Nisaidie ka umri kako ndugu yangu
Nisaidie ka umri kako ndugu yangu
Mwanaume, waume wa wake zetu, ni kama sisi. Tunaojua uzuri wa mke kuwa ni tabia. Tabia hapa ina maana ni pamoja na kumuelewa mmeo kwa namna zote.
Kila mwanamme yuko tofauti, ndiyo maana hakuna kitu kama uzuri wa mme ni kitu fulani...! Mwanamke ni DEPENDENT parameters na mwanamme ni FACTOR (deciding).
Kwa hiyo acha maneno yako kabisa ya uzuri wa mwanamme!
Unawezakosa pesa na bado mwanamke akakuelewa na asifanye udobefu wa aina yoyote. Ikitokea ukakosa hela na mwanamke akakengeuka ujue ndo tabia yake hiyo - alikuwa anaficha makucha yake tu.Uzuri wa mwanaume Mkwanja........
Kosa pesa ujue tabia ya Mkeo
Ni kweli mkuu ila mara nyingi wanasumbua sana wakikuta zipo then ukaishiwa ila kama mmeanza kuzisaka wote hapo mtakaa bila wasiwasiUnawezakosa pesa na bado mwanamke akakuelewa na asifanye udobefu wa aina yoyote. Ikitokea ukakosa hela na mwanamke akakengeuka ujue ndo tabia yake hiyo - alikuwa anaficha makucha yake tu.
yamekuwa hayo tena?uzuri wa mwanaume ni TANGO, BILINGANYA, NDIZI BUKOBA
haswaaa, bamia, mbilimbi, kapenseli kanakokaribia kuisha havina nafasi hata kama wewe ni HByamekuwa hayo tena?
Hapa kuna kitu kinaendana na malezi ya huyo mwanamke, kama malezi yake ni mazuri hawezi kukengeuka. Na hasa wanaowaharibu watoto wa kike ni wamama zao - mtoto akijua mama alikuwa na tabia fulani kwa baba yake - akiolewa anaona ni sahihi kutenda kama mama yake alivyokuwa akitenda.Ni kweli mkuu ila mara nyingi wanasumbua sana wakikuta zipo then ukaishiwa ila kama mmeanza kuzisaka wote hapo mtakaa bila wasiwasi
wewe ke au me?haswaaa, bamia, mbilimbi, kapenseli kanakokaribia kuisha havina nafasi hata kama wewe ni HB
mwe!wewe ke au me?
Mkuu kuna wengine wanabadilika kulingana na marafiki na mazingira waliokulia/wanayoishi ila wazazi (mama yake) unakuta ni mtulivu kabisaHapa kuna kitu kinaendana na malezi ya huyo mwanamke, kama malezi yake ni mazuri hawezi kukengeuka. Na hasa wanaowaharibu watoto wa kike ni wamama zao - mtoto akijua mama alikuwa na tabia fulani kwa baba yake - akiolewa anaona ni sahihi kutenda kama mama yake alivyokuwa akitenda.
Na hilo lipo mkuu, kikubwa kukaza maombi uliye naye asikengeuke ...Mkuu kuna wengine wanabadilika kulingana na marafiki na mazingira waliokulia/wanayoishi ila wazazi (mama yake) unakuta ni mtulivu kabisa
ndo nini sasa!mwe!
Kweli kabisa MkuuNa hilo lipo mkuu, kikubwa kukaza maombi uliye naye asikengeuke ...