n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,013
- 2,684
Na huyo ndiye mshindi! teh teh tehnakumbuka machache sana maana most were kind of silly
kwamfano yule kijana kutoka Zanziba alivyokuwa anaulizwa kuhusu afya yake na kwamba voice box yake iko wapi - imekaa sijui kushoto au miguuni...akawa anasema tu DUUH!na kuamini kila alichokuwa anaambiwa na akina Masoud.