Maimartha wa Jesse kuchambwa na #teamWema

Maimartha wa Jesse kuchambwa na #teamWema

Hizo picha mnaamini kweli toka lini wapenzi wakapigia picha sehemu tofauti hamuoni kweli vitambaa haviendani?

Nilitegemea kuona picha ya D akimla huyo dada ila hawana hata ya busu.

Hawatalala kuendelea kutubga na kutengeneza ili wapate mburulaz wa kukubaliana na wivu wao juu ya D waliemwacha wenyewe na bado wanamlilia.
 
Yani Mange ameboogieeee....

Yaani acha tu kaumbuka

Atajua duniani sio kujua kila kitu mir niliachaga kufata uondo kwake naingia kama eeh nikitaka kusoma amewekaje umburulaz kwenye kitu kama leo ilibidi nicheke yaani hata point zake bika kujua upande wa puli zilikua hazina maana amechemka labda wasio jua mambo ndio amewapata...kuna ya 1+1 unasoma kaandija na kuona duh hivi huyu anajua anachoandika au.

Cheki pm nimekutumia link ya ule uzi
 
Hii pic inanifanya niamini

Mmh unaamini nini?

Mbona wakati wa wema hawakumuweka kama kweli? Au sasa watasema kakutana nae kwenye hewa....wanajaribu kuvunja bado uhusiano wa D na Z hakuna lingine...mchina imewapa dozi.

Haya ni mie msoma ubuyu nicheke nisizeeke
 
Domo alishawahi kupost pic na hao watoto upande wa pili wanaonekana na huyu dada

Weka picha

Kumbuka walifikia apartment na babu tale, romy, dancers

Pia hao wenzake hawana majamaa na ndugu huko?

Hata hao watoto wanataka sema mama yao aliwabeba waende wakalala nai kutandani pia.

Tabu hata hao watoto picha za kwingine wanadai za chumbani so chumbani watu wanakatia keki wakiwa na wageni?

leta picha basi tuamini pia, maana watu wakiwa sehemu au kujuana kama wanajuana basi.

Mie nataka kujua kwa nini huyo dada kaachia picha zake zitumike hivyo na nimesoma eti anavaa pete za ndoani pia...kweli?

Na inaonyesha D anazimiwa na wanawake wengi sasa. Domo lile hawalioni tena Z kamtoa uzuri na mahaba ameyatoa anayafaidi.
 
Domo alishawahi kupost pic na hao watoto upande wa pili wanaonekana na huyu dada

Team Wema hawajawahi kusema ukweli
Kama Wema na mondi wameachana mbona wanamfatilia sana huyu mtoto wa tandale?
Nini kinawauma?
Hata wanavojifanya kumsuppoort Kiba saa izi nawaona wanafiki tu.
 
Haya hayaaa, hata mimi nasubiri umbea Madame B.Ila huu umbea mzito kama vipi tutupiemo huko PM maana sasa hivi hali sio hali.

Chaaa!
Mnaanzaje kunisahau sasa😱
 
Last edited by a moderator:
tobaa yule naeee makubwa hayaa
ndo mana jaji wa kino star search
kajala malaya jamani duuh
kweli mjaa asili haachi asili
duuuh ina maana walichafua na nnya mashuka lllooohhh

Yaani ngachoka mie.
Nasikia walichafua mpaka uongozi ukabidi uongee nao kikubwa
 
Haya hayaaa, hata mimi nasubiri umbea Madame B.Ila huu umbea mzito kama vipi tutupiemo huko PM maana sasa hivi hali sio hali.

Ukiuza utumbo, usiogope nzi

Ngoja nakuja mwaya
 
Last edited by a moderator:
Vichambo vya JF navyo vichambo? Vichambo uchambwe 'live' kwa sare na matarumbeta, kitu kinaingia hadi katika Medulla Oblangata. Lakini humu, waaala. Ikiandaliwa mechi Leaders Club Vichambo JF vs Vichambo Uswazi walahi JF mtabinuka biduuuu......
 
Vichambo vya JF navyo vichambo? Vichambo uchambwe 'live' kwa sare na matarumbeta, kitu kinaingia hadi katika Medulla Oblangata. Lakini humu, waaala. Ikiandaliwa mechi Leaders Club Vichambo JF vs Vichambo Uswazi walahi JF mtabinuka biduuuu......

Naona watu taratibu wanajitaja....
 
Vichambo vya JF navyo vichambo? Vichambo uchambwe 'live' kwa sare na matarumbeta, kitu kinaingia hadi katika Medulla Oblangata. Lakini humu, waaala. Ikiandaliwa mechi Leaders Club Vichambo JF vs Vichambo Uswazi walahi JF mtabinuka biduuuu......

Mkuu kwani na wewe ulichambwa?
 
Hahahaaa nimecheka sana aiseeh!

Cheka shoga...maana mie hata sielewi mwenzio.
...haya ndo yale ya "pilipili asiyoila...." yaani tutajua BA na BE.
Utamu wa kigodoro wala hualiki watu...watu ndio wanakifuata kigodoro.
 
Haya nakusubiri mwaya.Japo naona umeshanichomesha mahindi tayari..

Hebu nenda kwanza Ig kwa Badilika_ubadilishwe.....watu wanavuliwa nguo kule.....makalio njeeeeee.

Afu ndo tuendelee kwanza.
Kumbe Dc anakula tako...uwiiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom