Nakfa
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,971
- 14,388
Mke wangu ana thamani ya Rubby, endelea na bombonya lako hilo tulishapakuaga kitambo wahuniMke wangu hana bei, wako si umempa thamani ya ng'ombe sio.
Punguza hasira mkuu, furahia bikra hio
Mke wangu ana thamani ya Rubby, endelea na bombonya lako hilo tulishapakuaga kitambo wahuniMke wangu hana bei, wako si umempa thamani ya ng'ombe sio.
Punguza hasira mkuu, furahia bikra hio
binti asiye na mtoto kuolewa na single father ni maamuzi yake.ya kuambiwa atachanganya na akili zakeVip binti kaolewa ndani ya two years mume kafariki kaacha mtoto huyo hafai?
Vip Kwa binti ambae hana mtoto kuolewa na kijana mwenye mtoto?
mzee wewe ni mpole?Single mom mahari yake ni matunzo kwa mtoto wake hakuna malipo mengine hapo
what if kama mwanamke alitegesha mimbaHapo mwisho umemalizia vizuri sana
what if kama mwanamke alitegesha mimba?Personally,siwezi kuoa mwanamke mwenye mtoto nitaonekana zoba..
Wanawake wanaopata mimba kiwepesiwepesi hawa ndo tusemezane nao...Njia za kujikinga zipo kibao why uzae bila ya kuwa kwenye ndoa serious??.
Wanaochana/Kufiwa na waume zao hiyo ni case nyingine..
Tusiwazodoe sana,ila pia tusilifanye hili kuwa ni jambo jepesi..Kuoa mke mwenye mtoto wa mwanaume mwingine inahitaji moyo
Wanaume pia tubebe misalaba yetu..ukimpa binti wa watu mimba muoe usijekuwapa watu wengine mizigo isiyowahusu
Maneno makali sana
Typed Using KIDOLE
Mke wangu ana thamani ya Rubby, endelea na bombonya lako hilo tulishapakuaga kitambo wahuni
Wewe ulivyomwaga ndani ulikuwa unafikiria nini?what if kama mwanamke alitegesha mimba
Hakuna kitu nakichukia JF kama kuitwa Dogo ufala acha, kamwite mkeo au baba ako dogo.Dogo, mke bora apimwi kwa bikra. Hio bikra uliolipia wengine wanaipata bure tu.
Endelea kutoka povu.
Punguza povu, go and get your refundHakuna kitu nakichukia JF kama kuitwa Dogo ufala acha, kamwite mkeo au baba ako dogo.
Kolo wewe
hamna mzee kuna wanawake wanategeshea mimba?Comments za watoto wadogo na primitives zinajidhihirisha wazi. Hayo mambo ya single mother visababishi ni sisi sisi wanaume. Acheni kuropoka upumbavu nyinyi washenzi.
Moron! Endelea na Bombonya lako hiloPunguza povu, go and get your refund
Go and get your refund ha ha haMoron! Endelea na Bombonya lako hilo
AhsanteComments za watoto wadogo na primitives zinajidhihirisha wazi. Hayo mambo ya single mother visababishi ni sisi sisi wanaume. Acheni kuropoka upumbavu nyinyi washenzi.
aliruhusu akasema yupo safe days nisiwe na hofuWewe ulivyomwaga ndani ulikuwa unafikiria nini?
Kuwa single mama ni kosa usihalalishe dhambi, ukishakuta msichana ana mtoto na hajaolewa huyo ni MZINIFU! Usirembe wala kupepesa macho wambie Dada zetu wenye nia ya kuolewa waache Zinaa la hasha awe amechagua maisha yake mengine.Kuwa single mama siyo kosa hata kidogo, na wengi wapo wanaolewa kwa harusi safi na tunatoa michango na kusherehekea pamoja.
Swala la mahali ni makubaliano ya pande zote mbili.
Tuache kuwakashfu hawa single mamaz maana nao ni binadamu kama sisi wana moyo wa nyama na wanasikia maumivu pale wanapotukanwa ama kukashifiwa.
Nawapenda single mamaz wote hasa wale wapambanaji na wanaolea watt wao katika misingi iliyobora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ipo hapo kwanini aakuvulie chupi? Mama huruma? Atawaamini wangapi sasa hata baada yako? Kikubwa mabinti wajiheshimu usitete Uovu!Mapenzi hayachagui,mwanamke kuwa single mom kuna sababu nyingi sana,tusiwahukumu sana na kuwaona dhambi yao nikubwa kiasi hiki...........tuache hii tabia maana chanzo ni sisi wanaume,mtoto wa watu anakuamini anakuvulia nguo kumbe wewe unataka tu kupunguza shida zako wakati mwenzio yupo serious.Tuwaache kwakweli maana chanzo ni male.......
Hakuna mtu anaweza kumlazimisha mtu kufanya kitu asichokitaka kama hataki, wala sio kosa lako mkuu yeye alikua tayari kufanya mlichotaka kufanya ndio mana amefanya.Umenichekesha sana
Anyway, si dhambi kutofautiana mitazamo.
Ila tuache kuwasema hawa single mothers si vema.
Nakupa mfano wangu, mimi nilimtia mimba binti wa watu na kusema ukweli ni mimi kisababishi - hakua tayari. Wanaume tuna nguvu kubwa ya ulaghai na ushawishi.
ashaolewa huyo binti?Umenichekesha sana
Anyway, si dhambi kutofautiana mitazamo.
Ila tuache kuwasema hawa single mothers si vema.
Nakupa mfano wangu, mimi nilimtia mimba binti wa watu na kusema ukweli ni mimi kisababishi - hakua tayari. Wanaume tuna nguvu kubwa ya ulaghai na ushawishi.