Maisha haya acheni tu unaweza kukufuru

Maisha haya acheni tu unaweza kukufuru

Habari za jioni

Maisha mnayaonaje ndugu zangu,dada zangu,Kaka zangu.

Kila nilichopanga kufanya mwaka huu naona kabisa hakitimii.

Dada yangu mmoja hapa mtaani anasema nisijipe presha bado mdogo,nitafanikiwa tu kwa uwezo wa Mungu, lakini Mimi mwenyewe nina marafiki kibao,naona kama wanaendelea vizuri na mambo yao.

Na Mimi kila siku najiuliza nawezaje kufanikiwa na Elimu yangu ya kuunga unga ?

Kudanga siwezi,
Kutapeli ni mwiko kwangu,

Pamoja na hivi nilivoo naenjoy Kula pesa ya jasho halali iliyo na Baraka za Mungu. Je nitafanikiwa vipi.
Nawaombeni ushauri.
Maria D.
Maisha huwa yana namna ya kumjaribu mtu , ukiona unakaribia kukata tamaa jua neema inakaribia

Muhimu ni kufanya yale yaliyo halali na kwa bidii, yaliyobaki muachie Mungu


Na kamwe usithubutu kujifananisha na yoyote hata kama ni mtu mliecheza nae utotoni

Watu wana mengi nyuma yao usione mtu kafanikiwa hata kama mnashinda nae mtaani, subiri yako ya halali
 
Habari za jioni

Maisha mnayaonaje ndugu zangu,dada zangu,Kaka zangu.

Kila nilichopanga kufanya mwaka huu naona kabisa hakitimii.

Dada yangu mmoja hapa mtaani anasema nisijipe presha bado mdogo,nitafanikiwa tu kwa uwezo wa Mungu, lakini Mimi mwenyewe nina marafiki kibao,naona kama wanaendelea vizuri na mambo yao.

Na Mimi kila siku najiuliza nawezaje kufanikiwa na Elimu yangu ya kuunga unga ?

Kudanga siwezi,
Kutapeli ni mwiko kwangu,

Pamoja na hivi nilivoo naenjoy Kula pesa ya jasho halali iliyo na Baraka za Mungu. Je nitafanikiwa vipi.
Nawaombeni ushauri.
Maria D.
Tatizo lako unajilinganisha
 
Pole muungwana, nimeshika 1M nikiwa na miaka 40 huko mgodini.

Usikate tamaa pambana.
 
Back
Top Bottom