Maisha Plus Tv Show ya Masoud Kipanya

Magehema,

Sijui kama umenielewa, kama unaifuatilia Maisha Plus show inajaribu kuonyesha uhalisia wa maisha ya ki-tz. Katika show hii maadili ambayo nimezungumzia ni mwenendo mzima unaoonyeshwa na washiriki pale kijijini. Hakuna vitendo vya aibu kama kufanya mapenzi hadharani, kutembea nusu uchi, kutumia lugha zisizostahili dhidi ya mshiriki mwenzake, hakuna uvivu kila mshiriki anajumuika na wenzake katika kuendesha maisha ya pale kijijini. Tofauti na show ya big brother ambayo ishara za ngono za wazi au pengine kufanya ngono ni sehemu ya show, kutembea uchi ni jambo la kawaida, ugomvi na matusi kwao kawaida. Vitu kama hivyo hutavikuta katika show ya maisha plus. Kuthamini utamaduni wetu ni pamoja na kufahamu tulikotoka, wazee wetu walivaa mavazi ya magome ya miti hili likionyeshwa pale maisha plus linawafundisha vijana wetu tulikotoka. hakuna anayetembea uchi kama ulivyosema. Najua tuko pamoja Mkuu Magehema

Operationalisation, that's it. That is what I was looking for. Nimekuelewa Mkuu, nashukuru sana kwa kutoa ufafanuzi wa maadili ya ki-tz.
 
nakumbuka machache sana maana most were kind of silly
kwamfano yule kijana kutoka Zanziba alivyokuwa anaulizwa kuhusu afya yake na kwamba voice box yake iko wapi - imekaa sijui kushoto au miguuni...akawa anasema tu DUUH!na kuamini kila alichokuwa anaambiwa na akina Masoud.
Mwingine ni msichana aliulizwa something to the effect kuwa sura yake imekaa kuoneysha ana hasira.....
Mengine yalikuwa on vipaji na wengi walikuwa wanasema wanaweza kuimba au kuigiza....
maswali mengi yalikuwa on IQ na other silly stuff which you dont expect me to memorise...nijaza memory yangu ilhali I have so many other important stuff to save!
UMERIDHIKA?( I DONT EVEN KNOW WHY U R ASKING AU WHY IM EVEN ANSWERING YOU!)

Mie katika kipindi kile cha usahili nilijifunza kuwa,vijana wengi hatujiamini.Hatujiamini kama kweli tunajua na kile tunachokijua ni sahihi.Hii ndo sababu washiriki wengi kubaki wamepigwa na butwaa wasijue cha kujibu,walikosa kujiamini.
 
katika kuangalia kwangu ni jana tu wana kijiji wameni disappoint pale walipo kuwa wana gombania ice cream kama watoto wadogo...mbaya zaidi badala ya kuweka kwenye vikombe ili wa enjoy zaidi utamu na ubaridi waka anza kuenjoy kwenye kopo lake ambapo kila mtu anashika pale wanapoweka vinywa vyao,,,sasa baadae karibia wana maliza ndio wanweka kwenye vikombe!!!!! watu wenyewe walio kuwa wana gombea ni 4 tu...ama kweli kijijini unajifunza mengi.
 
maisha plus, ni kipindi kizuri.
najua wore tunafahamu kuwa TV inakwenda 'reality shows' zaidi kwa sasa. Kwa tanzaninia kujikongoja kiasi kile, ni hatua kubwa sana, nawapongeza,
usaili ulituonyesha jinsi vijana wasivyojiamini, inasikitisha sana, ila inawapa muda wakutafakari kwa wale wenye akili zao, nini hasa maana ya muda wa maisha waliopewa?
Imewapa muda wa kutazamana, kusikilizwa, kusikiliza, nina uhakika hata kwa wale waliodhani ni wenye upana wa mawazo kushinda wenzao, wameelimika sana pale.
Hizi kelele na spidi ya maisha ni rahisi sana kumfanya mtu apoteze track ya safari yake

Big up masudi, kaka bonda(my favourite kaka tangu enzi za kipingi cha watoto)
na wote waliochangia brains zao.
anzeni kuandaa kingine chapuchapu
kwa hichi mimi naona kuna washindi kama watano, kila mtu na fani yake.
Pendo, inteligent
Abdul, entertainer, strategic, i love to hate him
maulid, just cute and innocent and straight forward no quitter, will go further
Steve, cute, gentleman, can cope with change
Charle, cute, not arrogant, can tolerate anything,
moshi, quite a girl her age, lives there and presence felt
Teddy, determined girl, go dada go!!


