Maisha ya Papa Francis

Maisha ya Papa Francis

Mimi sipingi anaweza akafanya hivyo kwa matakwa yake lakni si kibibliamafunuo binafsi na hayana msaada wowote kwa wengine
 
Acha dharau!,dharau haifai nani anaidharau au kubeza Imani yako?,basi tuheshimiane,heshima ni kitu bora sana,hata km Kitu fulani au Imani fulani hauiamini basi waache wanaoamini waamini wala usianze dharau na kejeli,tukisema tuanze kudharauliana hakika hatutafika mbali.

Mkuu achana nae bado gizani huyo jamaa.
 
mkuu CHAULA RICH



Kwa karne ya sasa ya utandawazi hakuna hao watu tena......





key word "WALIOWAHI"...... sasa hivi hawapo tena watu wanamna hii....



Hizi ni story tu! haiwezekani mtu maisha yote usitoke nje! ..... kuna kitu kinaitwa VITAMIN D ....





kumbe wanatoka!




Watu km wewe walikuwepo na walikuwa na mawazo mgando km yako lkn leo hatunao tena,kwa hiyo sikushangai zaidi ya kumuomba Mungu akupe ufunuo wa mambo ya roho.
 
Angekuwa ni TB JOSHUA
Kasema hivyo utapeli, uongo, usanii ungeusikia sana.
 
mkuu CHAULA RICH



Kwa karne ya sasa ya utandawazi hakuna hao watu tena......





key word "WALIOWAHI"...... sasa hivi hawapo tena watu wanamna hii....



Hizi ni story tu! haiwezekani mtu maisha yote usitoke nje! ..... kuna kitu kinaitwa VITAMIN D ....





kumbe wanatoka!




Watu km wewe walikuwepo lkn leo hatunao tena,walishakufa,Ewe Njiwa Habari ya Utandawazi si kitu kwa mtu mwenye dhamira ya kuitafuta mbingu,kwa Wanadamu haiwezekani lkn Kwa Mungu inawezekana,endelea kufikiri hivyohivyo hiyo ndio saizi yako.
 
Wewe ndiyo mjinga!,ktk Kanisa Katoliki hili jambo mbona ni la Kawaida!!,Wapo watu ambao huwa wanaamua kuishi maisha ya Upweke kwaajili ya Kujitafakarisha juu ya mambo yanayomhusu Mungu,na hii huwa ni maisha yao yote.Tena wapo walio wahi kukaa mapangoni kwaajili ya kujitenga na Malimwengu ili wasiingie ktk vishawishi vya kutenda dhambi watu hao waliitwa WAEREMITE,huko walisoma neno la Mungu,Tafakari na Sala tu!,Nenda Songea kule kuna Watawa wanaitwa WAKILALA,hao ndio hukaa ndani tu pasipo kutoka nje huko hufanya SALA na Kutafakari neno la Mungu,wao si watu wa kuchangamana na malimwengu,Hata ndugu ukienda kumtembelea mnaonana naye dirishani tu!,Hawa hutoka nje mara mojamoja tu!,Wanafanya hivi kwaajili ya kujinyima Starehe na Anasa za dunia.

cha kusikitisha pesa inayowatunza inatokana na watu wanaofanya kazi kwenye dunia ambayo hawaitaki. Sielewi logic.
 
Ili kuishi Maisha matakatifu wakati mwingine inakupasa uepuke na vishawishi vya dunia. Siyo unaangalia Tv na kuanza kutamani mademu humo mpaka akili yako inaingiwa na tamaa za kishetani. Yesu anasema kama kiungo cha mwili kinakusababishia dhambi basi ni kheri uking'oe. Pope Francis kahamua kufanya hivyo
 
Ili kuishi Maisha matakatifu wakati mwingine inakupasa uepuke na vishawishi vya dunia. Siyo unaangalia Tv na kuanza kutamani mademu humo mpaka akili yako inaingiwa na tamaa za kishetani. Yesu anasema kama kiungo cha mwili kinakusababishia dhambi basi ni kheri uking'oe. Pope Francis kahamua kufanya hivyo
 
Huwez kuishi maisha matakatifu pasipo kumshirikisha MUNGU na MUNGU amewaagiza wanafunzi wake (wale wanaomjua kama huyo papa) "Enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu....." Mambo mengi sasa hivi yako kwa mtandao. Huyo papa ana yake
 
Ngoja niwashauri Waafrica wenzangu. Kuna watu wanadhani Ukristo ni dini ya Wazungu hivyo Wafrica tuna dini yetu, si kweli. Ukristo ni dini ya dunia.

Kwanini nasema ni duni ya dunia?.
Ni dini ya dunia kwa sababu chanzo chake si mzungu, chanzo cha Ukristo ni Mashariki ya kati, dini ilianzia pale na baadae ikahubiriwa kwenda kwenye mataifa mbalimbali. Hivyo hata hao Wazungu wamepokea dini kama tulivyoipokea Waafrica, yaani kwa kuhubiriwa. Tofauti kati yetu na wao ni kwamba wao wameipokea mapema kabla yetu. Hivyo chanzo ni Mashariki ya kati, Mashariki ya kati si Wazungu.

Kwa Wakristo.
Ukristo maana yake ni Ufuasi wa mafundisho ya Yesu. Kuna watu wanajichanganya kwa kusema Yesu ni Mzungu. Mimi nasema Yesu ni neutral, Yesu hana Kabila, nasema hana Kabila kwa sababu yeye hana Baba, yeye ana mzazi mmoja tu aliemzaa katika hali ambayo mpaka leo wanasayansi hawawezi kuielezea, hivyo hana kabila. Yesu alikuwa wa kipekee, mpaka sasa bado kuna debate maana muonekano wake haukuwa wa kawaida.
Acha kupotosha umma wewe, neno ukristo wewe umelitoa wapi, ebu tueleze hapa, au mnafuata mkumbo tu.
Wewe unashangaa Yesu/Nabii Isah kuwa na mzazi mmoja? mbona hushangai Nabii Adam ambaye alikuwa hana baba wa mama.
 
cha kusikitisha pesa inayowatunza inatokana na watu wanaofanya kazi kwenye dunia ambayo hawaitaki. Sielewi logic.

