Mahari zingine ni majanga!

Kumbe waislael wameanza wakata magovi wafislistina zamani ndo maana wameamua wakimbiza kwe nchi yako kabisa

Question: "Who were the Philistines?"

Answer: The Philistines were an aggressive, warmongering people who occupied territory southwest of Israel between the Mediterranean Sea and the Jordan River. The name “Philistine” comes from the Hebrew word Philistia, and the Greek rendering of the name, palaistinei, gives us the modern name “Palestine.”
Mada ni mahari ya magovi, mfalme kataka magovi mia, kidume kaleta mia mbili.
 
Mambo mengine ingawa ni ya "kweli" kabisa na ni "imani" ya wengi, lakini inabidi yawe jukwaa hili la utani. Maana mahari ya govi ni zaidi ya utani.

Nimecheka sana tena kuona kuwa mkono wa sweta, ndiyo, namaanisha govi, govi hili la wenye magovi limeshawahi kutumikia kama mahari ya kumuoa binti, tena binti mfalme. Kama huamini endelea kusoma...

25 Naye Sauli akasema, Mwambieni Daudi hivi, Mfalme hataki mahari yo yote, ila anataka govi mia za Wafilisti, ili ajilipize kisasi adui za mfalme. Basi Sauli alidhani kumwangamiza Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
26 Na watumishi wake walipomwambia Daudi; maneno hayo, ilimpendeza Daudi sana kuwa mkwewe mfalme. Na siku zilikuwa hazijaisha bado;
27 basi Daudi akainuka, akaenda yeye na watu wake, akaua katika Wafilisti watu mia mbili; na Daudi akazileta govi zao, wakampa mfalme hesabu kamili, ili awe mkwewe mfalme. Naye Sauli akamwoza Mikali, binti yake.

Biblia hiyo, 1 Samuel 18.
Duuu!!!!!!!!!
 
Jamaa kachukua binti kwa magovi tu, halafu badala ya govi mia alizotaka mfalme, mchumba kapeleka mia mbili!
Hivi kweli Faiza hajui kuwa issue hapo ,ilikuwa ni kuthibitisha kuwa ameua adui zao! Kama humaanishi basi uwezo wako wa kufikiri unafikirisha!
 
"Udini" ndiyo nini?
Hebu be on the lighter side, huoni ufahari kuwa biblia imenichekesha asubuhi asubuhi?
Hivi wewe unaenda kuhesabu, govi la kwanza, pili, tatu, nne... Mpaka 200 kwa mkweo?
Kwi kwimkwimkwi teh teh teh teh. Nimecheka sana .




faizafoxy ngoja nikupe taswira ya stori yako ni hivi ,sauli alikuwa mfalme na alimpenda sana daudi ila siku moja daudi alipigana vita na aliporeje nyumbani walimwimbia ivi"sauli ameua maelfu ,daudi ameua maelfu elfu " hii ilimfanya sauli kuanza kujenga chuki na kumchukia daudi sababu aliona daudi kamzidi na yeye ndo mfalme sauli alifanya hila nyingi ili kumuua daudi asije kuwa mfalme ,sababu hata sauli alikuwa na mtoto wa kiume' yonathani' . kwahiyo kutumwa kwa daudi kuleta govi ni moja ya mipango ya kuuwa kwa kwani sauli alijua hawezi kuua wafilisti 200
 
faizafoxy ngoja nikupe taswira ya stori yako ni hivi ,sauli alikuwa mfalme na alimpenda sana daudi ila siku moja daudi alipigana vita na aliporeje nyumbani walimwimbia ivi"sauli ameua maelfu ,daudi ameua maelfu elfu " hii ilimfanya sauli kuanza kujenga chuki na kumchukia daudi sababu aliona daudi kamzidi na yeye ndo mfalme sauli alifanya hila nyingi ili kumuua daudi asije kuwa mfalme ,sababu hata sauli alikuwa na mtoto wa kiume' yonathani' . kwahiyo kutumwa kwa daudi kuleta govi ni moja ya mipango ya kuuwa kwa kwani sauli alijua hawezi kuua wafilisti 200
Umedanganya! Daudi hakutumwa, Daudi alitakiwa apeleke mahari ya magovi 100.


Kwanini mnapenda kubadilisha maandiko? Kasome tena.
 
