Subiri Baba mwenye nyumba ajue.... nyie ndio mna0nyongwagwa kimya kimya... asubuhi tunatangaziwa mpangaji kajinnyonga mwenyewe!
Pia atafute kwanza chumba kingine kabla hajakamua maana akigundulika atapewa masaa 24 ya kuondoka.
Subiri Baba mwenye nyumba ajue.... nyie ndio mna0nyongwagwa kimya kimya... asubuhi tunatangaziwa mpangaji kajinnyonga mwenyewe!
Maneno ya wenye busar zao
She z 24
Hivi inawezekana kupenda watu wawili???????
Kuna mmoja unamtamani, haumpendi! Ila hawa watoto wa kike wa wenye nyumba wanatabia ya kujileta leta, wee kung'uta tu, mambo yote yawe chini ya kapeti..
Mkuu mimi nkushauri achana na huyo binti wa mama mwenye nyumba.......hizo ni tama za kimwili tu.....kumbuka wazuri hawaishi kila siku wanazaliwa wapya.....hebu jiulize uta cheat mpaka lini....?? muheshimu mpenzi wako na uthamini hisia zake...kwanza ya kabla ya kumsaliti hebu jaribu kukaa nafasi ya mpenzi wako ungejisikiaje.............????
namuonea huruma msichana mwenzangu
Mimi ni kijana ninayeishi peke yangu kwenye nyumba ya kupanga ambayo mwenye nyumba naye anaishi hapo na familia yake, tumetengwa na Ukuta tu.
Hivi majuzi mtoto wa kike wa mama mwenye nyumba alirudi kutoka chuo kwa ajili ya likizo. Nilijikuta tunafahamiana na kuzoeana na binti huyo kwa kasi hadi tukaanza kutoka out bila wazazi wake kujua. Hatimaye tukajikuta tunaanza kuonyeshana hisia kali za mapenzi na sasa kilichobaki ni kupiga mzigo tu, Je nikamue?
Kuna madhara yoyote endapo nitaamua kula tunda? Kwa upande mwingine nina mpenzi wangu wa miaka mitatu, wote nahisi nawapenda!
Ushauri Please!
Hivi inawezekana kupenda watu wawili???????
Hivi inawezekana kupenda watu wawili???????
Islamic wanaoa hadi wake wa4....vipi apo kuhusu kupenda
Inawezekana, hata watatu au wanne! Mbona waislamu mke mpaka 3?
Kama nakujua vile...kupitia hilo jina lako
Huyu binti ni mtu mzima lkn..si mtoto wa shule