Maisha haya acheni tu unaweza kukufuru

Maisha haya acheni tu unaweza kukufuru

Kudanga siwezi,
Kutapeli ni mwiko kwangu,

Pamoja na hivi nilivoo naenjoy Kula pesa ya jasho halali iliyo na Baraka za Mungu. Je nitafanikiwa vipi.
Nawaombeni ushauri.
Maria D.
Mungu anakuona wahi Halmashauri ukachukue mkopo fasta waambie Mama Samia kanituma chap kwa haraka watakupa Mkopo
 
acha kuvunja sheria za huu mtandao mkuu😐😐
Kuna tatizo gani kwani? Kama ni mdada maisha hayaeleweki, suluhisho atafute bwana amuoe. Kuna mdada alihamia DC Marekani sasa hustle za kule zikamshinda kazoea kulala sasa kufanya kazi masaa 16 kwa siku akaona shida. Akasema ngoja tu nirudi nyumbani nitafute mume anioe. Na ndivyo alivyofanya, bila ya kufukuzwa.
 
Kuna tatizo gani kwani? Kama ni mdada maisha hayaeleweki, suluhisho atafute bwana amuoe. Kuna mdada alihamia DC Marekani sasa hustle za kule zikamshinda kazoea kulala sasa kufanya kazi masaa 16 kwa siku akaona shida. Akasema ngoja tu nirudi nyumbani nitafute mume anioe. Na ndivyo alivyofanya, bila ya kufukuzwa.
sawa kiongozi.heshiyako mkuu😁.

mchuke basi asitusumbue humu
 
Back
Top Bottom