Umedanganya! Daudi hakutumwa, Daudi alitakiwa apeleke mahari ya magovi 100.
Kwanini mnapenda kubadilisha maandiko? Kasome tena.



hamna ulipodanganywa shida maandiko mnasoma sehemu itakayo kuvutia tu ... hata wewe nadhani ni hilo neno govi ndo limekuvutia kusoma iyo mistari ... kwani mke wa kwanza wa daudi aliitwaa nani na kutoka jamii ipi?
 
hamna ulipodanganywa shida maandiko mnasoma sehemu itakayo kuvutia tu ... hata wewe nadhani ni hilo neno govi ndo limekuvutia kusoma iyo mistari ... kwani mke wa kwanza wa daudi aliitwaa nani na kutoka jamii ipi?
Wewe kama hukudanganya neno "kutumwa kwa Daudi" umelitoa wapi?

Lilinivutia siyo "govi" lililonivutia ni mahari ya magovi 100.
 
naona unakomaa kiukweli na mahari ya magovi 100
Sana tena, ndiyo maana nikafungulia uzi.

Uwache kudanganya, kuwa mkweli wa nafsi yako, usitetee ujinga kwa kudanganya.

Kisa hiki cha magovi kinakufundisha nini? Binafsi naona ni kichekesho tu.
 
Sana tena, ndiyo maana nikafungulia uzi.

Uwache kudanganya, kuwa mkweli wa nafsi yako, usitetee ujinga kwa kudanganya.

Kisa hiki cha magovi kinakufundisha nini? Binafsi naona ni kichekesho tu.

Daudi alitakiwa apeleke mahari ya govi 100, ikimaanisha awaue wafilisti 100, yeye akaenda mbali zaidi akaamua kuwaua wafilisti 200. Ile kupeleka govi 200 ilikua ni ushahidi kwamba ameweza kuwaua hao wenye hizo govi.

Angeambiwa apeleke miili au vichwa vyao hauoni ingekua shida tofauti na kupeleka govi? Kwa ufupi habari yote hiyo inamaanisha Daudi alitakiwa akapambane awaue wafilisti 100. Haikua rahisi na Sauli alijua angeweza kuuwawa kwenye hizo harakati, ndio maana akaamua kumuonyesha kuwa yeye ni mahiri kwa kufanya mara mbili ya alivyotakiwa.
 
Soma hiyooooo...

27 basi Daudi akainuka, akaenda yeye na watu wake, akaua katika Wafilisti watu mia mbili; na Daudi akazileta govi zao, wakampa mfalme hesabu kamili, ili awe mkwewe mfalme. Naye Sauli akamwoza Mikali, binti yake.

Soma hiyooooo...

27 basi Daudi akainuka, akaenda yeye na watu wake, akaua katika Wafilisti watu mia mbili; na Daudi akazileta govi zao, wakampa mfalme hesabu kamili, ili awe mkwewe mfalme. Naye Sauli akamwoza Mikali, binti yake.

Siri ya mtungi aijua kata! Biblia yenyewe inajieleza! Na Qur'an karrim kama wewe ni muumini, nayo imefunua! Nakushangaa unavyo shabikia govi tena mwezi huu...
IMG_20190514_140210_745.jpeg
IMG_20190514_140400_463.jpeg
IMG_20190514_140447_784.jpeg
 
Mambo mengine ingawa ni ya "kweli" kabisa na ni "imani" ya wengi, lakini inabidi yawe jukwaa hili la utani. Maana mahari ya govi ni zaidi ya utani.

Nimecheka sana tena kuona kuwa mkono wa sweta, ndiyo, namaanisha govi, govi hili la wenye magovi limeshawahi kutumikia kama mahari ya kumuoa binti, tena binti mfalme. Kama huamini endelea kusoma...

25 Naye Sauli akasema, Mwambieni Daudi hivi, Mfalme hataki mahari yo yote, ila anataka govi mia za Wafilisti, ili ajilipize kisasi adui za mfalme. Basi Sauli alidhani kumwangamiza Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
26 Na watumishi wake walipomwambia Daudi; maneno hayo, ilimpendeza Daudi sana kuwa mkwewe mfalme. Na siku zilikuwa hazijaisha bado;
27 basi Daudi akainuka, akaenda yeye na watu wake, akaua katika Wafilisti watu mia mbili; na Daudi akazileta govi zao, wakampa mfalme hesabu kamili, ili awe mkwewe mfalme. Naye Sauli akamwoza Mikali, binti yake.

Biblia hiyo, 1 Samuel 18.

Kinacho kushangaza na kukufanya ucheke hasa mwezi huu wa swaumu nini?? Hebu soma hizi ayat Inshaalah! kama hukuzielewa useme Allah akupe darsa!
IMG_20190514_140210_745.jpeg
IMG_20190514_140400_463.jpeg
IMG_20190514_140447_784.jpeg
 

Similar Discussions

9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom