Aisee una akili kweli.Maana unaj uwezo wa kujua kwamba watu watabki hivyo hivyo.Na hautaelewa kamwe,utabaki hivyohivyo.
c anajitesa bure jamani?halaf anafungisha na kubariki ndoa za mashoga halaf eti anataka akae karibu na mungu
thubutuuuu
mungu na mbinguni hapachezewi hivyo
c anajitesa bure jamani?halaf anafungisha na kubariki ndoa za mashoga halaf eti anataka akae karibu na mungu
thubutuuuu
mungu na mbinguni hapachezewi hivyo
hapo kwenye TV ndio katuibia chenji...
TV siku hizi zipo kila mahali.. mahotelini, barabarani, kwenye magari, au yeye alikuwa anamaanisha TV ya nyumbani kwake na sio za mahali pengine...
Kisa cha kukaa mbali na simu yang n nn
Mkuu mbona umepaniki sana?Unataka kusema Fransis pamoja na upapa wake sio mwanadamu?
Ni 100% flesh and blood like you na ana hulka zake...hiyo PR ya Vatican imeamua kulitangaza ili kumpa "image" kua ana uweza wa kimungu kivile...either ni kweli au si kweli,alikua ana haja gani ya kuweka hadharani?Ili iweje hasa?PR tu
Sijaona cha ajabu hapo,haimfanyi awe superior being ...kuna wanaofanya ten times fold of that ila huwezi wasikia wanapolitiki kivilee
mkuu ngoja nikuibie siri ila usimwambie mtu nakuomba ujue hawa masista wasiotoka ispokua kwa shughuli maalum nishawahi kuwaona wametoka ilikua pasaka moja saa tano tano hivi usiku wakaenda hoteli moja kaunta private kabsa ghorofani ikawa kila sista amekaa chemba ndogo na padri kulikuepo na jozi saba za hawa watu au ndo shughuli maalum zenyewe izo? usiniombe ushahidi wa picha,, sitokujibu
Bado hujajibu nilichouliza hapo juu, nimesema wapi mmetoa neno ukristo? Wewe unaniambia ''wakristo'', sijui ''mkristo''! ndicho nilichouliza hicho?
Amejitenga na dunia lakni hawezi kuombea hata mgonjwa kama alivyo fanya Yesu
Sas hizo ni porojo za kitoto sana!,sasa ulipowaona nini kikaendelea?,Unapoongea na watu wazima jitahidi kuongea mambo yenye mashiko,hadithi hizi za Akina Juma na Roza tulishaanza kuzisikia enzi zile Makamasi tunayatoa kwa mkono halafu yote yanaelekezwa upande mmoja.Kajipange.
hakiamungu nakuapia mkuu tena wakiwa wamevaa nguo zao hivyo hivyo na mapadre
kilichoendelea si walienda kucheza ya baba-na-mama jamani au???
alaf pia sio poa page nzima umechangia wewe tu utashindwa ku focus
Wewe usipojiangalia shauri yako!,Inaonyesha unatumika na Ibilisi japo unalitaja jina la Mungu,Maana unaongea vitu usivyokuwa na uhakika navyo na watu waongo km wewe ni Mali ya Shetani.Sasa endelea kumtumikia Ibilisi upate mtaji wako.
Usilitaje bure jina la Mungu.
Sasa na wewe uwe unajiongeza Ee booo!,sasa yeye atakwenda Hotelini kufanya nini?,atapandaje magari ya abiria?,Na barabarani kufanya nini,kwani yeye mzururaji?,Mambo mengine tunashindwa kuyaelewa kwasababu tunadhani kila mtu ana ugonjwa wa Kufata Malimwengu km sisi kumbe watu wengine ni commited kwenye Spiriual matters.