Mainjinia mnaoweka lami barabara ya Kimara Weekend mlikua wapi?

Mainjinia mnaoweka lami barabara ya Kimara Weekend mlikua wapi?

Yaani mnapenda kujipa umuhimu wa bure tu.

Weekend mmekaa hamna kazi, jumatatu mnaamka mnajifanya mpo serious. Mnafunga barabara upande mmoja zaidi ya masaa 24. Serious Morogoro Road mnaifanyia ivo?
Bongo ni nyoko, utakutta malori kutoka Bandarini Kurasini yamejaa Barabara ya mandera mchana kutwa foleni ya hovyo.
Mwenye Lori na Abria wa kawaida nyota mnnakaa Masaa matatukutoka Ubungo- Tazara, hii ni kazi wangefanya usiku
 
Tena 10 bila kutikisika 😂😂😂 MENEMENE TEKERI NA PERESI
Kuna nchi flani niliwahi kuishi, wale walikua wakitaka kukarabati barabara walikua wanatoa tangazo siku tano kabla, na walikua wanafanya ukarabati siku ambazo watu hawaendi kazi. Pia walikua wawaweki viraka, walikua wanabandua na kubandika lami mpya ya urefu wa kilometer moja kwa masaa 24
 
Kuna nchi flani niliwahi kuishi, wale walikua wakitaka kukarabati barabara walikua wanatoa tangazo siku tano kabla, na walikua wanafanya ukarabati siku ambazo watu hawaendi kazi. Pia walikua wawaweki viraka, walikua wanabandua na kubandika lami mpya ya urefu wa kilometer moja kwa masaa 24
Hiyo imekaa powa sana, ila hii nchi hizo level tutafikia mwaka 2060 huko
 
Kuna nchi flani niliwahi kuishi, wale walikua wakitaka kukarabati barabara walikua wanatoa tangazo siku tano kabla, na walikua wanafanya ukarabati siku ambazo watu hawaendi kazi. Pia walikua wawaweki viraka, walikua wanabandua na kubandika lami mpya ya urefu wa kilometer moja kwa masaa 24
Mi nilikaa kwenye nchi fulani ambapo wakataka kufanyia lami ukarabati wanafunga shule na kupiga watu lockdown.
 
Duh hiyo barabara bado wanachimbachimba tu kujenga 😄

Ova
 
Back
Top Bottom