So anybody who looses among them i will be very unhappy, so I am sure to be very unahppy on that day!!!
Actually nimeshaanza kulia tayari kumsubiri ataetolewa kati yao.
 
Mkuu kabla hauja sema kitu kwanza fanyia utafiti hayo unayotaka kuyasemea, nadhani ungejifunza ni kitu kinachofanyika kabla haujaanza kuonesha madudu yako juu ya hii. Akina Charles na Sreve hawkutolewa ki ukweli kama unavyodai ila ilikuwa na fake eviction kuwapa mchecheto washiriki. Halafu haya masuala ya kishirikina huwa hayapewi nafasi sana kama unavyotaka, unafikiri Abdul angetolewa kwa kuwa kuna madai kuwa anajihusisha na mambo ya kishirikina ingeifundisha nini jamii. Na hata wanao waua vikongwe na maalbino kwa imani hizo za kishirikina huwa na visingizio hivyo hivyo. Samahani kama una kitu binafsi na masoud nilichokuwa nakiweka sawa ni hicho tu ila vita yako na masudi hainihusu na nadhani hapa si mahala muafaka.


Naona umekasirika kweli! pole sana lkn hii ndio JF.
Kipanya alitakiwa kuwaambia watazamaji kabla kuwa hawa hawatatoka, (unakumbuka zile kura zilivyokuwa zikisema?) sio wameisha piga kura then anaamua tu kuwa hawa hawatarudi nyumbani. Kwasababu watu walisha wapigia kura za kutolewa basi wangekuja kusalimia tu then wange toka! Tatizo lako unawaza jambo la aina moja na hutaki kuwaza upande wa pili, yaani wewe ukiamini jambo unaamini tu wala huwezi hata kuangalia ukweli....ile ilileta picha mbaya sana kwa wale wliotolewa mara ya pili, ingetafutwa namna siyo ile.
Kuhusau Abdul, angeulizwa tu, kwani washiriki woote waliulizwa kwanini yeye asiulizwe?!! Hata hao unaosema wanaodaiwa kuua albino wanaulizwa, Jamii ingependa kujua, Abduli alikuwa anafanya nini choo cha kike alfajiri?!
Then, maneno kama madudu, chuki binafsi na kauli kama hizo ni za mtu aliefikia ukomo wa kutafakari, Kile kipindi kinaonyeshwa kwa watanzania woote, na woote tunahaki ya kukosoa pale tunapoona mambo yameenda kombo, sio mtu aanze ooh nini sijui!! changamoto lazima apewe yeye sio malaika!na kama wewe ndiye Kipanya mwenyewe, usione aibu humu wamo watu wenye upeo sana tu omba mawazo yao yasaidie kuboresha kipindi chako naamini watakusaidia kabisa.
Mwisho kabisa ndugu, jifunze kujieleza vizuri tu bila kupanic, siku hizi elimu hiyo ipo sehemu mbalimbali hasa kwenye mitandao. Kama hutabadilika utakuwa umekubali kukaa na ugonjwa ambo tiba yake unayo mkononi.
 
Naona umekasirika kweli! pole sana lkn hii ndio JF.
Kipanya alitakiwa kuwaambia watazamaji kabla kuwa hawa hawatatoka, (unakumbuka zile kura zilivyokuwa zikisema?) sio wameisha piga kura then anaamua tu kuwa hawa hawatarudi nyumbani. Kwasababu watu walisha wapigia kura za kutolewa basi wangekuja kusalimia tu then wange toka! Tatizo lako unawaza jambo la aina moja na hutaki kuwaza upande wa pili, yaani wewe ukiamini jambo unaamini tu wala huwezi hata kuangalia ukweli....ile ilileta picha mbaya sana kwa wale wliotolewa mara ya pili, ingetafutwa namna siyo ile.
Kuhusau Abdul, angeulizwa tu, kwani washiriki woote waliulizwa kwanini yeye asiulizwe?!! Hata hao unaosema wanaodaiwa kuua albino wanaulizwa, Jamii ingependa kujua, Abduli alikuwa anafanya nini choo cha kike alfajiri?!
Then, maneno kama madudu, chuki binafsi na kauli kama hizo ni za mtu aliefikia ukomo wa kutafakari, Kile kipindi kinaonyeshwa kwa watanzania woote, na woote tunahaki ya kukosoa pale tunapoona mambo yameenda kombo, sio mtu aanze ooh nini sijui!! changamoto lazima apewe yeye sio malaika!na kama wewe ndiye Kipanya mwenyewe, usione aibu humu wamo watu wenye upeo sana tu omba mawazo yao yasaidie kuboresha kipindi chako naamini watakusaidia kabisa.
Mwisho kabisa ndugu, jifunze kujieleza vizuri tu bila kupanic, siku hizi elimu hiyo ipo sehemu mbalimbali hasa kwenye mitandao. Kama hutabadilika utakuwa umekubali kukaa na ugonjwa ambo tiba yake unayo mkononi.

Hii mimi nakuunga mkono,kweli masoud laitakiwakutujulisha kabla kwa sababu watu wanatumia pesa zao kwa kutuma sms.
 
Am a big fan of Teddy she's down to earth,cooperative,good at sports,cheerful and persistent. Even if she does'nt win she will go far in life.
 
Last edited:
Hii mimi nakuunga mkono,kweli masoud laitakiwakutujulisha kabla kwa sababu watu wanatumia pesa zao kwa kutuma sms.

inaonekana nyinyi cyo wafuatiliaji makin wa MAISHA PLUS, bro Masoud walisema mapema sana na wala hawajakulupuka katika maamuzi yale !!
 
Maana halisi ya ujasiriamali kwa watanzania wengi ni mtihani, wanasubiri kuununua NECTA. Masoud ni mbunifu, jasiri wa kuonyesha kipaji chake, ana upendo kwa vijana wenzake na ni mtu kama binadamu wengine (kaumbiwa makosa na kajifunza uweledi katika ujasiriamali). Hali ya uelewa kwa vijana wengi wa Kitanzania inasikitisha. Mnaokosoa niwape cangamoto ndogo Hebu na nyie fanyeni kitu chenu kizuri tuone, kama mnadhani kazi ya kubuni na kupanga zoezi zima ni ndogo jaribuni. Hatukatai kukosoa, tukosoe kwa kuonyesha njia. Tutoe maoni chanya sio yanayoambatana na chuki. Big up Masoud. Nasubiri mchezo uishe nitoe maoni yangu ili show ijayo iwe bomba zaidi.
 
Naona umekasirika kweli! pole sana lkn hii ndio JF.
Kipanya alitakiwa kuwaambia watazamaji kabla kuwa hawa hawatatoka, (unakumbuka zile kura zilivyokuwa zikisema?) sio wameisha piga kura then anaamua tu kuwa hawa hawatarudi nyumbani. Kwasababu watu walisha wapigia kura za kutolewa basi wangekuja kusalimia tu then wange toka! Tatizo lako unawaza jambo la aina moja na hutaki kuwaza upande wa pili, yaani wewe ukiamini jambo unaamini tu wala huwezi hata kuangalia ukweli....ile ilileta picha mbaya sana kwa wale wliotolewa mara ya pili, ingetafutwa namna siyo ile.
Kuhusau Abdul, angeulizwa tu, kwani washiriki woote waliulizwa kwanini yeye asiulizwe?!! Hata hao unaosema wanaodaiwa kuua albino wanaulizwa, Jamii ingependa kujua, Abduli alikuwa anafanya nini choo cha kike alfajiri?!
Then, maneno kama madudu, chuki binafsi na kauli kama hizo ni za mtu aliefikia ukomo wa kutafakari, Kile kipindi kinaonyeshwa kwa watanzania woote, na woote tunahaki ya kukosoa pale tunapoona mambo yameenda kombo, sio mtu aanze ooh nini sijui!! changamoto lazima apewe yeye sio malaika!na kama wewe ndiye Kipanya mwenyewe, usione aibu humu wamo watu wenye upeo sana tu omba mawazo yao yasaidie kuboresha kipindi chako naamini watakusaidia kabisa.
Mwisho kabisa ndugu, jifunze kujieleza vizuri tu bila kupanic, siku hizi elimu hiyo ipo sehemu mbalimbali hasa kwenye mitandao. Kama hutabadilika utakuwa umekubali kukaa na ugonjwa ambo tiba yake unayo mkononi.

