Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,917
- 31,770
kama bwanako hana sasampa omba hata bubumpaAah dotinata weee
Cha muhimu ni Kaiteshki pawa
kama bwanako hana sasampa omba hata bubumpaAah dotinata weee
Cha muhimu ni Kaiteshki pawa
Sasa huku umekuja kumlilia nani,kwani huna wazaziTumia uchi wako wewe kwani huna
Nimekulilia ww shoga?Sasa huku umekuja kumlilia nani,kwani huna wazazi
Nashindwa jizuia kukukumbuka marryWee naye,kumekucha
NikuulizeNashindwa jizuia kukukumbuka marry
Asante sanaAcha kuangalia wenzio wanafanya Nini kwann wewe huwez kufanya kama wao ? Kipi kinakushinda? Usiige fanya vyenye uwezo wako usitake vikubwa wakat huna hata hicho kidogo
Upo huru Marry niulize chochoteNikuulize
Umasikini ni laana ukatae kwa nguvu zako zote na akili zako zote. Pambana mpaka michongo haramu (ila usidhalilishe utu wako).Habari za jioni
Maisha mnayaonaje ndugu zangu,dada zangu,Kaka zangu.
Kila nilichopanga kufanya mwaka huu naona kabisa hakitimii.
Dada yangu mmoja hapa mtaani anasema nisijipe presha bado mdogo,nitafanikiwa tu kwa uwezo wa Mungu, lakini Mimi mwenyewe nina marafiki kibao,naona kama wanaendelea vizuri na mambo yao.
Na Mimi kila siku najiuliza nawezaje kufanikiwa na Elimu yangu ya kuunga unga ?
Kudanga siwezi,
Kutapeli ni mwiko kwangu,
Pamoja na hivi nilivoo naenjoy Kula pesa ya jasho halali iliyo na Baraka za Mungu. Je nitafanikiwa vipi.
Nawaombeni ushauri.
Maria D.
Cheti naHabari za jioni
Maisha mnayaonaje ndugu zangu,dada zangu,Kaka zangu.
Kila nilichopanga kufanya mwaka huu naona kabisa hakitimii.
Dada yangu mmoja hapa mtaani anasema nisijipe presha bado mdogo,nitafanikiwa tu kwa uwezo wa Mungu, lakini Mimi mwenyewe nina marafiki kibao,naona kama wanaendelea vizuri na mambo yao.
Na Mimi kila siku najiuliza nawezaje kufanikiwa na Elimu yangu ya kuunga unga ?
Kudanga siwezi,
Kutapeli ni mwiko kwangu,
Pamoja na hivi nilivoo naenjoy Kula pesa ya jasho halali iliyo na Baraka za Mungu. Je nitafanikiwa vipi.
Nawaombeni ushauri.
Maria D.
Mm nimehitimu primary mwaka ganiUpo huru Marry niulize chochote
Olewa🙂Habari za jioni
Maisha mnayaonaje ndugu zangu,dada zangu,Kaka zangu.
Kila nilichopanga kufanya mwaka huu naona kabisa hakitimii.
Dada yangu mmoja hapa mtaani anasema nisijipe presha bado mdogo,nitafanikiwa tu kwa uwezo wa Mungu, lakini Mimi mwenyewe nina marafiki kibao,naona kama wanaendelea vizuri na mambo yao.
Na Mimi kila siku najiuliza nawezaje kufanikiwa na Elimu yangu ya kuunga unga ?
Kudanga siwezi,
Kutapeli ni mwiko kwangu,
Pamoja na hivi nilivoo naenjoy Kula pesa ya jasho halali iliyo na Baraka za Mungu. Je nitafanikiwa vipi.
Nawaombeni ushauri.
Maria D.
Bora hata mm Nina cha kuwapa wewe jeBinti tafuta pesa wanaume wata kuumiza uko chini mashabu yalegee
Kahaba msumbufu sana wewe,hii sio sehemu ya kujiuza nenda badooNimekulilia ww shoga?
HapanaOlewa🙂
Mmmmh sijajua marry ila nakumbuka mi na wewe tumejuana secondary dearMm nimehitimu primary mwaka gani
Ni kweli mm na mama yako tuwasumbufuKahaba msumbu sana wewe
HunijuiMmmmh sijajua marry ila nakumbuka mi na wewe tumejuana secondary dear