Mkuu umetoa point za nguvu hata mmoja atakaye kujibu mara ngapi tumeona Waroma wakiwatukana akina Kakobe wandhani sisi hatuumii.Majizi yote kwenye nchi hii yanatoka Rc si viongozi wa serikali wala waumini wao wote hovyo
mapadre wanajua sana maandiko tatizo hawataki kusema ukweli wa neno la Mungu,, wao wanajali matumbo yao na kuheshimu wanadamu badala ya Mungu,hapo tu ndio wameanguka.
papa mwenyewe anajua kabisa kuwa yupo kinyume na Mungu katika mambo mengi ila sasa haoni pa kuanzia ili ajinasue, shetani naye ndio anazidi kuwafumba macho mwisho wa siku anasurrender kuwa wakala wa shetani.
Ni kweli mapadre wamejitahidi kwenye elimu japo ni vipofu na weupe kabisa kwenye mambo ya kiroho zaidi ya mapokeo samahani sisemi kwa ubaya kwaani hata mimi nilikuwa hukohuko
Uwezo wako ktk kuchanganua mambo ni mdogo sana!,Mungu akusamehe sana.
Hivi wewe Farisayo mnafiki umejuaje kuwa Mapadre wetu hawajui mambo ya kiroho?,Wewe ni malaika?,kazi ipo cjui km tutafika.Ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke.
Mtaje Askofu yeyote anayeongelea mambo ya Wapentekoste? Neno Protestant nani alilianzisha kama siyo wao waprotestant? Wakatoliki wao na mambo yao ambayo ninyi kila siku mnawananga kuwa waaangalia sanamu? una chuki binafsi na kanisa katoliki! Lowasa anayesemwa fisadi ni mkatoliki? Hao akina mzee wa upako wakitaka kuwaona wateja wao si mpaka ulipe kama vile unavyoingia kwa daktari specialist wa magonjwa ya watoto? Tunayasikia huko haya!
Hapa tu umeonyesha uwezo wako wakufikiri ulivyo
Kwanza una bahati kubwa ya kujibizana na mimi,Ujisifu kwa hilo mimi sio saizi yako!unajua ninapoteza muda kwaajili yako?,Haya basi nitakusikiliza kesho maana leo unavyoongea ni km mtoto anajifunza kuongea,