ukitakiwa useme hayo maneno yote kwa maneno matatu utasema nini? kwa upande wangu ningesema..KUDANDIA GARI MBELE
 
Mkuu,

Hii issue siyo ya utanzania au ugeni. On top TBC ni television ya taifa,siyo ya watu kwenda kujaribisha vitu vyao. Program kama ile ilitakiwa iandaliwe vyema ifanyiwe auditing ndo watuletee walaji. Pale siyo sehemu ya kukuza watu na initiatives zao. Hilo nakataa.

Tupo pamoja kwamba jamaa ni creative sana, ni kweli namkubali sana kwenye katuni. Yuko vizuri sana kwenye katuni lakini kwenye tv...mhh.. nina doubts, hata presentation yake mimi binafsi sioni manjonjo ya kunifanya nifurahie. Labda kwenye radio.

So long kuna wadhamin wametoa hela yao kwa kurusha kipindi, it does not mean kila mtu tu aje na kitu ambacho hatukielewi theme and outcomes. Everytime naangalia tv at least kuwe na mantik. Pengine kwenye hiyo maisha plus iko lakini mimi to date sijaiona hata during interview. Anyways it is my opinion.

SHAPU ..we re in the same boat !
 
nakumbuka machache sana maana most were kind of silly
kwamfano yule kijana kutoka Zanziba alivyokuwa anaulizwa kuhusu afya yake na kwamba voice box yake iko wapi - imekaa sijui kushoto au miguuni...akawa anasema tu DUUH!na kuamini kila alichokuwa anaambiwa na akina Masoud.
Mwingine ni msichana aliulizwa something to the effect kuwa sura yake imekaa kuoneysha ana hasira.....
Mengine yalikuwa on vipaji na wengi walikuwa wanasema wanaweza kuimba au kuigiza....
maswali mengi yalikuwa on IQ na other silly stuff which you dont expect me to memorise...nijaza memory yangu ilhali I have so many other important stuff to save!
UMERIDHIKA?( I DONT EVEN KNOW WHY U R ASKING AU WHY IM EVEN ANSWERING YOU!)

unanifurahisha kweli ndugu!-hongereni kwa kuweza kuangalia ,mi ilinishinda kuangalia that silly Interview!
 
Ni kweli inaonekana uelewa wa vijana wetu siku hizi ni mdogo sana sasa sijui ni nini.Ninajoweza kusema ni kwamba vijana wamepoteza ari ya kujisomea mambo yenye kuwaongezea elimu.na kusoma magazeti ya udaku,kusikiliza bongo flavour.na kwenye TV kutazama michezo ya kuigiza tuu.kweli ilinisikitisha sana kwani kwa umri ule mimi niliweza kujua Anti balistic missile ni nini.Niliweza kukuonyesha Kamchatica kwenye atlas iko wapi

Tatizo ni kwamba waTZ wengi hawataki kujiendeleza ili wawe na ufahamu zaidi. Ndio maana waTZ wengi wanabakia kuamini yanayosemwa na vyombo vya habari vya nchi za magharibi ambavyo viko BIASED towards their own views. Nitakupa mifano michache:
1.. Wakati Marekani ikijiandaa kuivamia Irak ya Saddam Hessein, walidai Irak ina silaha za maangamizi. Walidanganya kwani silaha hizo ni 'deterrent', maana yake ni kuwa ukiwa nazo hakuna atakayekuvamia kichwakichwa. UN na Mkaguzi wake mkuu Dk. Hans Blix waliibishia Marekani, lakini ikavamia kibabe. (Wengi mitaani TZ waliamini Irak inazo hizo silaha).

2.. WaTz wengi wanaamini kuwa Wapalestina ni wabaya kwa kuwa wanashambulia Israel kwa kujilipua (suicide bombing). wafahamu kuwa Yassir Arafat aliingia mkenge kwa kusaini mkataba na marekani wakati wa Rais Bill Clinton kukubali kuwa Palestina isiwe na Jeshi hata kabla ya mazungumzo na taifa la Israel linalokalia ardhi ya Palestina. Matokeo yale ni kwamba mpaka leo Israel haionyeshi dalili za kutaka kuondoka kwenye nchi ya Palestina, baili ndio kabisa imejenga ukuta wa kibaguzi kumega maeneo ya wapalestina na kuwafukuza ili kupanua maeneo ya walowezi kutoka Israel. Israel imeendelea kuwashambulia wapalestina miaka yote. Kulle West bank wamekaa kimya kwa kuwa wako chini ya Mahmoud Abbas kibaraka wa Marekani. Kule Gaza hatimaye walichoka kuonewa na kuamua kupambana kwa kutumia silaha walizoweza kupata (mawe, bunduki, makombora madogo ya kujitengenezea wenyewe) dhidi ya silaha za Israel (ndege za kivita, meli za kivita, makombora, silaha za sumu ie. Phosphorus, vikwazo mipaka yote).. Kutokana na propaganda za Magharibi, usishangae ukisikia baadhi ya waTz wakidhani Kujilipua ni ukatili zaidi kuliko mauaji yanayofanywa na Israel ndani ya nchi ya wengine waliyoikalia.

3.. Sheria za kimataifa zanaruhusu nchi zote kuwa na mitambo ya kuzalisha nishati kwa kutumia nguvu za nyuklia. Marekani, huku ikisaidiana na baadhi ya marariki zake wa magharibi, hazitaki nchi wasiopatana nazo ziendelee kwa teknolojia hiyo, pamoja na teknolojia ya kuweka satelaiti anga za juu. Ndio maana inajaribu Kushinikiza Iran isiwe na mitambo ya kuzalisha umeme wa nyuklia, huku ikiruhusu rafiki zake India, Pakistan na Israel kutengeneza na kumiliki SILAHA za nyuklia. Na ndio maana haitaki demokrasia Pakistani kwani rafiki zake akina watashindwa uchaguzi
Pia inajaribu kutumia UN kuiwekea vikwazo Korea Kaskazini kwa kurusha roketi angani, kitu ambacho kwa sheria za kumataifa ni haki yake. Vyombo vya habari vya Marekani na marafiki na vibaraka wake Marekani vinadanganya kuwa eti wanarusha makombora, kitu ambacho ni uongo.

4.. Even our leaders have fallen into this trap. Our government nowadays fails to take the stand against oppression.

NDIO MAANA MTU ANAPEWA SAHANI YA PILAU AU T-SHIRT ANABADILI CHAGUO LAKE LA KIONGOZI.
 
Maana halisi ya ujasiriamali kwa watanzania wengi ni mtihani, wanasubiri kuununua NECTA. Masoud ni mbunifu, jasiri wa kuonyesha kipaji chake, ana upendo kwa vijana wenzake na ni mtu kama binadamu wengine (kaumbiwa makosa na kajifunza uweledi katika ujasiriamali). Hali ya uelewa kwa vijana wengi wa Kitanzania inasikitisha. Mnaokosoa niwape cangamoto ndogo Hebu na nyie fanyeni kitu chenu kizuri tuone, kama mnadhani kazi ya kubuni na kupanga zoezi zima ni ndogo jaribuni. Hatukatai kukosoa, tukosoe kwa kuonyesha njia. Tutoe maoni chanya sio yanayoambatana na chuki. Big up Masoud. Nasubiri mchezo uishe nitoe maoni yangu ili show ijayo iwe bomba zaidi.

kaka umeongea sana, big up!.wengine wanao criticize huku nadhani hata kuziba pancha za baiskeli hawawezi ije aandae program na watu wenye akili zao wafahamu nini dhumuni ya hiyo program,all in all anayeonewa wivu ni yule ambaye anakitu kizuri,halafu jealous hawezi kukifanya hata theluthi.huwezi kua jealous na kichaa lazima mtu anayefanyiwa jealous awe juu na kitu fulani zaidi, wanasema vijana wa maisha plus wanaupeo mdogo na hawajiamini, ile ndo reality ya tz,mtu anamaliza form four kisha anaenda soma english course, mi nadhani kama tungekua wabusara tungewahoji hao wenye mipango yao ya kuendeleza elimu pesa zetu za kodi wanapeleka wapi mbona result za program zao ni nill, wakibisha si mnawaleta kwenye maisha plus, na hii sio kwa vijana wa maisha plus fanya research hata mitaa mitatu unayokaa kisha uje tueleze matokeo,kipindi cha maisha plus ni kuwatoa watanzania gizani na kuwapeleka kwenye nuru, achana na mambo ya kisiasa,mambo yalio andikwa kwenye makarablasha,ohhhh takwimu inasema kiwango cha elimu kimepanda,wapi kaka! tusiwe kama watu wale ambao vitabu vimebashari,wenye macho lakini hawaoni,wenye masikio lakini hawasikii,misha plus is where life makes sense, get real picture of most tanzanian life(what you see is what you get kaka), inaonyesha hata suala la deci lingeonyeshwa mapema kwenye "bongodaresalaam" wangesema pia watanzania sio wajinga hawawezi jiunga na kitu kama hicho hivyo kipindi chao hakitufundishi kitu, Big up masoud,Big up maisha plus,big up kaka
 
Kweli hii dunia haiishi maajabu! yaani kusema hapa pana kosa hili pale panakosa lile ni dhambi? changamoto zimegeuka kuoneana wivu?? he!
"Nikwanini Abduli hakuulizwa alikuwa anafanyanini choo cha kike alfajiri", ni kuoneana wivu??
Ndugu zanguni vipi? kwema?
 
Kweli hii dunia haiishi maajabu! yaani kusema hapa pana kosa hili pale panakosa lile ni dhambi? changamoto zimegeuka kuoneana wivu?? he!
"Nikwanini Abduli hakuulizwa alikuwa anafanyanini choo cha kike alfajiri", ni kuoneana wivu??
Ndugu zanguni vipi? kwema?

kaka mimi nahisi icho unasema ndo kime make sense kwenye life, kwa nini abdul hajaulizwa? hapo tayari utakua umepata kitu ndani ya maisha, kwamba kua kuna uwezekano ukafanya jambo halafu usihojiwe kama inavyopaswa, na ndo hali kweli tunazokutana nazo huku mitaani au maofisini, akichelewa mtu haulizwi ukichelewa wewe ni tatizo! hii ya kwako kaka imekaa zaidi kama kuelezea funzo ulilopata kwenye maisha plus lakini sio kukosoa,jamani ile ni maisha plus na kwenye maisha tunajua hakuna mtu yuko perfect 100%,na hiko kipindi hakiigizwi ndo maana unapata maisha halisi ya kitabia,
 
Ubunifu pekee niliouona katika zile auditions ni kuonyesha ujinga wa Watanzania hasa kizazi kipya.Ilikuwa inatia aibu.I hope hii siyo reflection ya mwelekeo wa watanzania.Maswali yalikuwa ya kipuuzi lakini yalidhihirisha umbumbumbu wa Taifa ( vijana taifa la leo na kesho) .Tutafika?

Huu ni uchovu wa kufikiri bigbrother inafunza nini.Tatizo la waafrika wengi kiakili zimekwishakuwa brainwashed kama rafiki yangu mmoja mujaheeden alikataa kugongesha glass yake yenye soda kwa mtu mwenye glass ya bia kwenye hafla fulani baada ya muda mfupi alifika mzungu na glass yenye pombe akaigongesha.tusidharau wabunifu wetu tuwape moyo.ingawa mitaji na zana ni duni za kufanya ubunifu kuwa bora zaid.mungu ibariki tanzania
 
Back
Top Bottom