Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Dr. Harrison Mwakyembe Mwenyekiti wa Kamati Teule iliyochunguza sakata la Richmond na ambaye ripoti ya Kamati yake ilisababisha aliyekwua Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa kujiuzuu amesema kuwa jaribio jingine la Lowassa kujisafisha kwa kutumia vyombo vya umma kwa maamuzi yaliyomgharibu Uwaziri Mkuu haliwezi kufanikiwa.
Katika mahojiano nami kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mauaji ya Prof. Mwaikusa na harakati zake za kurudi Bungeni Dr. Mwakyembe amesema kuwa mtu pekee anayewajibika kwa kujiuzulu kwa Lowassa ni Lowassa mwenyewe!
SEHEMU YA KWANZA:
SEHEMU YA PILI
SEHEMU YA TATU
Please do enjoy!
Katika mahojiano nami kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mauaji ya Prof. Mwaikusa na harakati zake za kurudi Bungeni Dr. Mwakyembe amesema kuwa mtu pekee anayewajibika kwa kujiuzulu kwa Lowassa ni Lowassa mwenyewe!
SEHEMU YA KWANZA:
SEHEMU YA PILI
SEHEMU YA TATU
Please do enjoy!
Last edited by a moderator: