Mada ni mahari ya magovi, mfalme kataka magovi mia, kidume kaleta mia mbili.Kumbe waislael wameanza wakata magovi wafislistina zamani ndo maana wameamua wakimbiza kwe nchi yako kabisa
Question: "Who were the Philistines?"
Answer: The Philistines were an aggressive, warmongering people who occupied territory southwest of Israel between the Mediterranean Sea and the Jordan River. The name “Philistine” comes from the Hebrew word Philistia, and the Greek rendering of the name, palaistinei, gives us the modern name “Palestine.”
Kumbe na wewe hucheka ?"Udini" ndiyo nini?
Hebu be on the lighter side, huoni ufahari kuwa biblia imenichekesha asubuhi asubuhi?
Hivi wewe unaenda kuhesabu, govi la kwanza, pili, tatu, nne... Mpaka 200 kwa mkweo?
Kwi kwimkwimkwi teh teh teh teh. Nimecheka sana .
walikua wanawasilimisha koz waparestina/waarabu hawakatagi magovi heathen aka washenziMada ni mahari ya magovi, mfalme kataka magovi mia, kidume kaleta mia mbili.
Duuu!!!!!!!!!Mambo mengine ingawa ni ya "kweli" kabisa na ni "imani" ya wengi, lakini inabidi yawe jukwaa hili la utani. Maana mahari ya govi ni zaidi ya utani.
Nimecheka sana tena kuona kuwa mkono wa sweta, ndiyo, namaanisha govi, govi hili la wenye magovi limeshawahi kutumikia kama mahari ya kumuoa binti, tena binti mfalme. Kama huamini endelea kusoma...
25 Naye Sauli akasema, Mwambieni Daudi hivi, Mfalme hataki mahari yo yote, ila anataka govi mia za Wafilisti, ili ajilipize kisasi adui za mfalme. Basi Sauli alidhani kumwangamiza Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
26 Na watumishi wake walipomwambia Daudi; maneno hayo, ilimpendeza Daudi sana kuwa mkwewe mfalme. Na siku zilikuwa hazijaisha bado;
27 basi Daudi akainuka, akaenda yeye na watu wake, akaua katika Wafilisti watu mia mbili; na Daudi akazileta govi zao, wakampa mfalme hesabu kamili, ili awe mkwewe mfalme. Naye Sauli akamwoza Mikali, binti yake.
Biblia hiyo, 1 Samuel 18.
Biblia ni kitabu cha mungu, sasa kila nikifikiria busara ua funzo la aya hizo ubongo wangu unadata kabisa.Usishangae huo ndiyo mzaha unaopatikana ndani ya biblia.
Hivi kweli Faiza hajui kuwa issue hapo ,ilikuwa ni kuthibitisha kuwa ameua adui zao! Kama humaanishi basi uwezo wako wa kufikiri unafikirisha!Jamaa kachukua binti kwa magovi tu, halafu badala ya govi mia alizotaka mfalme, mchumba kapeleka mia mbili!
"Udini" ndiyo nini?
Hebu be on the lighter side, huoni ufahari kuwa biblia imenichekesha asubuhi asubuhi?
Hivi wewe unaenda kuhesabu, govi la kwanza, pili, tatu, nne... Mpaka 200 kwa mkweo?
Kwi kwimkwimkwi teh teh teh teh. Nimecheka sana .
Umedanganya! Daudi hakutumwa, Daudi alitakiwa apeleke mahari ya magovi 100.faizafoxy ngoja nikupe taswira ya stori yako ni hivi ,sauli alikuwa mfalme na alimpenda sana daudi ila siku moja daudi alipigana vita na aliporeje nyumbani walimwimbia ivi"sauli ameua maelfu ,daudi ameua maelfu elfu " hii ilimfanya sauli kuanza kujenga chuki na kumchukia daudi sababu aliona daudi kamzidi na yeye ndo mfalme sauli alifanya hila nyingi ili kumuua daudi asije kuwa mfalme ,sababu hata sauli alikuwa na mtoto wa kiume' yonathani' . kwahiyo kutumwa kwa daudi kuleta govi ni moja ya mipango ya kuuwa kwa kwani sauli alijua hawezi kuua wafilisti 200
Umedanganya! Daudi hakutumwa, Daudi alitakiwa apeleke mahari ya magovi 100.
Kwanini mnapenda kubadilisha maandiko? Kasome tena.
Wewe kama hukudanganya neno "kutumwa kwa Daudi" umelitoa wapi?hamna ulipodanganywa shida maandiko mnasoma sehemu itakayo kuvutia tu ... hata wewe nadhani ni hilo neno govi ndo limekuvutia kusoma iyo mistari ... kwani mke wa kwanza wa daudi aliitwaa nani na kutoka jamii ipi?
Wewe kama hukudanganya neno "kutumwa kwa Daudi" umelitoa wapi?
Lilinovutia siyo "govi" lilinivutia ni mahari ya magovi 100.
Sana tena, ndiyo maana nikafungulia uzi.naona unakomaa kiukweli na mahari ya magovi 100
Sana tena, ndiyo maana nikafungulia uzi.
Uwache kudanganya, kuwa mkweli wa nafsi yako, usitetee ujinga kwa kudanganya.
Kisa hiki cha magovi kinakufundisha nini? Binafsi naona ni kichekesho tu.
Soma hiyooooo...
27 basi Daudi akainuka, akaenda yeye na watu wake, akaua katika Wafilisti watu mia mbili; na Daudi akazileta govi zao, wakampa mfalme hesabu kamili, ili awe mkwewe mfalme. Naye Sauli akamwoza Mikali, binti yake.
Soma hiyooooo...
27 basi Daudi akainuka, akaenda yeye na watu wake, akaua katika Wafilisti watu mia mbili; na Daudi akazileta govi zao, wakampa mfalme hesabu kamili, ili awe mkwewe mfalme. Naye Sauli akamwoza Mikali, binti yake.
Mambo mengine ingawa ni ya "kweli" kabisa na ni "imani" ya wengi, lakini inabidi yawe jukwaa hili la utani. Maana mahari ya govi ni zaidi ya utani.
Nimecheka sana tena kuona kuwa mkono wa sweta, ndiyo, namaanisha govi, govi hili la wenye magovi limeshawahi kutumikia kama mahari ya kumuoa binti, tena binti mfalme. Kama huamini endelea kusoma...
25 Naye Sauli akasema, Mwambieni Daudi hivi, Mfalme hataki mahari yo yote, ila anataka govi mia za Wafilisti, ili ajilipize kisasi adui za mfalme. Basi Sauli alidhani kumwangamiza Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
26 Na watumishi wake walipomwambia Daudi; maneno hayo, ilimpendeza Daudi sana kuwa mkwewe mfalme. Na siku zilikuwa hazijaisha bado;
27 basi Daudi akainuka, akaenda yeye na watu wake, akaua katika Wafilisti watu mia mbili; na Daudi akazileta govi zao, wakampa mfalme hesabu kamili, ili awe mkwewe mfalme. Naye Sauli akamwoza Mikali, binti yake.
Biblia hiyo, 1 Samuel 18.
Na hao si ndiyo wanamkataa Yesu. Usisahau hilo.Kinacho kushangaza na kukufanya ucheke hasa mwezi huu wa swaumu nini?? Hebu soma hizi ayat Inshaalah! kama hukuzielewa useme Allah akupe darsa! View attachment 1097392View attachment 1097393View attachment 1097394