Maisha ya Papa Francis

Maisha ya Papa Francis

Mwaka jana Obama, Putin, Malkia Elizabeti na Cameron wote walikwenda kukutana na Papa Francis Vatican wakipishana kwa vipindi vifupi. Nilijiuliza hawa wote viongozi wa mataifa makubwa duniani yasiyo ya kikatoliki walifata nini huko? Nakubaliana nawe, ule mwamba Petro uliosimikwa na Yesu hakuna nguvu za kuuvunja hapa duniani.

Amina!,tupo pamoja mkuu.
 
Mkuu picha haijaundwa. Huyo pichani ni Pope Benedict, sijui kwanini wameileta picha yake wakati anayejadiliwa ni mwingine. Yeye alikuwa na utaratibu wa kuangalia TV kila siku jioni muda fulani. Ninayo documentary ya maisha yake kabla na baada ya kuchaguliwa kuwa papa. Kwa upande mwingine, Papa Francis ni tofauti kabisa na wenzake waliomtangulia.

Nakushauri, upatapo muda uwe unasoma Biblia hasa kitabu cha ufunuo. Tuko kwenye nyakati za mwisho mkuu wangu, Kristo shurti apingwe kwa nguvu zote.

Sawa mkuu!,nimekuelewa.
 
Pole sana ndg yangu tulikuwa huko uliko wewe tunayajua yote sasa tuko huru sio mapokeo tena kama zamani

Kama ulitoka so utuachie sisi tuobaki we ubaki na huyo uliyenaye? ucha ujinga
 
mods mnamatatizo, yaani wakiandika wao sawa, tukiandika sisi mnafuta hii si sawa hata kidogo.
futeni basi alichoandika huyu ------.

Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu Uchungu,Mbona mmekashifu Papa sisi tupo kimya lkn kuambiwa ninyi kuhusu mtume wenu povu linakutoka.Hapo ndo ujue umuhimu wa kutumia lugha ya staha ktk mambo ya Imani na kuheshimu Imani za wengine,Siku zote huwa tunasema tuheshimiane ktk Mambo ya Imani nyie wala hamsikii sasa mnadhani nani yupo tayari kuona misingi ya Imani yake ikibezwa??,Siku zote ukitaka kuheshimiwa;Anza kwanza wewe kimheshimu mwenzako,ndipo na wengine watakapo kuheshimu,tofauti na hapo ni Vurugu.
 
Usanii wa picha muufanye ninyi halafu baadaye mseme Vatican,Jamani mwogopeni Mungu.

We lzm ukatae manake ukikubali itabidi Ukatoliki Uukimbie.
Bahati yako nimefunga lkn ningekuletea Picha za ajabu hapa za Papa.
 
Mwaka jana Obama, Putin, Malkia Elizabeti na Cameron wote walikwenda kukutana na Papa Francis Vatican wakipishana kwa vipindi vifupi. Nilijiuliza hawa wote viongozi wa mataifa makubwa duniani yasiyo ya kikatoliki walifata nini huko? Nakubaliana nawe, ule mwamba Petro uliosimikwa na Yesu hakuna nguvu za kuuvunja hapa duniani.

kwanza kabisa wanaenda kumtembelea papa kwa sababu papa ni raisi wa vatican(ni raisi mwenzao).
pia wengi wanamweshimu kwa sababu kwa yeye ndio kiongozi wa dola ya rumi( chini ya mwamvuli wa dini).
papacy authority ndio ile pembe ndogo inayozungumziwa kwenye biblia kitabu cha daniel sura ya saba.
naliheshimu kanisa lakini pale penye ukweli lakini tuseme ukweli.
imeandikwa "..naye atanena maneno kinyume chake aliye juu..." aliyejuu ni Mungu na kunena kinyume chake aliye juu ni kunena kinyume na Mungu.
nasema hivyo kwa sababu mamlaka ya kanisa chini ya papa imehusika sana kubadili neno la Mungu, mfano;

1.biblia za zamani zinazotumiwa na waroma kulikuwa na amri ya pili kati ya zile kumi za Mungu inayokataza kujifanyia sanamu na kuziabudu, lakini hivi sasa kanisa limeondoa amri hiyo na haipo kabisa kwenye biblia.... Huku ni kunena kinyume na Mungu.

2.imeandikwa aaminiye na kubatizwa ataokoka (mrk 16:16) lakink nashangaa kanisani wanabatiza watoto wachanga tena wasiojua kitu wala hawajaamini bado... ni kunena kinyume na Mungu.
Hivyo kama papacy authority ndio imehusika hapo basi ndio hiyohiyo inayotajwa kwenye biblia kuwa itakuwa na mamlaka makubwa kubwa na ndio kama tunavyoona hivi sasa,,,, so siwezi kushangaa hata kidogo nionapo viongozi wakubwa na mataifa makubwa wakimheshimu papa..
 
kwanza kabisa wanaenda kumtembelea papa kwa sababu papa ni raisi wa vatican(ni raisi mwenzao).
pia wengi wanamweshimu kwa sababu kwa yeye ndio kiongozi wa dola ya rumi( chini ya mwamvuli wa dini).
papacy authority ndio ile pembe ndogo inayozungumziwa kwenye biblia kitabu cha daniel sura ya saba.
naliheshimu kanisa lakini pale penye ukweli lakini tuseme ukweli.
imeandikwa "..naye atanena maneno kinyume chake aliye juu..." aliyejuu ni Mungu na kunena kinyume chake aliye juu ni kunena kinyume na Mungu.
nasema hivyo kwa sababu mamlaka ya kanisa chini ya papa imehusika sana kubadili neno la Mungu, mfano;

1.biblia za zamani zinazotumiwa na waroma kulikuwa na amri ya pili kati ya zile kumi za Mungu inayokataza kujifanyia sanamu na kuziabudu, lakini hivi sasa kanisa limeondoa amri hiyo na haipo kabisa kwenye biblia.... Huku ni kunena kinyume na Mungu.

2.imeandikwa aaminiye na kubatizwa ataokoka (mrk 16:16) lakink nashangaa kanisani wanabatiza watoto wachanga tena wasiojua kitu wala hawajaamini bado... ni kunena kinyume na Mungu.
Hivyo kama papacy authority ndio imehusika hapo basi ndio hiyohiyo inayotajwa kwenye biblia kuwa itakuwa na mamlaka makubwa kubwa na ndio kama tunavyoona hivi sasa,,,, so siwezi kushangaa hata kidogo nionapo viongozi wakubwa na mataifa makubwa wakimheshimu papa..

Kweli wewe hauyaelewi maandiko kabisaa! ,Na km unayaelewa halafi unasema Ushuzi km huu basi jua Wewe si mtu wa kwanza kulikashifu Kanisa ;Tena nakwambia wewe utakuwa unatumikishwa na Nguvu za Kuzimu kukashifu Watumishi wa Mungu,lkn wewe ni takataka tu mbele ya Mungu hivyo hautafanikiwa ktk mpango wako,na Yesu Mwenyewe alilijua hilo rejea Mathayo 16:13-19,Luka 22:31-32;Mkuu usiishie hapo soma pia Mathayo 5:11-12,10:22;1Petro 4:14;2:20-21.Ndiyo maana Kanisa Katoliki halibabaiki wala kubabaishwa na maneno yenu mnayobwabwaja maana wewe si Wa kwanza walikuwepo Makaisari walilitesa Kanisa vilivyo pamoja na Watumishi wake,Walikuwepo Wazushi waliotumia kinyume baadhi ya vifungu vya Biblia ili kuhalalisha UASI wao km ambavyo wewe umefanya;Yaani ninyi ni watu wa Ajabu sana Hivi Papa kupendwa na watu na Kuheshimiwa na viongozi wakubwa wa Dunia imekuwa nongwa??,Kwa hiyo angechukiwa na asingeliheshimiwa na viongozi wakuu Mataifa makubwa ndo mngesema huyo sawasawa siyo?,Halafu inaonyesha hauna uelewa kabisa juu Vitabu vya Unabii km cha Nabii Daniel,Hata Kitabu cha Ufunuo huwa kinawachanganya wengi km wewe,huishia kusema hapa anayezungumziwa ni Kanisa katoliki na Papa jambolinalodhihirisha Uelewa finyu mlio nao kuhusu Maandiko ya KIAPOLIKALIPTIKO ,Na mtazidi kuchanganyikiwa sana,Mwombeni sana Roho Mtakatifu awaongoze ktk kufanya tafakari ya Maandiko Matakatifu.
 
