Mahojiano ya Dr. Mwakyembe juu ya Madai ya Lowassa...

Kwa nini kukata mti kwa kisu wakati shoka lipo?

Hawa wote dawa yao ni Dr. Slaa peke yake.

Sasa hivi kazi kubwa mbele yetu ni kumfanyia kampeni ya nguvu Dr. Slaa ashinde. Akishashinda, basi ndiyo utakuwa mwisho wa Eddy Murphy ahh Eddy Lowassa. Nilichanganya kwa sababu wote ni WASANII.

Tuachane na yote na tubaki ni Slaa. Tule nao sambamba hadi kieleweke mwaka huu.

Dr slaa watampigia hao hao TEC
 
Back
Top Bottom