Kuoa haimaanishi kupenda unaweza ukatamani ukaoa.
Mimi ni kijana ninayeishi peke yangu kwenye nyumba ya kupanga ambayo mwenye nyumba naye anaishi hapo na familia yake, tumetengwa na Ukuta tu.
Hivi majuzi mtoto wa kike wa mama mwenye nyumba alirudi kutoka chuo kwa ajili ya likizo. Nilijikuta tunafahamiana na kuzoeana na binti huyo kwa kasi hadi tukaanza kutoka out bila wazazi wake kujua. Hatimaye tukajikuta tunaanza kuonyeshana hisia kali za mapenzi na sasa kilichobaki ni kupiga mzigo tu, Je nikamue?
Kuna madhara yoyote endapo nitaamua kula tunda? Kwa upande mwingine nina mpenzi wangu wa miaka mitatu, wote nahisi nawapenda!
Ushauri Please!
hizo tamaa kakaMimi ni kijana ninayeishi peke yangu kwenye nyumba ya kupanga ambayo mwenye nyumba naye anaishi hapo na familia yake, tumetengwa na Ukuta tu.
Hivi majuzi mtoto wa kike wa mama mwenye nyumba alirudi kutoka chuo kwa ajili ya likizo. Nilijikuta tunafahamiana na kuzoeana na binti huyo kwa kasi hadi tukaanza kutoka out bila wazazi wake kujua. Hatimaye tukajikuta tunaanza kuonyeshana hisia kali za mapenzi na sasa kilichobaki ni kupiga mzigo tu, Je nikamue?
Kuna madhara yoyote endapo nitaamua kula tunda? Kwa upande mwingine nina mpenzi wangu wa miaka mitatu, wote nahisi nawapenda!
Ushauri Please!
yaan ww hata hujielewe hapa duniani unafanya nini,nyie ndo ashk majinunMimi ni kijana ninayeishi peke yangu kwenye nyumba ya kupanga ambayo mwenye nyumba naye anaishi hapo na familia yake, tumetengwa na Ukuta tu.
Hivi majuzi mtoto wa kike wa mama mwenye nyumba alirudi kutoka chuo kwa ajili ya likizo. Nilijikuta tunafahamiana na kuzoeana na binti huyo kwa kasi hadi tukaanza kutoka out bila wazazi wake kujua. Hatimaye tukajikuta tunaanza kuonyeshana hisia kali za mapenzi na sasa kilichobaki ni kupiga mzigo tu, Je nikamue?
Kuna madhara yoyote endapo nitaamua kula tunda? Kwa upande mwingine nina mpenzi wangu wa miaka mitatu, wote nahisi nawapenda!
Ushauri Please!
Mimi ni kijana ninayeishi peke yangu kwenye nyumba ya kupanga ambayo mwenye nyumba naye anaishi hapo na familia yake, tumetengwa na Ukuta tu.
Hivi majuzi mtoto wa kike wa mama mwenye nyumba alirudi kutoka chuo kwa ajili ya likizo. Nilijikuta tunafahamiana na kuzoeana na binti huyo kwa kasi hadi tukaanza kutoka out bila wazazi wake kujua. Hatimaye tukajikuta tunaanza kuonyeshana hisia kali za mapenzi na sasa kilichobaki ni kupiga mzigo tu, Je nikamue?
Kuna madhara yoyote endapo nitaamua kula tunda? Kwa upande mwingine nina mpenzi wangu wa miaka mitatu, wote nahisi nawapenda!
Ushauri Please!
....mzee mwenye nyumba si anakukamua kodi
take this as a life cycle
lipa kodi in time, ili binti aweze timiziwa hela zake za kujikimu chuoni, afu hapa nawewe una step in
mkamue to the maximumm....ili uwe una muagiza akununulie mahitaji madogo madogo ya humo geto, kama gesi ikiisha, mboga apike mara moja moja, na viboxa na vishati vya kuzugia:becky:
Fanya maamuzi ya ki trapezium..