Kweli wewe hauyaelewi maandiko kabisaa! ,Na km unayaelewa halafi unasema Ushuzi km huu basi jua Wewe si mtu wa kwanza kulikashifu Kanisa ;Tena nakwambia wewe utakuwa unatumikishwa na Nguvu za Kuzimu kukashifu Watumishi wa Mungu,lkn wewe ni takataka tu mbele ya Mungu hivyo hautafanikiwa ktk mpango wako,na Yesu Mwenyewe alilijua hilo rejea Mathayo 16:13-19,Luka 22:31-32;Mkuu usiishie hapo soma pia Mathayo 5:11-12,10:22;1Petro 4:14;2:20-21.Ndiyo maana Kanisa Katoliki halibabaiki wala kubabaishwa na maneno yenu mnayobwabwaja maana wewe si Wa kwanza walikuwepo Makaisari walilitesa Kanisa vilivyo pamoja na Watumishi wake,Walikuwepo Wazushi waliotumia kinyume baadhi ya vifungu vya Biblia ili kuhalalisha UASI wao km ambavyo wewe umefanya;Yaani ninyi ni watu wa Ajabu sana Hivi Papa kupendwa na watu na Kuheshimiwa na viongozi wakubwa wa Dunia imekuwa nongwa??,Kwa hiyo angechukiwa na asingeliheshimiwa na viongozi wakuu Mataifa makubwa ndo mngesema huyo sawasawa siyo?,Halafu inaonyesha hauna uelewa kabisa juu Vitabu vya Unabii km cha Nabii Daniel,Hata Kitabu cha Ufunuo huwa kinawachanganya wengi km wewe,huishia kusema hapa anayezungumziwa ni Kanisa katoliki na Papa jambolinalodhihirisha Uelewa finyu mlio nao kuhusu Maandiko ya KIAPOLIKALIPTIKO ,Na mtazidi kuchanganyikiwa sana,Mwombeni sana Roho Mtakatifu awaongoze ktk kufanya tafakari ya Maandiko Matakatifu.
Huyo ni mbuzi kabisa. Tumetaja kati ya waliomtembelea papa kuwa ni pamoja na malikia Elizabeti wa Uingereza ambaye ndiye mkuu wa kanisa la Anglikana. Sasa huyu mbuzi ataka kujifanya kuvifahamu hivyo vitabu vya Daniel kuliko huyo mkuu wa kanisa la Anglikana duniani?
 
mkuu CHAULA RICH



Kwa karne ya sasa ya utandawazi hakuna hao watu tena......





key word "WALIOWAHI"...... sasa hivi hawapo tena watu wanamna hii....



Hizi ni story tu! haiwezekani mtu maisha yote usitoke nje! ..... kuna kitu kinaitwa VITAMIN D ....





kumbe wanatoka!




nadhani mkuu hujaelewa maana y neno nadhiri,kama umeelewa basi unaleta ubishi usio kuwa na faida wala maslahi yoyote,yaani unatamani kuwa mbishi tuu au unapenda ubishi na kupinga ..mambo haya yapo hata katika dunia ya leo na naamini Pope anafanya haya yote,pia kuwepo watu walio jiwekea nadhiri katika mambo mbalimbali,wewe unazungumzia utandawazi kama ndio jambo kuu katika karne ya leo je kabla ya hapo ulipata kusimuliwa au kuona yalio tukia??
 
Kanisa katolki ni msitu mnene wengi mnajidanganya kuujua kumbe mpo kingoni kabisa mwa msitu. Binadamu kapewa uwezo mkubwa mno katika mambo mengi sana, na katika hIlo akimshirikisha Mungu ndo anafanikiwa zaidi katika hilo alilokusudia provided kwamba ni jema.We unayeshangaa bado mchanga sana katika kumfahamu mwanadamu na maajabu yake, kwanza hujatafakari kwamba. Kutazama luninga si moja ya mahitaji muhimu katika maisha ya mwanadamu. Inaonyesha wewe huzijui jamii nyingi kiundani, yani kuna watu wengi sana ambao wanajua kuwa kuna luninga lakini hawatazami vipindi.. Uliyesema luninga nyingi hadi barabarani papa labda huvaa miwani asitazame, yaani wewe, kama upo sawa basi umejijingisha, na kwa mtindo huo unaaibisha jamiiforums maana ina sifa ya kukusanya watu makini hata kama hawafaham kitu ila wanaonyesha kwamba wana akili nzuri kwa hoja au maswali yao. Umeshindwa kabisa kuelewa tofauti ya kuona na kutazama, daaa, aisee kajiongeze.Katoliki wana mabo likuki na wanayaishi kwa makundi makundi, KUNA MAKASISI WANAFUGA NDEVU, KUNA MAKASISI HAWAFUGI NDEVU, KUNA MASHIRIKA YANAYOWAJIBIKA KUOMBA TUU, MENGINE USAFIRI DUNIANI KOTE KUHUBIRI, KWA MANENO NA VITENDO YAANI HUDUMA, YAANI WANAOMBEA JAMII NA MAMBO MBALIMBALI DUNIANI n.k & n.k &n.k.
Hivo analofanya papa ni kujifunza kuutiisha mwili ambalo ni jambo zuri sana kwa mwamini.
 
