gaintoo broisser
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 307
- 378
Mimi ni kijana wa miaka 33 Naishi Mwanza ni mfanyabiashara wa kujitegemea, nipo hapa mbele yenu wanaJamii natafuta Mwanamke wa kuoa Kwa Mkataba.
Mimi ni mfanyabiashara, na nimejiunga na Chama KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO tarehe 2 Mwezi wa 3 Mwaka 2024
vigezo vya mwanamke ninayemuhitaji.
1. Awe na miaka 29 hadi 40
2. Awe Amejiunga kwenye Chama cha Wanawake cha KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
3. Awe tayali tufunge Mkataba wa kuoana kwa miaka 4 na kila mtu awe anajitegemea Na Kwenye mkataba nitamlipa endapo atakizi vigezo vyote, Watoto nitalea mimi na mkataba ukiisha Watoto ni mali yangu ila yeye ataendelea kuitwa Mama
Nb: Kila mmoja awe anajitegemea kwenye Uchumi wake aka 50 kwa 50 na awe tayali kupima DNA kwa Watoto waliozaliwa
ASANTENI SANA wanachama wenzangu KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
Mimi ni mfanyabiashara, na nimejiunga na Chama KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO tarehe 2 Mwezi wa 3 Mwaka 2024
vigezo vya mwanamke ninayemuhitaji.
1. Awe na miaka 29 hadi 40
2. Awe Amejiunga kwenye Chama cha Wanawake cha KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
3. Awe tayali tufunge Mkataba wa kuoana kwa miaka 4 na kila mtu awe anajitegemea Na Kwenye mkataba nitamlipa endapo atakizi vigezo vyote, Watoto nitalea mimi na mkataba ukiisha Watoto ni mali yangu ila yeye ataendelea kuitwa Mama
Nb: Kila mmoja awe anajitegemea kwenye Uchumi wake aka 50 kwa 50 na awe tayali kupima DNA kwa Watoto waliozaliwa
ASANTENI SANA wanachama wenzangu KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO