BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,020
...Bak, by the time mwanaume huyo anagundua 'anapendewa pochi,' mwanamke wa aina hiyo anakuwa keshambwaga, mwanaume anapukutisha vumbi tu mifukoni.
Labda kama kalishwa limbwata, vinginevyo ni rahisi sana kumgundua mwanamke anayekupenda kwa ajili ya pochi lako nono. Huyu ni mwizi tu anaweza hata kuuza mwili wake ndani ya ndoa kutokana na tamaa aliyokuwa nayo na kukutia aibu.