Kanisa katolki ni msitu mnene wengi mnajidanganya kuujua kumbe mpo kingoni kabisa mwa msitu. Binadamu kapewa uwezo mkubwa mno katika mambo mengi sana, na katika hIlo akimshirikisha Mungu ndo anafanikiwa zaidi katika hilo alilokusudia provided kwamba ni jema.We unayeshangaa bado mchanga sana katika kumfahamu mwanadamu na maajabu yake, kwanza hujatafakari kwamba. Kutazama luninga si moja ya mahitaji muhimu katika maisha ya mwanadamu. Inaonyesha wewe huzijui jamii nyingi kiundani, yani kuna watu wengi sana ambao wanajua kuwa kuna luninga lakini hawatazami vipindi.. Uliyesema luninga nyingi hadi barabarani papa labda huvaa miwani asitazame, yaani wewe, kama upo sawa basi umejijingisha, na kwa mtindo huo unaaibisha jamiiforums maana ina sifa ya kukusanya watu makini hata kama hawafaham kitu ila wanaonyesha kwamba wana akili nzuri kwa hoja au maswali yao. Umeshindwa kabisa kuelewa tofauti ya kuona na kutazama, daaa, aisee kajiongeze.Katoliki wana mabo likuki na wanayaishi kwa makundi makundi, KUNA MAKASISI WNAFUGA NDEVU, KUNA MAKASISI HAWAFUGI NFDEVU, KUNA MASHARIKA YANAYOWAJIBIKA KUOMBA TUU, YAANI WANAOMBEA JAMII NA MAMBO MBALIMBALI DUNIANI n.k & n.k &n.k.
 
nimewahi kusoma mahali fulani kwenye secret facts za pope francis, wanasema yeye hutumia bangi kama dawa, kwa mvuta bangi inawezekana kabisa kutoangalia tv kwasababu unakuwa na vitu vingi vya kufikiria!

We acha uongo!,Hizo secret facts ziliandikwa na nani?,hivi kwanini binadamu hatupendani?hivi ninyi Maprotestant mnapata raha gani mnapolishambulia Kanisa Katoliki na kulinenea kila neno baya??,Yaani huwezi ukamsikia mtu asiye mkatoliki akisema mazuri juu ya RC au Papa kila anayekuja ni kuponda tu!!,Kuna siku jamaa mmoja aliandika Uzi kwamba Hongera Kanisa Katoliki kwa Kusaidia Yatima,lkn ajabu watu walikuja na matusi lukuki sasa huwa ninajiuliza hivi hawa nao ni Wakristo wenzetu kweli?Mbona Ukristo haupo hivyo!,Ndiyo maana Mahatma Gandhi mtawala wa India aliwahi kusema kuwa-"I love Christ,but i don't like Christianity because Christians are not like their Christ".Sasa napata ufahamu kwanini huyu jamaa alisema hivi,Wengi wamejaa unafiki tu!,Sasa unapomsemea mabaya mtumishi wa Mungu halafu unajidai eti wewe ni Mcha Mungu unapata faida gani hapo?,nakwambia ni heri Mpagani asiyejua chochote Mungu aweza kumhurumia kuliko watu km ninyi Biblia kubwa mkononi kumbe Moyoni umejaza Husuda,Chuki kwa RC na viongozi wake,n.k.
 
Huyo ni mbuzi kabisa. Tumetaja kati ya waliomtembelea papa kuwa ni pamoja na malikia Elizabeti wa Uingereza ambaye ndiye mkuu wa kanisa la Anglikana. Sasa huyu mbuzi ataka kujifanya kuvifahamu hivyo vitabu vya Daniel kuliko huyo mkuu wa kanisa la Anglikana duniani?

papa ndio kakufundisha kumuita binadamu mbuzi ... kama ni yeye basi hafai, kama sio yeye badi unamatatizo.

kiongozi wa anglikani kumsabahi papa wala si ajabu kwa sababu kwanza anglikan ni zao la ukatoliki.
Wao tu walijifanya ku-protest ukatoliki na kuanzisha kanisa lao lakini asili yao hi humuhumu kwenye ukatoliki, na bado wanaamini katika mafundisho mengi tu ya ukatoliki tena ambayo hata kwenye biblia hayapo... yameletwa tu na wanadamu na kupitishwa na viongozi wa kanisa hao mapapa na mpaka leo watu wanayeshimu.

wewe usiyeelewa haya ndio umefungwa na nguvu za giza..amka omba roho wa Mungu akuongoze kuyaelewa haya, usikae tu bila kujua historia ya kanisa lako... upagani umezidi ndani ya kanisa, mmekalia kumtukuza papa badala ya Mungu, leo hii mtu anapiga magoti mbele ya papa anatubu dhambi zake eti na papa anatoa msamaha____aibu gani hii, toka lini mwanadamu amsamehe dhambi mwanadamu mwenzake.

Soma vitabu upate maarifa mkuu sio kuishia tu kuaminishwa uongo.
 
Muongo huyo mzee.

Kutokana na IQ yako upo sahihi,na tusingetegemea muono tofauti na huo ulionao,kulazimisha Mawazo chanya kutoka kwa watu km wewe ni sawa na Kulazimisha Maji kupanda mlima jambo ambalo ni gumu.
 
Back
Top Bottom