Wewe ujitambui, kwani Umeambiwa Papa ameacha kuhudumia watu?. Lakini kwani wewe uwezi ukahamua kuacha kuangalia Tv na Internet?, Mbona jamii za wafugaji mpaka leo vijijini hawana Tv hata Internet na Wanaishi?
 
Acha kupotosha umma wewe, neno ukristo wewe umelitoa wapi, ebu tueleze hapa, au mnafuata mkumbo tu.
Wewe unashangaa Yesu/Nabii Isah kuwa na mzazi mmoja? mbona hushangai Nabii Adam ambaye alikuwa hana baba wa mama.

Hata hivyo Post hii nilifuta.

Nakubaliana na wewe kuwa kuna maajabu mengi ya dunia, lakini nataka nikwambie kuwa wakati Yesu anakuja katika Mwili ilizoeleka kuwa mwanadamu utokea baada Mume na Mke kuzaa, Sasa ikawa ni maajabu makubwa Yesu kuja kwa Style yake.

Lakini kama unakataa la Yesu kuzaliwa na mzazi mmoja, basi jiulize ni Mwanadamui gani amewahi kutembea juu ya Maji, Ni mwanadamu gani kafufua wafu. Pia jiulize ni mwanadamu gani huyu ambae Biblia na Quran vinasema alirudi mbinguni direct hadi leo anaishi. Pole sana, tumia dakika 10 kufikiria maajabu haya. Lakini Bibilia inasema Yesu yuko Upande wa kulia kwa Baba (Mungu wetu), Quran inasema Yesu anaongea na Mungu direct. Hakika Yesu ni Jiwe la Msingi lililokataliwa na baadhi ya wanadamu, lakini utukufu wake mtauona pale Mwana wa Adamu atakapokuwa anashuka katika Mawingu akiwa katika utukufu wake, ameeeen
 
Papa Francis vilevile anafuatilia habari za klabu yake maarufu huko Argentina kupitia kwa wahudumu wake ambao humsimulia yanayojiri.

Sasa kama anaweza kufuatilia habari za mpira kwa kusimuliwa maana yake kuna watu watakuwa japo wapo Italia lakini wana kazi ya kufuatilia soka ya Argentina ili wamsimulie Papa, sasa kama ana hizo stimu za kufuatilia kinachoendelea kwenye soka kwanini badala ya kuwasumbua hao watu si angeswitch tu on mara moja na kuangalia mwenyewe?nafikiri tu kwa sauti.
 
Sasa kama anaweza kufuatilia habari za mpira kwa kusimuliwa maana yake kuna watu watakuwa japo wapo Italia lakini wana kazi ya kufuatilia soka ya Argentina ili wamsimulie Papa, sasa kama ana hizo stimu za kufuatilia kinachoendelea kwenye soka kwanini badala ya kuwasumbua hao watu si angeswitch tu on mara moja na kuangalia mwenyewe?nafikiri tu kwa sauti.

ni niasi cha uamuzi tu.ni kama vile wewe ulivyoamua kuachana na demu wako wa zamani,ukaapa hutamrudia tena,na ukamuacha kweli kweli,ukawa ukisikia stori zake tu kwa washkaji.ni uamuzi tu na unawezekana
 
Sasa kama anaweza kufuatilia habari za mpira kwa kusimuliwa maana yake kuna watu watakuwa japo wapo Italia lakini wana kazi ya kufuatilia soka ya Argentina ili wamsimulie Papa, sasa kama ana hizo stimu za kufuatilia kinachoendelea kwenye soka kwanini badala ya kuwasumbua hao watu si angeswitch tu on mara moja na kuangalia mwenyewe?nafikiri tu kwa sauti.

Wewe kama ni mshabiki wa Timu, uko tayari kusimuliwa, yaani kupewa matokeo?
 
Wewe ndiyo mjinga!,ktk Kanisa Katoliki hili jambo mbona ni la Kawaida!!,Wapo watu ambao huwa wanaamua kuishi maisha ya Upweke kwaajili ya Kujitafakarisha juu ya mambo yanayomhusu Mungu,na hii huwa ni maisha yao yote.Tena wapo walio wahi kukaa mapangoni kwaajili ya kujitenga na Malimwengu ili wasiingie ktk vishawishi vya kutenda dhambi watu hao waliitwa WAEREMITE,huko walisoma neno la Mungu,Tafakari na Sala tu!,Nenda Songea kule kuna Watawa wanaitwa WAKILALA,hao ndio hukaa ndani tu pasipo kutoka nje huko hufanya SALA na Kutafakari neno la Mungu,wao si watu wa kuchangamana na malimwengu,Hata ndugu ukienda kumtembelea mnaonana naye dirishani tu!,Hawa hutoka nje mara mojamoja tu!,Wanafanya hivi kwaajili ya kujinyima Starehe na Anasa za dunia.

Hata pale Itahwa Parish, Bukoba wapo wa CLALA wanakaa ndani ya uzio mkubwa na hawatoki nje. Kila kitu chao kimo humo. Wanalima wanafuga na kula wao. Mara chache sana hutoka humu kwa shughuli maalumu tu na sio kwenda eti dukani!
 
Back
Top Bottom